TLS says petition on Katiba not likely
>Intention by the Tanganyika Law Society (TLS) to file a court petition to seek interpretation of the powers vested in the Constituent Assembly (CA) may not materialise as its members seem to be divided in opinion.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zoG2Xng9xio/UwdF9Jss33I/AAAAAAAFOnE/AHgJZ3NnQTs/s72-c/107578798.png)
BUNGE LA KATIBA LITAPIMWA NA WANANCHI - TLS
![](http://4.bp.blogspot.com/-zoG2Xng9xio/UwdF9Jss33I/AAAAAAAFOnE/AHgJZ3NnQTs/s1600/107578798.png)
Raisi wa Chama cha Wanasheria Tanzania ,Tanganyika Law Society (TLS),Francis Stola amesema kuwa kazi ya Bunge la Katiba itapimwa na wananchi kupitia kura ya maoni ya Katiba inayowapa mamlaka ya kuikataa katiba hiyo ama kuikubali endapo wanaona kuwa maoni yao hayakuzingatiwa.
Licha ya kifungu cha 25 cha sheria ya mabadiliko kutokufafanua madaraka halisi ya tume hiyo lakini pia wametakiwa kutengeneza katiba inayotakiwa na Watanzania walio wengi.
Akizungumza na...
11 years ago
Mwananchi27 Mar
TLS: Wajumbe msituharibie Katiba yetu
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Mawakili TLS wajipanga kuipinga Katiba
11 years ago
Mwananchi21 Jul
TLS kwenda kortini kupinga Katiba Mpya
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Mahakama yaridhia TLS kupinga Bunge la Katiba
10 years ago
Mwananchi03 Oct
TLS yafungua kesi kupinga Bunge la Katiba J’tatu
11 years ago
TheCitizen11 Jun
TLS not yet done with PM
9 years ago
Mwananchi19 Dec
TLS wawalalamikia Ma-DC
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
TLS kuishitaki Serikali
Na Mwandishi wetu
CHAMA cha Wanasheria Tanganyika(TLS), leo kinatarajia kufungua kesi katika mahakama kuu kuishitaki serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa maamuzi yake ya kuunga mkono usitishaji wa mahakama ya jumuiya ya nchi za kusini mwa afrika(SADC Tribunal).
Maamuzi hayo yametangazwa na mjumbe wa kamati ya haki za binadamu wa chama hicho, Daimu Khalfan katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika ofisini kwao jijini Dar es Salaam. Khalfan alisema kwenye mkutano wao wa...