Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TLS kuishitaki Serikali

law2

Na Mwandishi wetu

CHAMA cha Wanasheria Tanganyika(TLS), leo kinatarajia kufungua kesi katika mahakama kuu kuishitaki serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa maamuzi yake ya kuunga mkono usitishaji wa mahakama ya jumuiya ya nchi za kusini mwa afrika(SADC Tribunal).

Maamuzi hayo yametangazwa na mjumbe wa kamati ya haki za binadamu wa chama hicho, Daimu Khalfan katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika ofisini kwao jijini Dar es Salaam. Khalfan alisema kwenye mkutano wao wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

TLS: Serikali iondoe vikwazo utoaji habari

CHAMA cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kimetaka serikali kuondoa vikwazo vya kisheria na kanuni zinazozuia uwazi na utoaji wa habari. Wito huo ulitolewa jijini Dar es Salaam juzi na Rais wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yakwaa kisiki kuizuia TLS mahakamani

Serikali jana ilijikuta ikikwaa kisiki mahakamani baada ya kushindwa kuzuia usikilizwaji wa maombi ya Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS), ya kutaka ipatiwe kibali cha kufungua kesi kupinga Bunge la Katiba.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria kuishitaki Schalke kwa FIFA

Nigeria imesema itaishitaki Schalke kwa Fifa kwa kukataa kumwachilia mchezaji wake Chinedu Obasi

 

9 years ago

BBCSwahili

UEFA kuishitaki klabu ya Dynamo Kiev

Shirikisho la Soka barani Ulaya UEFA, limefungua kesi ya kinidhamu dhidi ya klabu ya Dynamo Kiev kutokana na vurugu za mashabiki wake.

 

11 years ago

TheCitizen

TLS not yet done with PM

The Tanganyika Law Society (TLS) and Legal and Human Rights Centre (LHRC) intend to move to the Court of Appeal after the High Court threw out their constitutional petition against Prime Minister Mizengo Pinda.

 

9 years ago

Mwananchi

TLS wawalalamikia Ma-DC

Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimewataka wakuu wa wilaya kuacha kuingilia mamlaka na mifumo iliyowekwa katika kutekeleza majukumu mbalimbali ya kimaendeleo.     

 

11 years ago

TheCitizen

TLS wants seven more gag laws to go

Seven laws should be amended to ensure more freedom of expression in the country, the Tanganyika Law Society (TLS) said yesterday.

 

11 years ago

TheCitizen

TLS says petition on Katiba not likely

>Intention by  the Tanganyika Law Society (TLS) to file a court petition to seek interpretation of the powers vested in the Constituent Assembly (CA) may not materialise as its members seem to be divided in opinion.

 

11 years ago

Mwananchi

TLS: Maoni ya wananchi yaheshimiwe

Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) kimelitaka Bunge Maalumu la Katiba kuheshimu maoni ya wananchi yaliyomo katika Rasimu ya Mabadiliko ya Katiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani