BUNGE LA KATIBA LITAPIMWA NA WANANCHI - TLS
![](http://4.bp.blogspot.com/-zoG2Xng9xio/UwdF9Jss33I/AAAAAAAFOnE/AHgJZ3NnQTs/s72-c/107578798.png)
Na woinde shizza,Arusha
Raisi wa Chama cha Wanasheria Tanzania ,Tanganyika Law Society (TLS),Francis Stola amesema kuwa kazi ya Bunge la Katiba itapimwa na wananchi kupitia kura ya maoni ya Katiba inayowapa mamlaka ya kuikataa katiba hiyo ama kuikubali endapo wanaona kuwa maoni yao hayakuzingatiwa.
Licha ya kifungu cha 25 cha sheria ya mabadiliko kutokufafanua madaraka halisi ya tume hiyo lakini pia wametakiwa kutengeneza katiba inayotakiwa na Watanzania walio wengi.
Akizungumza na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Mahakama yaridhia TLS kupinga Bunge la Katiba
10 years ago
Mwananchi03 Oct
TLS yafungua kesi kupinga Bunge la Katiba J’tatu
11 years ago
Mwananchi20 Jul
TLS: Maoni ya wananchi yaheshimiwe
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Katiba mpya tusingoje wananchi wachome Bunge
MWEZI Oktoba unaingia kwenye historia kama mwezi uliofufua matumaini ya kupata haki kwa nchi za kiafrika kusini mwa Jangwa Sahara. Mapinduzi ya umma yaliyomlazimisha imla wa zamani wa Burkina Faso,...
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
Wananchi wakilazimika kulivunja Bunge la Katiba tutawajibika!
RAIS wangu, taifa linawayawaya halijui pa kushika! Limeingizwa kwenye mzaha aghali kama vile hakuna Mungu! Maswali ni mengi. Watu ambao muda wao wa kutumika umeisha, wanapogeuzwa waganga wa kienyeji na...
11 years ago
Mwananchi18 May
‘Kuna dalili Bunge la Katiba litapora mamlaka ya wananchi’
11 years ago
TheCitizen09 Aug
TLS says petition on Katiba not likely
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Rais wangu Kikwete, Bunge la Katiba limewatumbukia nyongo wananchi
RAIS wangu, katika kutaka kuboresha ustawi wao wa hapa duniani wanadamu hujiundia mambo yao kwa nia njema kabisa! Wakati mwingine hayo hayo waliyojiundia wakiwa na nia njema, hugeuka kuwa majanga...
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Serikali tatu ‘matakwa ya wananchi’, Warioba aliambia Bunge la #Katiba [VIDEO]