UEFA yaishtaki klabu ya Dynamo Kiev
Shirikisho la soka barani Ulaya, UEFA, limeifungulia kesi ya kinidhamu klabu ya Dynamo Kiev kutokana na vurugu zilizofanywa na mashabiki wake na mambo ya kibaguzi katika mchezo wa ligi ya mabingwa Ulaya dhidi ya Chelsea. Katika taarifa yake, UEAFA imesema itaanza kusikiliza kesi hiyo Octoba 27 mwaka huu. Hiyo sio mara ya kwanza kwa mashabiki […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili23 Oct
UEFA kuishitaki klabu ya Dynamo Kiev
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/C9BE/production/_86364615_kiev_fans_getty.jpg)
Uefa starts Kiev racism investigation
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Uefa:Klabu bingwa ulaya kuendelea leo
9 years ago
BBCSwahili19 Sep
Pembe za ndovu: TZ yaishtaki Malawi
10 years ago
BBCSwahili12 Aug
India yaishtaki kampuni ya Nestle
11 years ago
BBCSwahili19 Feb
Hali yatokota mjini Kiev, Ukraine
11 years ago
BBCSwahili23 Feb
Rais wa Ukrain auhama mji mkuu wa Kiev
11 years ago
Mwananchi23 May
IPTL yaishtaki MCL, yadai Sh8.8 trilioni
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa kumsajili Mbwana Samatta
Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kushika kasi, Samatta anatajwa kuwa katika mpango wa kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya,mara tu dirisha dogo la usajili la mwezi January litakapofunguliwa. Headlines ambazo zimenifikia kutoka katika mtandao wa www.voetbalkrant.com zinaripo nyota […]
The post Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa...