Tanzania na ubora wa bidhaa
Baadhi ya bidhaa zinazoingizwa nchini Tanzania zimeelezwa kutokuwa na viwango wala nembo za ubora.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Dec
‘Bidhaa nchini hazina ubora’
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
‘Nunueni bidhaa zenye ubora’
WATANZANIA wameshauriwa kununua bidhaa zenye ubora za Panasonic na kuachana na zingine zilizopo katika soko ambazo hazina ubora. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Mkurugenzi wa Masoko wa...
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
Bidhaa zauzwa bila nembo ya ubora TZ
10 years ago
Habarileo20 Oct
Maabara ya kupima ubora wa bidhaa kujengwa Dar
UJENZI wa maabara kubwa ya kisasa ya kupima ubora wa bidhaa mbalimbali zinazozalishwa nchini utaanza karibuni Ubungo, Dar es Salaam, kwa msaada wa Serikali ya China. Akizungumza Dar es Salaam hivi karibuni, Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Mussa Uledi alisema, maabara hiyo itakayogharimu Sh bilioni 10, itamaliza adha mbalimbali za kimaabara zinazojitokeza, ikiwemo kuwekwa sakafuni kwa sampuli zisizostahili kuwekwa chini kama vile vyakula.
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Bidhaa 1,200 zaidhinishwa kwa ubora EAC
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xpNoYohyq8E/U3SA1kdXVkI/AAAAAAAFhyY/_ol_tPd9a5w/s72-c/unnamed+(3).jpg)
WATANZANIA WAMESHAURIWA KUTUMIA BIDHAA ZENYE UBORA
![](http://3.bp.blogspot.com/-xpNoYohyq8E/U3SA1kdXVkI/AAAAAAAFhyY/_ol_tPd9a5w/s1600/unnamed+(3).jpg)
11 years ago
Habarileo15 Jun
‘Zalisheni bidhaa zenye ubora unaotambuliwa TBS’
WAJASIRIAMALI wameaswa kuzalisha bidhaa zenye ubora badala ya kutengeneza na kuziuza kwa wananchi wakati bado hazijapimwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS). Aidha wajasiriamali 258 wamefikiwa na TBS na kupimiwa ubora wa bidhaa zao nchi nzima.
10 years ago
Dewji Blog22 Oct
Wazalishaji wadogo wahimizwa ubora katika bidhaa zao
Na Nathaniel Limu, Singida
KATIBU tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan,...
9 years ago
StarTV20 Nov
TBS yawataka wazalishaji kuthibitishiwa ubora wa bidhaa na shirika hilo
Shirika la Viwango Tanzania limewataka wazalishaji wote wa bidhaa ambazo ziko katika viwango vya lazima kuhakikisha wanathibitisha ubora wa bidhaa zao kwa shirika hilo.
Kauli hiyo imekuja baada ya TBS kubaini viwanda vya Kampuni ya Red East Building materials limited cha Tabata Bima na kile cha Snow Leopard cha Tabata Segerea kuzalisha mabati ambayo hayajathibitishwa ubora .
Kabla ya kuvifungia viwanda hivyo, Afisa masoko wa TBS, Gladnes Kaseka alisema viwanda vyote ambavyo...