Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UEFA kuishitaki klabu ya Dynamo Kiev

Shirikisho la Soka barani Ulaya UEFA, limefungua kesi ya kinidhamu dhidi ya klabu ya Dynamo Kiev kutokana na vurugu za mashabiki wake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

UEFA yaishtaki klabu ya Dynamo Kiev

Shirikisho la soka barani Ulaya, UEFA, limeifungulia kesi ya kinidhamu klabu ya Dynamo Kiev kutokana na vurugu zilizofanywa na mashabiki wake na mambo ya kibaguzi katika mchezo wa ligi ya mabingwa Ulaya dhidi ya Chelsea. Katika taarifa yake, UEAFA imesema itaanza kusikiliza kesi hiyo Octoba 27 mwaka huu. Hiyo sio mara ya kwanza kwa mashabiki […]

 

9 years ago

BBC

Uefa starts Kiev racism investigation

Uefa is passed video appearing to show black fans being attacked during Dynamo Kiev's Champions League draw with Chelsea.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uefa:Klabu bingwa ulaya kuendelea leo

Ligi ya mabingwa ulaya itaendelea kutimua vumbi leo kwa michezo nane kuchezwa katika viwanja tofauti

 

11 years ago

Dewji Blog

TLS kuishitaki Serikali

law2

Na Mwandishi wetu

CHAMA cha Wanasheria Tanganyika(TLS), leo kinatarajia kufungua kesi katika mahakama kuu kuishitaki serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa maamuzi yake ya kuunga mkono usitishaji wa mahakama ya jumuiya ya nchi za kusini mwa afrika(SADC Tribunal).

Maamuzi hayo yametangazwa na mjumbe wa kamati ya haki za binadamu wa chama hicho, Daimu Khalfan katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika ofisini kwao jijini Dar es Salaam. Khalfan alisema kwenye mkutano wao wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria kuishitaki Schalke kwa FIFA

Nigeria imesema itaishitaki Schalke kwa Fifa kwa kukataa kumwachilia mchezaji wake Chinedu Obasi

 

11 years ago

BBCSwahili

Hali yatokota mjini Kiev, Ukraine

Upinzani huko Ukrain umeapa kutotoka uwanja wa uhuru wanakoendeleza maandamano dhidi ya serikali

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais wa Ukrain auhama mji mkuu wa Kiev

Rais wa Ukrain Victor Yanukovych ameondoka mjini kiev na anadaiwa kuwa mashariki mwa taifa hilo.

 

9 years ago

MillardAyo

Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa kumsajili Mbwana Samatta

Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kushika kasi, Samatta anatajwa kuwa katika mpango wa kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya,mara tu dirisha dogo la usajili la mwezi January litakapofunguliwa. Headlines ambazo zimenifikia kutoka katika mtandao wa www.voetbalkrant.com zinaripo nyota […]

The post Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani