VIONGOZI WIZARA YA NISHATI NA MADINI WAFANYA ZIARA LINDI NA MTWARA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo na Naibu wake, Mhandisi Paul Masanja pamoja na Kamishna wa Nishati, Mhandisi Hosea Mbise hapo jana walifanya ziara kwenye maeneo mbalimbali yanayopitiwa na mradi mkubwa wa Gesi Asilia.
Lengo kuu la ziara hiyo ni kujionea shughuli zinazoendelea kwenye mradi wa gesi asilia pamoja na kuzungumza na wafanyakazi wa maeneo hayo kuhusu masuala mbalimbali ya shughuli zao za kila siku.
Maeneo ambayo yalitembelewa na viongozi hao ni pamoja...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA KATIKA MIKOA YA LINDI, MTWARA
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene amefanya ziara mkoani Lindi na Mtwara mwanzoni mwa wiki kukagua miradi mbalimbali iliyo chini ya Wizara yake ambapo aliahidi huduma za umeme na maji kwa wananchi mbalimbali.
Akiwa Madimba mkoani Mtwara, baada ya kupokea taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa mtambo wa kuchakata gesi, Waziri Simbachawene alimwagiza Msimamizi Mkuu wa Mradi wa Bomba la gesi, Mhandisi Kapuulya Musomba kutoa huduma ya maji safi kwa wananchi wanaozunguka...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dKaApxVQAd4/VOcmkmCo5lI/AAAAAAAHExI/EJSmaRLDkFc/s72-c/unnamed.jpg)
Mtwara yaishukuru Wizara ya Nishati na Madini kwa jitihada kudhibiti mmomonyoko wa ardhi Mnazi Bay
![](http://1.bp.blogspot.com/-dKaApxVQAd4/VOcmkmCo5lI/AAAAAAAHExI/EJSmaRLDkFc/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Sh9uo37DlmU/VOcmk9B16cI/AAAAAAAHExM/8piWTv4IUp0/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
Athari ya mmomonyoko wa ardhi katika eneo la MnaziBay inavyoonekana pichani. Mmomonyoko huo umetishia usalama wa Kiwanda cha kufua umeme unaotumiwa na wakazi wa Lindi na Mtwara cha Maurel & Prom.
Na Veronica Simba aliyekuwa Mtwara Mkuu wa Mkoa wa Mtwara,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3-IltzVBeoY/VY0lo-gnoVI/AAAAAAAHkNs/1xjxHPJnidg/s72-c/IMG_3318.jpg)
WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU KWAAJILI YA USHIRIKI WA WATANZANIA KATIKA SERA YA NISHATI NA MADINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-3-IltzVBeoY/VY0lo-gnoVI/AAAAAAAHkNs/1xjxHPJnidg/s640/IMG_3318.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eP1noyCn96g/VY0lnwv1nfI/AAAAAAAHkNg/m_fD72zB-aI/s640/IMG_3291.jpg)
10 years ago
VijimamboKANUSHO KUTOKA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUHUSU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-2TdsXVCxyBM/VKLEoGpQUWI/AAAAAAADK_Q/fLIBFnrqdds/s1600/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Utendaji wa Wizara chini ya Waziri wa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BQYvuhTTjnc/VovNrmzidNI/AAAAAAAIQos/zcsDFmumXS0/s72-c/picha%2B1.%2B%2BKM.jpg)
Prof Muhongo aongoza kikao cha utambulisho wa viongozi wapya wa Wizara ya Nishati na Madini
![](http://3.bp.blogspot.com/-BQYvuhTTjnc/VovNrmzidNI/AAAAAAAIQos/zcsDFmumXS0/s640/picha%2B1.%2B%2BKM.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ld3ApoPSZ5M/VWiXtYoI2GI/AAAAAAAHasg/nM8aQ3WlMYo/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
NAIBU WAZIRI MKUU WA AUSTRALIA MAGHARIBI KIM HAMES AFANYA ZIARA WIZARA YA NISHATI NA MADINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ld3ApoPSZ5M/VWiXtYoI2GI/AAAAAAAHasg/nM8aQ3WlMYo/s640/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-weB5OHkLpzw/VWiXtSwGNQI/AAAAAAAHask/5u_1OjBnQ4A/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Wizara ya Nishati na Madini yazindua rasmi mfumo wa kielektroniki wakulipia leseni za madini
Na Jacquiline Mrisho- MAELEZO
Serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini imezindua mfumo wa malipo ya ada za leseni za madini kwa njia ya mtandao ujulikanao kama Online Mining Cadastre Transactional Portal (OMCTP).
Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Kamishna Msaidizi wa Madini anayeshughulikia leseni Bw. John Nayopa amesema kuwa mfumo huu wa kielektroniki unawawezesha wateja waliosajiliwa kutuma maombi ya leseni, kuhakiki taarifa za leseni wanazomiliki pamoja na...
10 years ago
MichuziMH. KITWANGA AKUTANA NA WATENDAJI WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI NA TAASISI ZINAZOSIMAMIA SEKTA YA MADINI NCHINI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qeiSUHijcXA/VHQULVaqYeI/AAAAAAAGzSQ/TogOsb1rBIA/s72-c/Wadau%2B1.jpg)
WIZARA YA NISHATI NA MADINI YAKUTANA NA WADAU WA MADINI YA SHABA
Wizara ya Nishati na Madini imekutana na wadau wa madini ya Shaba katika mkutano wa siku mbili ulioanza tarehe 24- 25 Novemba, 2014 na kuwashirikisha wafanyabiashara wa madini hayo, wachimbaji wadogo, viwanda vya kuyeyusha madini ya Shaba, Makamishana Wasaidizi wa Madini kutoka Kanda mbalimbali nchini pamoja na baadhi ya Maafisa Madini Wakaazi.
Akifungua mkutano huo, unaolenga kujadili masuala mbalimbali yanayohusu sekta ndogo ya madini ya Shaba na namna ya...