Rais wangu Kikwete, Bunge la Katiba limewatumbukia nyongo wananchi
RAIS wangu, katika kutaka kuboresha ustawi wao wa hapa duniani wanadamu hujiundia mambo yao kwa nia njema kabisa! Wakati mwingine hayo hayo waliyojiundia wakiwa na nia njema, hugeuka kuwa majanga...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMku8UlNsqnI4pzrzhU0rQMZio9Kl7GwjvJnOcT3sirPLmU5rTxJcuDNYVAiLcmQBYF39qxxkzi3NCfOKZxNWtaL/BREAKINGNEWS.gif)
RAIS KIKWETE AHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WA*Dv5OWc2hvy3wHuA6qJo6JlK0cm7ED4QudaA6XjaqIWbrHYXNWq7s0EMtVZHVUnaZiggkyYTIICyzrL303mZxoyQQdjioH/unnamed.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE KUUNGURUMA KESHO BUNGE MAALUM LA KATIBA.
11 years ago
GPL21 Mar
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMmAS1BQkEGTD8e*rHSeARI*9z62YxXuylWSL9L3rDDExO2tmfIGk4S9VzW2vvt1E*lwoilnBUzXYKTTQPzxMILu/ikulu.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AWASILI DODOMA KUHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA
11 years ago
Dewji Blog21 Jun
Mjadala Bunge Maalum la Katiba halininyimi usingizi — Rais Kikwete
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amekumbuka enzi za kuwa mwalimu katika Chuo cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania cha Monduli, Arusha, alipotoa mhadhara katika Chuo cha Taifa cha ulinzi (National Defence College -NDC- ) kilichopo Kunduchi jijini Dar es salaam ambako aliahidi kwamba baada ya kustaafu Urais mwakani atakuwa mwalimu chuoni hapo. Pichani anaonekana Rais Kikwete akisikiliza swali kutoka kwa mmoja wanafunzi hao baada ya mhadhara wake.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMnwm5bbvIz7NRuWY2gpwkGGZkKzAzMi4Kg20HvFbyL5pUeKVNIkLK0AU3p*81KkbIW4BD-qZEsLHrFqLL-k1Gn9/raisJK.jpg?width=650)
HOTUBA YA RAIS KIKWETE WAKATI WA KULIHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA LEO
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kd73LQSybdo/UwNVKi9BisI/AAAAAAAFNyQ/emfkmYBa4os/s72-c/534807487.jpg)
UWT YAMPONGEZA RAIS KIKWETE KWA UTEUZI WA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kd73LQSybdo/UwNVKi9BisI/AAAAAAAFNyQ/emfkmYBa4os/s1600/534807487.jpg)
Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT) umempongeza Mhe. Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete kwa uteuzi wa wajumbe wa Bunge la Katiba linalotarajia kuanza leo Mjini Dodoma.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo jijini Dar es Salaam kwa vyombo vya habari na kusainiwa na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja huo Eva Mwingizi ilisema uteuzi wa Rais umezingatia umri, weledi, uzoefu na uwakilishi wa makundi mbalimbali ya kijamii.
Mwingizi alisema uteuzi huo umeangalia asilimia 50 ya...