Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BUNGE LA KATIBA LITAPIMWA NA WANANCHI - TLS

Na woinde shizza,Arusha
Raisi wa Chama cha Wanasheria Tanzania ,Tanganyika Law Society (TLS),Francis Stola amesema kuwa kazi ya Bunge la Katiba itapimwa na wananchi kupitia kura ya maoni ya Katiba inayowapa mamlaka ya kuikataa katiba hiyo ama kuikubali endapo wanaona kuwa maoni yao hayakuzingatiwa.
Licha ya kifungu cha 25 cha sheria ya mabadiliko kutokufafanua madaraka halisi ya tume hiyo lakini pia wametakiwa kutengeneza katiba inayotakiwa na Watanzania walio wengi.
Akizungumza na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mahakama yaridhia TLS kupinga Bunge la Katiba

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeipa kibali Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kufungua kesi ya kupinga Bunge la Katiba.

 

10 years ago

Mwananchi

TLS yafungua kesi kupinga Bunge la Katiba J’tatu

Wakati Bunge Maalumu la Katiba likihitimisha rasmi vikao vyake jana, Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kimefungua kesi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kupinga mwenendo wa Bunge hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

TLS: Maoni ya wananchi yaheshimiwe

Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) kimelitaka Bunge Maalumu la Katiba kuheshimu maoni ya wananchi yaliyomo katika Rasimu ya Mabadiliko ya Katiba.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Katiba mpya tusingoje wananchi wachome Bunge

MWEZI Oktoba unaingia kwenye historia kama mwezi uliofufua matumaini ya kupata haki kwa nchi za kiafrika kusini mwa Jangwa Sahara. Mapinduzi ya umma yaliyomlazimisha imla wa zamani wa Burkina Faso,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wakilazimika kulivunja Bunge la Katiba tutawajibika!

RAIS wangu, taifa linawayawaya halijui pa kushika! Limeingizwa kwenye mzaha aghali kama vile hakuna Mungu! Maswali ni mengi. Watu ambao muda wao wa kutumika umeisha, wanapogeuzwa waganga wa kienyeji na...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Kuna dalili Bunge la Katiba litapora mamlaka ya wananchi’

Bunge la Katiba limesitishwa kwa muda baada ya kukutana kwa takribani miezi miwili na nusu na kufanya mijadala muhimu inayolenga kuboresha rasimu ya katiba.

 

11 years ago

TheCitizen

TLS says petition on Katiba not likely

>Intention by  the Tanganyika Law Society (TLS) to file a court petition to seek interpretation of the powers vested in the Constituent Assembly (CA) may not materialise as its members seem to be divided in opinion.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rais wangu Kikwete, Bunge la Katiba limewatumbukia nyongo wananchi

RAIS wangu, katika kutaka kuboresha ustawi wao wa hapa duniani wanadamu hujiundia mambo yao kwa nia njema kabisa! Wakati mwingine hayo hayo waliyojiundia wakiwa na nia njema, hugeuka kuwa majanga...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali tatu ‘matakwa ya wananchi’, Warioba aliambia Bunge la #Katiba [VIDEO]

Kati ya wananchi 38,000 waliotoa maoni yao kuhusu Muungano, 19,000 walizungumzia suala la muundo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani