TLS not yet done with PM
The Tanganyika Law Society (TLS) and Legal and Human Rights Centre (LHRC) intend to move to the Court of Appeal after the High Court threw out their constitutional petition against Prime Minister Mizengo Pinda.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi19 Dec
TLS wawalalamikia Ma-DC
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
TLS kuishitaki Serikali
Na Mwandishi wetu
CHAMA cha Wanasheria Tanganyika(TLS), leo kinatarajia kufungua kesi katika mahakama kuu kuishitaki serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa maamuzi yake ya kuunga mkono usitishaji wa mahakama ya jumuiya ya nchi za kusini mwa afrika(SADC Tribunal).
Maamuzi hayo yametangazwa na mjumbe wa kamati ya haki za binadamu wa chama hicho, Daimu Khalfan katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika ofisini kwao jijini Dar es Salaam. Khalfan alisema kwenye mkutano wao wa...
11 years ago
TheCitizen09 Aug
TLS says petition on Katiba not likely
11 years ago
TheCitizen30 Apr
TLS wants seven more gag laws to go
11 years ago
Mwananchi20 Jul
TLS: Maoni ya wananchi yaheshimiwe
10 years ago
Habarileo04 May
AG ataka maombi ya TLS yatupwe
MWANASHERIA Mkuu (AG) ameitaka Mahakama Kuu kutupilia mbali ombi dhidi ya kuondolewa kwa Mahakama iliyoanzishwa na wajumbe wa Jumuiya ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), kwa ajili ya kushughulikia masuala ya uvunjwaji wa haki za raia.
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Mawakili TLS wajipanga kuipinga Katiba
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zoG2Xng9xio/UwdF9Jss33I/AAAAAAAFOnE/AHgJZ3NnQTs/s72-c/107578798.png)
BUNGE LA KATIBA LITAPIMWA NA WANANCHI - TLS
![](http://4.bp.blogspot.com/-zoG2Xng9xio/UwdF9Jss33I/AAAAAAAFOnE/AHgJZ3NnQTs/s1600/107578798.png)
Raisi wa Chama cha Wanasheria Tanzania ,Tanganyika Law Society (TLS),Francis Stola amesema kuwa kazi ya Bunge la Katiba itapimwa na wananchi kupitia kura ya maoni ya Katiba inayowapa mamlaka ya kuikataa katiba hiyo ama kuikubali endapo wanaona kuwa maoni yao hayakuzingatiwa.
Licha ya kifungu cha 25 cha sheria ya mabadiliko kutokufafanua madaraka halisi ya tume hiyo lakini pia wametakiwa kutengeneza katiba inayotakiwa na Watanzania walio wengi.
Akizungumza na...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
LHRC, TLS wazidi kusaka haki
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) na Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), wamesema kuwa wanapinga hukumu ya pili iliyoeleza kuwa hawana mamlaka ya kumshitaki Waziri Mkuu kwa kuwa...