Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TLS says petition on Katiba not likely

>Intention by  the Tanganyika Law Society (TLS) to file a court petition to seek interpretation of the powers vested in the Constituent Assembly (CA) may not materialise as its members seem to be divided in opinion.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

BUNGE LA KATIBA LITAPIMWA NA WANANCHI - TLS

Na woinde shizza,Arusha
Raisi wa Chama cha Wanasheria Tanzania ,Tanganyika Law Society (TLS),Francis Stola amesema kuwa kazi ya Bunge la Katiba itapimwa na wananchi kupitia kura ya maoni ya Katiba inayowapa mamlaka ya kuikataa katiba hiyo ama kuikubali endapo wanaona kuwa maoni yao hayakuzingatiwa.
Licha ya kifungu cha 25 cha sheria ya mabadiliko kutokufafanua madaraka halisi ya tume hiyo lakini pia wametakiwa kutengeneza katiba inayotakiwa na Watanzania walio wengi.
Akizungumza na...

 

11 years ago

Mwananchi

TLS: Wajumbe msituharibie Katiba yetu

Baraza la Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) limeipongeza Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa kazi nzuri iliyofanya ya kutoa rasimu yenye sura ya kitaifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Mawakili TLS wajipanga kuipinga Katiba

Baada ya Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kufuta kesi yake ya kupinga mwenendo wa Bunge Maalum la Katiba, sasa mawakili waliokuwa wakikiwakilisha chama hicho katika kesi hiyo wanafanya mikakati ya kufungua kesi ya kupinga Katiba Inayopendekezwa.

 

11 years ago

Mwananchi

TLS kwenda kortini kupinga Katiba Mpya

Wiki mbili kabla Bunge Maalumu la Katiba (BMK) kuanza vikao vya awamu ya pili baada ya kuahirishwa Aprili mwaka huu, Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kinapanga kwenda mahakamani kusitisha mchakato wa utungaji wa Katiba Mpya.

 

10 years ago

Mwananchi

Mahakama yaridhia TLS kupinga Bunge la Katiba

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeipa kibali Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kufungua kesi ya kupinga Bunge la Katiba.

 

10 years ago

Mwananchi

TLS yafungua kesi kupinga Bunge la Katiba J’tatu

Wakati Bunge Maalumu la Katiba likihitimisha rasmi vikao vyake jana, Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kimefungua kesi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kupinga mwenendo wa Bunge hilo.

 

11 years ago

TheCitizen

TLS not yet done with PM

The Tanganyika Law Society (TLS) and Legal and Human Rights Centre (LHRC) intend to move to the Court of Appeal after the High Court threw out their constitutional petition against Prime Minister Mizengo Pinda.

 

9 years ago

Mwananchi

TLS wawalalamikia Ma-DC

Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimewataka wakuu wa wilaya kuacha kuingilia mamlaka na mifumo iliyowekwa katika kutekeleza majukumu mbalimbali ya kimaendeleo.     

 

11 years ago

Dewji Blog

TLS kuishitaki Serikali

law2

Na Mwandishi wetu

CHAMA cha Wanasheria Tanganyika(TLS), leo kinatarajia kufungua kesi katika mahakama kuu kuishitaki serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa maamuzi yake ya kuunga mkono usitishaji wa mahakama ya jumuiya ya nchi za kusini mwa afrika(SADC Tribunal).

Maamuzi hayo yametangazwa na mjumbe wa kamati ya haki za binadamu wa chama hicho, Daimu Khalfan katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika ofisini kwao jijini Dar es Salaam. Khalfan alisema kwenye mkutano wao wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani