Wazalishaji wadogo wahimizwa ubora katika bidhaa zao
Na Nathaniel Limu, Singida
KATIBU tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV20 Nov
TBS yawataka wazalishaji kuthibitishiwa ubora wa bidhaa na shirika hilo
Shirika la Viwango Tanzania limewataka wazalishaji wote wa bidhaa ambazo ziko katika viwango vya lazima kuhakikisha wanathibitisha ubora wa bidhaa zao kwa shirika hilo.
Kauli hiyo imekuja baada ya TBS kubaini viwanda vya Kampuni ya Red East Building materials limited cha Tabata Bima na kile cha Snow Leopard cha Tabata Segerea kuzalisha mabati ambayo hayajathibitishwa ubora .
Kabla ya kuvifungia viwanda hivyo, Afisa masoko wa TBS, Gladnes Kaseka alisema viwanda vyote ambavyo...
9 years ago
StarTV03 Dec
Wafanyabiashara wadogo Afrika Mashariki watakiwa kuongeza uzalishaji zenye bidhaa zenye ubora
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amewataka wafanyabiashara wadogo wadogo wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuzalisha bidhaa zenye ubora ili kukidhi soko la kimataifa la bidhaa hizo.
Rais Magufuli amesema endapo bidhaa zenye ubora zitazalishwa ndani ya Nchi hizo ,malalamiko ya mara kwa mara ya wafanyabiashara hao kuhusu masoko yatafikia ukomo kutokana na kuwa na wateja wengi kutoka nchi mbalimbali Duniani.
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Said Meck...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZMCG4j2FuuU/XpG0EOlK1UI/AAAAAAALmyk/Rxs4cnRb8sY2q02lKUuhCVkLsvHn6d2UgCLcBGAsYHQ/s72-c/Mansoor%2BMoiz.jpg)
KIWANDA CHA AFRICAB KINAVYOSISITIZA UBORA KATIKA UZALISHAJI BIDHAA ZA PVC
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZMCG4j2FuuU/XpG0EOlK1UI/AAAAAAALmyk/Rxs4cnRb8sY2q02lKUuhCVkLsvHn6d2UgCLcBGAsYHQ/s400/Mansoor%2BMoiz.jpg)
UWEPO wa biashara ya mabomba ya plastiki (PVC) yasiyo na ubora katika soko nchini kwa kiasi kikubwa kumetajwa kuchangiwa na baadhi ya wenye viwanda vinavyozalisha bidhaa hiyo kutozingatia sheria sambamba na waagizaji wasio wa nje ya nchi wasio waaminifu.
Hatua hiyo pamoja na mambo mengine imebainishwa kuwa moja ya sababu kuu ya wananchi kupata hasara mbalimbali hususani pale linapotokea bomba hilo kupasuka na kusababisha athari katika njia za umeme na wakati...
10 years ago
Mwananchi03 Oct
‘Ubepari unawakandamiza wazalishaji wadogo’
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Wazalishaji wa ndani zingatieni ubora
9 years ago
Mtanzania23 Sep
Wasanii wa kike walio katika mapenzi na wadogo zao
NA GEORGE KAYALA
NICK Cannon na Mariah Carey walifunga ndoa mwaka 2008, licha ya Mariah kuwa na umri mkubwa zaidi ya Nick.
Maisha yao yalikuwa na furaha na kila mmoja alimfurahia mwenzake, huku wakijivunia uhusiano wao uliopelekea ndoa yao kiasi kwamba wakapata watoto wawili mapacha, Monroe na Moroccan Scott Cannon.
Lakini baadaye wawili hao waliachana katika hali ya kutatanisha, kwa kuwa hakuna aliyewahi kuweka wazi kilichosababisha kutengana kwao, ingawa zipo tetesi kwamba wawili hao...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Ee4UN2FQfqI/U4zh-ak4jZI/AAAAAAACiuI/7sm-9MOdgkY/s72-c/14.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM,KINANA NDANI YA MERERANI,AKUTANA NA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO WA MADINI NA KUSIKILZA CHANGAMOTO ZAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ee4UN2FQfqI/U4zh-ak4jZI/AAAAAAACiuI/7sm-9MOdgkY/s1600/14.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wB0YfRykrlY/U4zh8Mu5WeI/AAAAAAACiuA/NRC90O9WADA/s1600/15.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cF3RV8e731I/U4ziDniQBdI/AAAAAAACiuY/dxqyoJHfn2c/s1600/17.jpg)
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
Tanzania na ubora wa bidhaa
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
‘Nunueni bidhaa zenye ubora’
WATANZANIA wameshauriwa kununua bidhaa zenye ubora za Panasonic na kuachana na zingine zilizopo katika soko ambazo hazina ubora. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Mkurugenzi wa Masoko wa...