Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazalishaji wadogo wahimizwa ubora katika bidhaa zao

DSC01383

Mwakilishi wa mkurungezi wa usala wa chakula (TFDA), Lazaro Mwambole, akitoa taarifa yake muda mfupi kabla hajamkaribisha mgeni rasmi Katibu Tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan kufungua mafunzo ya siku mbili yaliyohudhuriwa na wasindikaji wadogo wa chakula mkoa wa Singida.Wa pili kulia (waliokaa) Katibu Tawala mkoa wa Singida Liana Hassan na Mganga Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk, Doroth Gwajima (wa pili kulia).

Na Nathaniel Limu, Singida

KATIBU tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan,...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

TBS yawataka wazalishaji kuthibitishiwa ubora wa bidhaa na shirika hilo

 

Shirika la Viwango Tanzania limewataka wazalishaji wote wa bidhaa ambazo ziko katika viwango vya lazima kuhakikisha wanathibitisha ubora wa bidhaa zao kwa shirika hilo.

Kauli hiyo imekuja baada ya TBS kubaini viwanda vya Kampuni ya Red East Building materials limited cha Tabata Bima na kile cha Snow Leopard cha Tabata Segerea kuzalisha mabati ambayo hayajathibitishwa ubora .

Kabla  ya kuvifungia viwanda hivyo, Afisa masoko wa TBS, Gladnes Kaseka alisema viwanda vyote ambavyo...

 

9 years ago

StarTV

Wafanyabiashara wadogo Afrika Mashariki watakiwa kuongeza uzalishaji zenye bidhaa zenye ubora

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amewataka wafanyabiashara wadogo wadogo wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuzalisha bidhaa zenye ubora ili kukidhi soko la kimataifa la bidhaa hizo.

Rais Magufuli amesema endapo bidhaa zenye ubora zitazalishwa ndani ya Nchi hizo ,malalamiko ya mara kwa mara ya wafanyabiashara hao kuhusu masoko yatafikia ukomo kutokana na kuwa na wateja wengi  kutoka nchi mbalimbali Duniani.

Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Said Meck...

 

5 years ago

Michuzi

KIWANDA CHA AFRICAB KINAVYOSISITIZA UBORA KATIKA UZALISHAJI BIDHAA ZA PVC

Na Said Mwishehe, Michuzi TV

UWEPO wa biashara ya mabomba ya plastiki (PVC) yasiyo na ubora katika soko nchini kwa kiasi kikubwa kumetajwa kuchangiwa na baadhi ya wenye viwanda vinavyozalisha bidhaa hiyo kutozingatia sheria sambamba na waagizaji wasio wa nje ya nchi wasio waaminifu.

Hatua hiyo pamoja na mambo mengine imebainishwa kuwa moja ya sababu kuu ya wananchi kupata hasara mbalimbali hususani pale linapotokea bomba hilo kupasuka na kusababisha athari katika njia za umeme na wakati...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Ubepari unawakandamiza wazalishaji wadogo’

Ingawa takwimu zinaonyesha uchumi wa Tanzania unakua kwa zaidi ya asilimia 7, maisha ya Watanzania wengi hayalingani na hali ilivyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Wazalishaji wa ndani zingatieni ubora

Ijumaa iliyopita Rais Jakaya Kikwete alitoa Tuzo ya ‘Mzalishaji Bora wa Mwaka’ kwa wazalishaji wa ndani. Wawakilishi wa viwanda mbalimbali walikuwapo kabla Jumbo Plastics hajatambulishwa kama washindi wa jumla wa tuzo hizo kwa mwaka 2013.

 

9 years ago

Mtanzania

Wasanii wa kike walio katika mapenzi na wadogo zao

AUNTY34NA GEORGE KAYALA

NICK Cannon na Mariah Carey walifunga ndoa mwaka 2008, licha ya Mariah kuwa na umri mkubwa zaidi ya Nick.

Maisha yao yalikuwa na furaha na kila mmoja alimfurahia mwenzake, huku wakijivunia uhusiano wao uliopelekea ndoa yao kiasi kwamba wakapata watoto wawili mapacha, Monroe na Moroccan Scott Cannon.

Lakini baadaye wawili hao waliachana katika hali ya kutatanisha, kwa kuwa hakuna aliyewahi kuweka wazi kilichosababisha kutengana kwao, ingawa zipo tetesi kwamba wawili hao...

 

11 years ago

Michuzi

ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM,KINANA NDANI YA MERERANI,AKUTANA NA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO WA MADINI NA KUSIKILZA CHANGAMOTO ZAO

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akioneshwa vipande vya madini aina ya Tanzanite ,katika mgodi wa mchimbaji mzawa wa madini ya Tanzanite Bi.Suzie Didas Kennedy.Katibu Mkuu wa CCM alitembelea migodi ya wachimbaji wadogo wa Mererani na kuzungumza nao juu ya changamoto zinazowakabili na namna ya kuzitatua. Pichani kati aneshuhudia ni Mbunge wa Jimbo la Simanjiro,Mh.Christopher Ole Sendeka.  Moja ya jiwe lenye madini kabla ya kufanyiwa mchakato.     Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania na ubora wa bidhaa

Baadhi ya bidhaa zinazoingizwa nchini Tanzania zimeelezwa kutokuwa na viwango wala nembo za ubora.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Nunueni bidhaa zenye ubora’

WATANZANIA wameshauriwa kununua bidhaa zenye ubora za Panasonic na kuachana na zingine zilizopo katika soko ambazo hazina ubora. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Mkurugenzi  wa Masoko wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani