Prof Muhongo aongoza kikao cha utambulisho wa viongozi wapya wa Wizara ya Nishati na Madini
![](http://3.bp.blogspot.com/-BQYvuhTTjnc/VovNrmzidNI/AAAAAAAIQos/zcsDFmumXS0/s72-c/picha%2B1.%2B%2BKM.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa akizungumza jambo wakati wa kikao cha utambulisho wa viongozi wapya wa Wizara. Kikao hicho kimeshirikisha Menejimenti ya Wizara, Taasisi zilizo chini ya Wizara zikiwemo Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Shirika la Maendeleo ya Petroli la Tanzania (TPDC), Wakala wa Ukaguzi wa Madini (TMAA), Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST), Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Chuo cha Madini Dodoma (MRI)...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKANUSHO KUTOKA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUHUSU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-2TdsXVCxyBM/VKLEoGpQUWI/AAAAAAADK_Q/fLIBFnrqdds/s1600/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Utendaji wa Wizara chini ya Waziri wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/--jgByM-JNLk/VHcbYo_0YAI/AAAAAAADJEI/id540-anuDQ/s72-c/1.jpg)
Ufafanuzi Wa Serikali Uliyotolewa Leo Bungeni na Waziri wa Nishati na Madini, Prof Sospeter Muhongo
![](http://1.bp.blogspot.com/--jgByM-JNLk/VHcbYo_0YAI/AAAAAAADJEI/id540-anuDQ/s1600/1.jpg)
Sakata la uchotwaji wa fedha katika Akaunti ya Tegeta Escrow linaendelea kuchukua sura mpya baada ya Waziri wa Nishati na Madini, Prof Sospeter Muhongo kutoa ufafanuzi wa Serikali bungeni mjini Dodoma kuwa fedha hizo si za umma na kwamba bado Serikali ina mzigo wa madeni katika sakata hilo.
Kauli ya Prof Muhongo inakuja siku moja baada ya Kamati ya PAC kuwasilisha ripoti...
10 years ago
GPLTEGETA ESCROW: WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROF. MUHONGO ATOA UTETEZI WA SERIKALI BUNGENI
9 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROF. SOSPETER MUHONGO AKUTANA NA KAMPUNI YA MTIBWA SUGAR ESTATES LTD
11 years ago
GPLWAZIRI WA NISHATI NA MADINI, PROF SOSPETER MUHONGO, AKUTANA NA MR MAYANK BHARGAVA AKIWEMO MR PAUL HINKS MJINI WASHINGTON, DC
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-i2MuXRPXKmc/U4giF4L3R9I/AAAAAAAFmb4/a0zyivHmc_k/s72-c/IMG_1979.jpg)
HOTUBA YA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI MHE. PROF. SOSPETER MWIJARUBI MUHONGO (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2014/15
![](http://2.bp.blogspot.com/-i2MuXRPXKmc/U4giF4L3R9I/AAAAAAAFmb4/a0zyivHmc_k/s1600/IMG_1979.jpg)
9 years ago
MichuziVIONGOZI WIZARA YA NISHATI NA MADINI WAFANYA ZIARA LINDI NA MTWARA
Lengo kuu la ziara hiyo ni kujionea shughuli zinazoendelea kwenye mradi wa gesi asilia pamoja na kuzungumza na wafanyakazi wa maeneo hayo kuhusu masuala mbalimbali ya shughuli zao za kila siku.
Maeneo ambayo yalitembelewa na viongozi hao ni pamoja...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3-IltzVBeoY/VY0lo-gnoVI/AAAAAAAHkNs/1xjxHPJnidg/s72-c/IMG_3318.jpg)
WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU KWAAJILI YA USHIRIKI WA WATANZANIA KATIKA SERA YA NISHATI NA MADINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-3-IltzVBeoY/VY0lo-gnoVI/AAAAAAAHkNs/1xjxHPJnidg/s640/IMG_3318.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eP1noyCn96g/VY0lnwv1nfI/AAAAAAAHkNg/m_fD72zB-aI/s640/IMG_3291.jpg)
5 years ago
MichuziPROFESA KIKULA AONGOZA KIKAO CHA TUME YA MADINI