Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kampuni ya Nestle yathibitisha ubora na uhalisia wa bidhaa yake ya Nido

NIDO-PACK-PRESS_TIN_D-swa(1)

Kampuni mama ya bidhaa ya maziwa ya unga ya NIDO, Nestle, hivi karibuni imethibitisha ubora na uhalisia wa bidhaa yake hii maarufu ya NIDO.

NIDO-PACK-PRESS_TIN_D-swa(1)

Hii imekuja baada ya mabadiliko ya chanzo cha upatikanaji wa maziwa haya kuhamia nchi ya Afrika Kusini, mabadiliko haya yalisababisha mkanganyiko kwa watumiaji wake wa kila siku.

Kampuni ya Nestle imewahakikishia kuwa NIDO (kwenye picha) kama ilivyo bidhaa nyingine kutoka Nestle, imetengenezwa kwa kufuata viwango vya hali ya juu kabisa vya uborana...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA MEGATRADE INVESTMENT LIMITED YAPOKEA CHETI CHA UBORA WA BIDHAA ZAKE KUTOKA TBS


Meneja wa Kanda ya Pwani wa Kampuni ya Megatrade investment limited Godfrey Mkunde kushoto akipokea cheti cha ubora wa bidhaa za kampuni hiyo kutoka kwa mkurugenzi wa kampuni ya viwango nchini TBS Bw. Joseph Masikitiko wakati wa utoaji wa vyeti hivyo uliofanyika katika ofisi za TBS Dar es salaamMeneja wa Kanda ya Pwani wa Kampuni ya Megatrade investment limited Godfrey Mkunde kulia akiwa na Msimamizi mkuu wa mauzo wa Kampuni hiyo Albert Kingu.Meneja wa Kanda ya Pwani wa Kampuni ya Megatrade...

 

10 years ago

Vijimambo

GLOBAL TV ONLINE : JOKATE AFUNGUKA KUHUSU BIDHAA ZA KAMPUNI YAKE.



Imefichuka! Sexy lady mtafutaji anayejishughulisha na fani lukuki ikiwemo urembo na muziki, Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’ kwa mara ya kwanza ameweka wazi kwamba alitaka kunywa sumu kisa kikiwa ni kuumizwa kimapenzi na mwanaume aliyempenda kupindukia, aya zifuatazo zimesheheni.Sexy lady mtafutaji anayejishughulisha na fani lukuki ikiwemo urembo na muziki, Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’,MBELE YA GAZETI HILIAkizungumza katika spesho intavyu na gazeti namba moja la mastaa Bongo, Ijumaa Wikienda,...

 

10 years ago

BBCSwahili

India yaishtaki kampuni ya Nestle

Serikali ya India inaishtaki kampuni ya Nestle kwa malipo ya dola milioni 100 kwa mfumo wa biashara usio halali kulingana na afisa mmoja.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kampuni ya Nestle kuchimba kisima Mtwara

KAMPUNI ya Nestle, tawi la Tanzania imetoa msaada wa sh milioni 10 kwa ajili ya mradi wa kisima kirefu katika Chuo Kikuu cha Stella Maris (STEMMUCO) cha mkoani Mtwara. Akizungumza...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Asas Dairies Ltd kwa mwaka wa tatu mfululizo yashikilia tuzo ya ubora, yazibwaga kampuni kongwe

Afisa masoko wa kampuni hiyo ya Asas Dairies Ltd Bw Jimmy Kiwelu (kulia)  akiwa na   wafanyakazi  wenzake baada ya  kutwaa tuzo ya ubora ya Kitaifa katika  bidhaa za Asas Dairies Ltd. Hii  ndio kampuni  iliyoweza  kushinda tuzo ya  ubora.

Medali  ,vyeti na  tuzo  ya ushindi ambayo kampuni ya Asas Dairies Ltd imeshinda  tena  mwaka huu katika maonyesho ya maziwa mkoani Mara.

blogger-image--1075361007

Vyeti na medali tatu ambazo kampuni ya Asas Dairies Ltd imeshinda  tena.

Baadhi ya  bidhaa za kampuni ya Asas...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania na ubora wa bidhaa

Baadhi ya bidhaa zinazoingizwa nchini Tanzania zimeelezwa kutokuwa na viwango wala nembo za ubora.

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA ASAS DAIRIES LTD KWA MWAKA WA TATU MFULULIZO YASHIKILIA TUZO YA UBORA ,YAZIBWAGA KAMPUNI KONGWE TENA WAZIRI KAMANI APONGEZA

Afisa masoko wa kampuni hiyo ya Asas Dairies Ltd Bw Jimmy Kiwelu (kulia)  akiwa na   wafanyakazi  wenzake baada ya  kutwaa tuzo ya ubora ya Kitaifa katika  bidhaa za Asas Dairies Ltd 
Hii  ndio kampuni  iliyoweza  kushinda tuzo ya  uboraMedali  ,vyeti na  tuzo  ya ushindi  ambayo kampuni ya Asas Dairies Ltd imeshinda  tena  mwaka huu katika maonyesho ya maziwa mkoani Mara.Kwa habari kamili BOFYA HAPA

 

10 years ago

Mwananchi

‘Bidhaa nchini hazina ubora’

Bidhaa nyingi nchini zimeendelea kushindwa kuingia kwenye masoko ya ndani na nje kutokana na changamoto za vifungashio, nembo na alama za mistari.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Nunueni bidhaa zenye ubora’

WATANZANIA wameshauriwa kununua bidhaa zenye ubora za Panasonic na kuachana na zingine zilizopo katika soko ambazo hazina ubora. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Mkurugenzi  wa Masoko wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani