Mawakili TLS wajipanga kuipinga Katiba
Baada ya Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kufuta kesi yake ya kupinga mwenendo wa Bunge Maalum la Katiba, sasa mawakili waliokuwa wakikiwakilisha chama hicho katika kesi hiyo wanafanya mikakati ya kufungua kesi ya kupinga Katiba Inayopendekezwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV17 Oct
CHADEMA kuanza ziara ya kuipinga Katiba.
Na Grace Semfuko,
Dar Es Salaam.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kitaanza ziara maalum katika mikoa yote Nchini ya kuhamasisha wananchi kuikataa katiba inayopendekezwa kwa madai haijakidhi maslahi ya watanzania.
Chama hicho kimesema ziara hiyo itaanza kwa awamu katika jumuia zake ambapo Oktoba 17 itaanzia na jumuiya ya wanawake BAWACHA chini ya Mwenyekiti wake Halima Mdee.
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt Wilbroad Slaa amesema ziara hizo pia...
11 years ago
TheCitizen09 Aug
TLS says petition on Katiba not likely
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zoG2Xng9xio/UwdF9Jss33I/AAAAAAAFOnE/AHgJZ3NnQTs/s72-c/107578798.png)
BUNGE LA KATIBA LITAPIMWA NA WANANCHI - TLS
![](http://4.bp.blogspot.com/-zoG2Xng9xio/UwdF9Jss33I/AAAAAAAFOnE/AHgJZ3NnQTs/s1600/107578798.png)
Raisi wa Chama cha Wanasheria Tanzania ,Tanganyika Law Society (TLS),Francis Stola amesema kuwa kazi ya Bunge la Katiba itapimwa na wananchi kupitia kura ya maoni ya Katiba inayowapa mamlaka ya kuikataa katiba hiyo ama kuikubali endapo wanaona kuwa maoni yao hayakuzingatiwa.
Licha ya kifungu cha 25 cha sheria ya mabadiliko kutokufafanua madaraka halisi ya tume hiyo lakini pia wametakiwa kutengeneza katiba inayotakiwa na Watanzania walio wengi.
Akizungumza na...
11 years ago
Mwananchi27 Mar
TLS: Wajumbe msituharibie Katiba yetu
11 years ago
Mwananchi21 Jul
TLS kwenda kortini kupinga Katiba Mpya
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Mahakama yaridhia TLS kupinga Bunge la Katiba
10 years ago
Mwananchi03 Oct
TLS yafungua kesi kupinga Bunge la Katiba J’tatu
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Wajumbe Bunge la Katiba wajipanga kutetea wakulima
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Wajumbe sekta ya afya wajipanga kusukuma hoja Bunge la Katiba