WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA KAMBI YA WAKIMBIZI YA NYARUGUSU, MKOANI KIGOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-KNSQ_w4GEVg/VoJlhkfPqDI/AAAAAAAIPKE/8Sh17W3mdyU/s72-c/20151229022304.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa zawadi ya khanga,blanket na ndoo kwenye wodi ya wazazi katika zahanati iliyopo kwenye kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu kwa Mama mkimbizi kutoka nchi ya Burundi aliyejifungua.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwajulia hali akina mama waliolazwa katika zahanati iliyopo ndani ya kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu Mkoani Kigoma wanaotoka nchi ya Kidemokrasia ya Congo.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongea na wakimbizi wa Congo na Burundi katika kambi ua Nyarugusu.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU ILIYOKO WILAYANI KASULU MKOANI KIGOMA NA KUWATAKA WAKIMBIZI HAO WADUMISHE AMANI NA UTULIVU
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AHITIMISHA ZIARA MKOANI KIGOMA,ATEMBELEA KAMBI ZA WAKIMBIZI, AWAONYA KUTOJIHUSISHA NA UHALIFU
9 years ago
MichuziZOEZI LA KUWAPOKEA WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI LAENDELEA VIZURI KATIKA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU MKOANI KIGOMA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fo6wUQ8NCwM/VoEnA_ksCOI/AAAAAAAIPAU/Iuk3yrSgjb4/s72-c/20151228040819.jpg)
WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA AWASILI MKOANI KIGOMA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-fo6wUQ8NCwM/VoEnA_ksCOI/AAAAAAAIPAU/Iuk3yrSgjb4/s640/20151228040819.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RgVJMKCo_lA/VoEm_d6jKOI/AAAAAAAIPAM/lgfK-PlxiGo/s640/20151228040830.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lEQJL5vfkYg/VoEnA1IMFbI/AAAAAAAIPAY/d-lqoSbCO58/s640/20151228040850.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-moQTy6xfWDk/VoEnBjCmfLI/AAAAAAAIPAk/raMH5U3YP58/s640/20151228040914.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5Yc7MqmlleM/VoEnCUnIHhI/AAAAAAAIPAw/q3EvBxKH6xM/s640/20151228040934.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mBKET8JFpUo/VoFc6wQGiQI/AAAAAAAIPDU/2tWp4i9QSLM/s72-c/20151228075903.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa afungua soko la kimataifa la Samaki Mkoani Kigoma leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-mBKET8JFpUo/VoFc6wQGiQI/AAAAAAAIPDU/2tWp4i9QSLM/s640/20151228075903.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-d0U0pLGD06c/VoFc64sznxI/AAAAAAAIPDQ/jQQpmNVPIuc/s640/20151228075911.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wcWkhBE01u0/VoFc7Rg325I/AAAAAAAIPDc/DyoVduwVtHg/s640/20151228075934.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V03Klr4z7ro/VoFc7vyMxuI/AAAAAAAIPDg/10Lt5XHSFYI/s640/20151228075943.jpg)
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI ATEMBELEA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU.
9 years ago
MichuziZOEZI LA KUWASAJILI WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI LAENDELEA KATIKA KAMBI YA NYARUGUSU ,WILAYANI KASULU MKOANI KIGOMA
9 years ago
MichuziWAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI WAENDELEA KUWASILI KATIKA KAMBI YA NYARUGUSU ILIYOKO WILAYANI KASULU MKOANI KIGOMA
9 years ago
VijimamboZOEZI LA KUGAWA CHAKULA LAENDELEA KATIKA KAMBI YA WAKIMBIZI YA NYARUGUSU ILIYOKO WILAYANI KASULU MKOANI KIGOMA