KINANA KUANZA ZIARA LINDI NA MTWARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-QwL3meGMo9I/VGXO-kGJdKI/AAAAAAAAS-s/hVtERESHCmg/s72-c/uh.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Sekretarieti,CCM Ofisi ndogo Lumumba.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana anatarajia kufanya ziara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Akiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa Sekretarieti,Lumumba jijini Dar es salaam Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye alisema kuwa Ziara hiyo ni mwendelezo wa ziara za Sekretarieti ya Halmashauri Kuu Taifa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog14 Nov
Kinana kuanza ziara ya mikoa ya Mtwara na Lindi
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Sekretarieti,CCM Ofisi ndogo Lumumba.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana anatarajia kufanya ziara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Akiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa Sekretarieti,Lumumba jijini Dar es salaam Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye alisema kuwa Ziara hiyo ni mwendelezo wa ziara za Sekretarieti ya Halmashauri Kuu Taifa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kc0Mtq8EDEw/VGYegpmgmfI/AAAAAAAGxOY/pPN6Tdk5qyA/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
KINANA KUANZA ZIARA YA SIKU 16 MIKOA YA LINDI NA MTWARA, KESHO NOV 15
![](http://1.bp.blogspot.com/-kc0Mtq8EDEw/VGYegpmgmfI/AAAAAAAGxOY/pPN6Tdk5qyA/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
Ziara hii ya Katibu Mkuu Ndugu Abdulrahaman Kinana ni muendelezo wa...
10 years ago
Mwananchi24 Apr
Uandikishaji Lindi, Mtwara, Ruvuma, Iringa, kuanza leo
9 years ago
MichuziVIONGOZI WIZARA YA NISHATI NA MADINI WAFANYA ZIARA LINDI NA MTWARA
Lengo kuu la ziara hiyo ni kujionea shughuli zinazoendelea kwenye mradi wa gesi asilia pamoja na kuzungumza na wafanyakazi wa maeneo hayo kuhusu masuala mbalimbali ya shughuli zao za kila siku.
Maeneo ambayo yalitembelewa na viongozi hao ni pamoja...
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA KATIKA MIKOA YA LINDI, MTWARA
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene amefanya ziara mkoani Lindi na Mtwara mwanzoni mwa wiki kukagua miradi mbalimbali iliyo chini ya Wizara yake ambapo aliahidi huduma za umeme na maji kwa wananchi mbalimbali.
Akiwa Madimba mkoani Mtwara, baada ya kupokea taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa mtambo wa kuchakata gesi, Waziri Simbachawene alimwagiza Msimamizi Mkuu wa Mradi wa Bomba la gesi, Mhandisi Kapuulya Musomba kutoa huduma ya maji safi kwa wananchi wanaozunguka...
10 years ago
Dewji Blog23 Nov
Kinana ahitimisha ziara kwa kishindo Lindi
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano wa hadhara mjini Lindi jana, kuhitimisha ziara ya siku 8 katika Mkoa wa Lindi ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-t8syB7CqCzo/VHC7oMTgcfI/AAAAAAAATs0/qZW-kQqvgnI/s72-c/01.jpg)
KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOANI LINDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-t8syB7CqCzo/VHC7oMTgcfI/AAAAAAAATs0/qZW-kQqvgnI/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hfVHwV5hzWE/VHC3YZ19VmI/AAAAAAAATsQ/-6Kczxix6h8/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0qP_-X5SgHc/VHC3aNdEN2I/AAAAAAAATsY/DRMmXKUAqEU/s1600/6.jpg)
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-xF0gMwVcEJI/VG4lHq_wCfI/AAAAAAAATk8/VI4Bp7QA_Ok/s1600/02.jpg)
ZIARA YA KINANA NDANI YA-LIWALE MKOANI LINDI