India yaishtaki kampuni ya Nestle
Serikali ya India inaishtaki kampuni ya Nestle kwa malipo ya dola milioni 100 kwa mfumo wa biashara usio halali kulingana na afisa mmoja.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Marufuku ya tambi za Nestle yaondolewa India
10 years ago
BBCSwahili05 Jun
Nestle yaagizwa kuondoa tambi zake India
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Kampuni ya Nestle kuchimba kisima Mtwara
KAMPUNI ya Nestle, tawi la Tanzania imetoa msaada wa sh milioni 10 kwa ajili ya mradi wa kisima kirefu katika Chuo Kikuu cha Stella Maris (STEMMUCO) cha mkoani Mtwara. Akizungumza...
9 years ago
Bongo526 Dec
Kampuni ya Nestle yathibitisha ubora na uhalisia wa bidhaa yake ya Nido
![NIDO-PACK-PRESS_TIN_D-swa(1)](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/NIDO-PACK-PRESS_TIN_D-swa1-300x194.jpg)
Kampuni mama ya bidhaa ya maziwa ya unga ya NIDO, Nestle, hivi karibuni imethibitisha ubora na uhalisia wa bidhaa yake hii maarufu ya NIDO.
Hii imekuja baada ya mabadiliko ya chanzo cha upatikanaji wa maziwa haya kuhamia nchi ya Afrika Kusini, mabadiliko haya yalisababisha mkanganyiko kwa watumiaji wake wa kila siku.
Kampuni ya Nestle imewahakikishia kuwa NIDO (kwenye picha) kama ilivyo bidhaa nyingine kutoka Nestle, imetengenezwa kwa kufuata viwango vya hali ya juu kabisa vya uborana...
10 years ago
BBCSwahili08 Dec
Kampuni ya Taxi nchini India matatani
9 years ago
BBCSwahili19 Sep
Pembe za ndovu: TZ yaishtaki Malawi
9 years ago
Bongo523 Oct
UEFA yaishtaki klabu ya Dynamo Kiev
11 years ago
Mwananchi23 May
IPTL yaishtaki MCL, yadai Sh8.8 trilioni
10 years ago
Mtanzania11 May
SAKATA LA MSUVA KUTIMKIA SAUZI ;Yanga yaishtaki Bidvest
ABDUCADO EMMANUEL, DAR NA MICHAEL MAURUS, MTWARA
SAKATA la winga wa timu ya Yanga, Simon Msuva kwenda kufanya majaribio Afrika Kusini kwenye timu ya Bidvest Wits bila ruhusa ya uongozi wake, limechukua sura mpya baada ya mabingwa hao wa Ligi Kuu ya Vodacom kuishtaki timu hiyo kwenye Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA).
Msuva aliyerejea nchini juzi baada ya kumaliza majaribio hayo na kudaiwa kufanya vizuri, alitorokea nchini humo Jumatatu iliyopita usiku bila kuafikiana na uongozi wa...