Kikwete kuanza ziara Tanga
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwasili mkoani Tanga leo asubuhi kwa ziara ya kikazi ya siku nne mkoani hapa, itakayoambatana na uzinduzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika wilaya nne atakazotembelea.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo04 Jan
Kinana kuanza ziara ya siku 2 Tanga
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana anatarajiwa kuwasili leo kwa ajili ya kufanya ziara ya kikazi ya siku mbili katika baadhi ya wilaya za mkoa wa Tanga.
11 years ago
Habarileo21 Mar
Rais kuanza ziara Tanga Jumapili
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwasili mkoani Tanga kesho ili kuanza ziara ya siku nne ya kikazi katika baadhi ya maeneo ya mkoani humo. Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Chiku Gallawa amebainisha hayo wakati akiwasilisha taarifa kwa vyombo vya habari kupitia mkutano na wanahabari uliofanyika ofisini kwake jana mchana.
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MAJALIWA KUANZA ZIARA MKOANI TANGA KESHO
MKUU wa Mkua wa Tanga Martine Shigella akizungumza na waandishi wa habari mkoani humo leo ambao hawapo pichani kuhusu ziara maalumu ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa itakayoanza kesho Jumatatu
MKUU wa Mkua wa Tanga Martine Shigella akizungumza na waandishi wa
habari mkoani humo kuhusu ziara maalumu ya Waziri Mkuu Kassim
Majaliwa itakayoanza kesho Jumatatu mkoani hapa
WAZIRI mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwasili jijini Tanga kesho June Mosi Mwaka huu kwa ziara maalum ya kutembelea na...
11 years ago
Habarileo17 Jul
Kikwete kuanza ziara Ruvuma
RAIS Jakaya Kikwete leo anatarajia kuanza ziara ya siku saba mkoani Ruvuma. Katika ziara hiyo, Rais anatarajiwa kutembelea halmashauri zote sita zilizopo kwenye wilaya tano na kufungua miradi mbalimbali ya maendeleo.
11 years ago
Dewji Blog10 Jul
Rais Kikwete katika ziara ya kikazi Mkoani Tanga
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi Pikipiki mmoja wa maafisa watendaji kata Wilaya ya Kilindi Bi.Elizabeth Mwita muda mfupi kabla ya Rais Kuhutubia Mkutano wa hadhara mjini Songe Kilindi. Rais Kikwete yupo katika ziara ya kikazi mkoani Tanga.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi kombe katibu wa TFF Wilaya ya Kilindi Bwana Omari Javu wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Songe Kilindi jana.Kombe hilo lijulikanalo kama Kikwete cup litashindaniwa katika ligi ya wilaya...
11 years ago
Mwananchi31 Jul
Tanga kuanza upimaji Saratani ya matiti bila malipo
11 years ago
Michuzi17 Jul
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eeXPi4IWblY/U72wkxpXNZI/AAAAAAAF0SM/1YKLYITT4-E/s72-c/unnamed+(66).jpg)
JK KATIKA ZIARA YA KIKAZI MKOANI TANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-eeXPi4IWblY/U72wkxpXNZI/AAAAAAAF0SM/1YKLYITT4-E/s1600/unnamed+(66).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HEOj2p7-HXk/U72wk5v2hqI/AAAAAAAF0R8/_u4JcmIqjv0/s1600/unnamed+(67).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-mgsCUvOxuHs/VCFhRj5A4_I/AAAAAAAARHo/3WYNM3-eUGY/s72-c/1.jpg)
KINANA AANZA ZIARA MKOANI TANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-mgsCUvOxuHs/VCFhRj5A4_I/AAAAAAAARHo/3WYNM3-eUGY/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QCU4W9A0UkY/VCFh61DSwSI/AAAAAAAARII/W7JawusXB-w/s1600/4.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana
![](http://4.bp.blogspot.com/-KXfhEIETrGk/VCFiBYPOk-I/AAAAAAAARIQ/PC37WiFlI6Y/s1600/5.jpg)