Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa kuanza ziara Mkoani Ruvuma!!
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (Pichani) anatarajia kuanza ziara ya kikazi ya siku nne mkoani
Ruvuma, ambapo atawasili mkoani hapo leo saa tisa alasiri.
Baada ya Waziri Mkuu kuwasili Uwanja wa Ndege wa Songea, atapokelewa na viongozi wa
Chama na Serikali, pia atakwenda Ikulu kupokea taarifa ya maendeleo ya mkoa wa Ruvuma.
Aidha, siku ya jumatatu atakuwa na shughuli za kufungua tawi la Benki ya Posta mjini
Songea, kukagua maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya chakula (NFRA) kanda ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU KUANZA ZIARA MKOANI RUVUMA
Baada ya Waziri Mkuu kuwasili Uwanja wa Ndege wa Songea, atapokelewa na viongozi wa Chama na Serikali, pia atakwenda Ikulu kupokea taarifa ya maendeleo ya mkoa wa Ruvuma.
Aidha, siku ya jumatatu atakuwa na shughuli za kufungua tawi la Benki ya Posta mjini Songea, kukagua maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya chakula (NFRA) kanda ya Songea na...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Zew0yiZueLY/VojjdgqHONI/AAAAAAAIQDs/WIzz7rQD9aw/s72-c/Kassim_Majaliwa.jpg)
WAZIRI MKUU KUANZA ZIARA YA SIKU NNE MKOANI RUVUMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Zew0yiZueLY/VojjdgqHONI/AAAAAAAIQDs/WIzz7rQD9aw/s1600/Kassim_Majaliwa.jpg)
Baada ya Waziri Mkuu kuwasili Uwanja wa Ndege wa Songea, atapokelewa na viongozi wa Chama na Serikali, pia atakwenda Ikulu kupokea taarifa ya maendeleo ya mkoa wa Ruvuma.
Aidha, siku ya Jumatatu atakuwa na shughuli za kufungua tawi la Benki ya Posta mjini Songea, kukagua maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya chakula (NFRA) kanda ya Songea...
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MAJALIWA KUANZA ZIARA MKOANI TANGA KESHO
MKUU wa Mkua wa Tanga Martine Shigella akizungumza na waandishi wa habari mkoani humo leo ambao hawapo pichani kuhusu ziara maalumu ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa itakayoanza kesho Jumatatu
MKUU wa Mkua wa Tanga Martine Shigella akizungumza na waandishi wa
habari mkoani humo kuhusu ziara maalumu ya Waziri Mkuu Kassim
Majaliwa itakayoanza kesho Jumatatu mkoani hapa
WAZIRI mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwasili jijini Tanga kesho June Mosi Mwaka huu kwa ziara maalum ya kutembelea na...
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA HOSPITALI YA MKOA WA RUVUMA.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fo6wUQ8NCwM/VoEnA_ksCOI/AAAAAAAIPAU/Iuk3yrSgjb4/s72-c/20151228040819.jpg)
WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA AWASILI MKOANI KIGOMA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-fo6wUQ8NCwM/VoEnA_ksCOI/AAAAAAAIPAU/Iuk3yrSgjb4/s640/20151228040819.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RgVJMKCo_lA/VoEm_d6jKOI/AAAAAAAIPAM/lgfK-PlxiGo/s640/20151228040830.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lEQJL5vfkYg/VoEnA1IMFbI/AAAAAAAIPAY/d-lqoSbCO58/s640/20151228040850.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-moQTy6xfWDk/VoEnBjCmfLI/AAAAAAAIPAk/raMH5U3YP58/s640/20151228040914.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5Yc7MqmlleM/VoEnCUnIHhI/AAAAAAAIPAw/q3EvBxKH6xM/s640/20151228040934.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KNSQ_w4GEVg/VoJlhkfPqDI/AAAAAAAIPKE/8Sh17W3mdyU/s72-c/20151229022304.jpg)
WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA KAMBI YA WAKIMBIZI YA NYARUGUSU, MKOANI KIGOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-KNSQ_w4GEVg/VoJlhkfPqDI/AAAAAAAIPKE/8Sh17W3mdyU/s640/20151229022304.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-viPVHbjlVU4/VoJlgaGmmJI/AAAAAAAIPKA/0bFA8upGUog/s640/20151229022627.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FratSDvW2Vc/VoJlh133gZI/AAAAAAAIPKM/-ItI7ykv_jc/s640/20151229023342.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZrHjL9Bdcmw/VoJlmhlOF6I/AAAAAAAIPKg/Xs2uYYbAfSQ/s640/20151229023247.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rZWE5E8wG_4/VoJlkriOhNI/AAAAAAAIPKY/ZRgldKQ9wgw/s640/20151229023316.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mBKET8JFpUo/VoFc6wQGiQI/AAAAAAAIPDU/2tWp4i9QSLM/s72-c/20151228075903.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa afungua soko la kimataifa la Samaki Mkoani Kigoma leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-mBKET8JFpUo/VoFc6wQGiQI/AAAAAAAIPDU/2tWp4i9QSLM/s640/20151228075903.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-d0U0pLGD06c/VoFc64sznxI/AAAAAAAIPDQ/jQQpmNVPIuc/s640/20151228075911.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wcWkhBE01u0/VoFc7Rg325I/AAAAAAAIPDc/DyoVduwVtHg/s640/20151228075934.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V03Klr4z7ro/VoFc7vyMxuI/AAAAAAAIPDg/10Lt5XHSFYI/s640/20151228075943.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-slj5kZenQ3E/VmG0l_MVMzI/AAAAAAAA1b4/FHGu_bGtYuo/s72-c/1.jpg)
PICHA RASMI ZA WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA NA MKEWE MAMA MARY MAJALIWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-slj5kZenQ3E/VmG0l_MVMzI/AAAAAAAA1b4/FHGu_bGtYuo/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vd0xHojhppo/VmG0lexvtUI/AAAAAAAA1b0/iW1seV--6-0/s640/2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Breaking News: Waziri Mkuu mteule ni Kassim Majaliwa Kassim!
Kassim Majaliwa
Tayari dakika chache zilizopita kutoka ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Dk, John Pombe Magufuli ametuma jina la Waziri Mkuu, ambaye ni Kassim Majaliwa aliyekuwa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).
Jina hilo limefikishwa kwa mbwembwe likiwa ndani ya bahasha tatu huku likiwa limeandikwa kwa mkono. Kwa hatua hiyo sasa Bunge limeenda mapumziko na dakika chache kutoka sasa litarejea kwa ajili ya kupigia kura na wabunge...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10