Wazalishaji wa ndani zingatieni ubora
Ijumaa iliyopita Rais Jakaya Kikwete alitoa Tuzo ya ‘Mzalishaji Bora wa Mwaka’ kwa wazalishaji wa ndani. Wawakilishi wa viwanda mbalimbali walikuwapo kabla Jumbo Plastics hajatambulishwa kama washindi wa jumla wa tuzo hizo kwa mwaka 2013.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Oct
Wazalishaji wadogo wahimizwa ubora katika bidhaa zao
Na Nathaniel Limu, Singida
KATIBU tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan,...
9 years ago
StarTV20 Nov
TBS yawataka wazalishaji kuthibitishiwa ubora wa bidhaa na shirika hilo
Shirika la Viwango Tanzania limewataka wazalishaji wote wa bidhaa ambazo ziko katika viwango vya lazima kuhakikisha wanathibitisha ubora wa bidhaa zao kwa shirika hilo.
Kauli hiyo imekuja baada ya TBS kubaini viwanda vya Kampuni ya Red East Building materials limited cha Tabata Bima na kile cha Snow Leopard cha Tabata Segerea kuzalisha mabati ambayo hayajathibitishwa ubora .
Kabla ya kuvifungia viwanda hivyo, Afisa masoko wa TBS, Gladnes Kaseka alisema viwanda vyote ambavyo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2jV2YRd0EbU/VIw53Ur9DZI/AAAAAAAG3Bk/_SquiQ7TpLs/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani awaambia madereva chonde chonde zingatieni sheria za usalama barabarani
![](http://1.bp.blogspot.com/-2jV2YRd0EbU/VIw53Ur9DZI/AAAAAAAG3Bk/_SquiQ7TpLs/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
10 years ago
GPLWAZIRI WA MAMBO YA NDANI AWAAMBIA MADEREVA CHONDE CHONDE ZINGATIENI SHERIA ZA USALAMA BARABARANI
10 years ago
Dewji Blog13 Feb
Ali Kiba adhihirisha ubora wake ndani ya tamasha la Sauti za Busara 2015
Ali Kiba jukwaani Sauti za Busara 2015.
Na Andrew Chale wa modewjiblog, Zanzibar
Msanii nyota Nchini, Ali Kiba usiku wa Februari 12, ameweza kukonga nyoyo za mashabiki waliofurika kwenye tamasha kubwa la muziki la Kimataifa linaloaendelea kwenye viunga vya Ngome Kongwe, Unguja Zanzibar.
Katika shoo hiyo Ali Kiba alipanda jukwaani majira ya saa sita usiku na kuendelea kwa zaidi ya masaa mawili, alikonga nyoyo umati wa mashabiki waliofurika ndani ya ukumbi huo huku akishangiliwa wakati...
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Wazalishaji wa matanki wapewa somo
WAZALISHAJI wa bidhaa za kuhifadhia maji nchini wametakiwa kupanua wigo wa soko na kuenea hadi maeneo ya vijijini ili kuwakomboa wananchi wanaotaabika kutokana na kero ya maji. Rai hiyo ilitolewa...
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Wazalishaji chumvi watengewa mil 62/-
HALMASHAURI ya Wilaya ya Ikungi imetenga sh. milioni 62.8 kwa ajili ya kuwakopesha kinamama na vijana wanaozalisha chumvi kwa mwaka wa fedha 2014/15. Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CNV8H_qNsos/XlKbXmWYVFI/AAAAAAALe7E/wKYLpZhKNQgaN-5faV6NC7hHTBw-67yZACLcBGAsYHQ/s72-c/3ba8b1f5-4f7d-4569-8486-99f701e39935.jpg)
Wazalishaji watakiwa kuzingatia viwango
WAZALISHAJI wa bidhaa mbalimbali mkoani Singida wametakiwa kutambua kuwa suala la viwango ni la kisheria hivyo ni lazima kuthibitisha ubora wa bidhaa ili kumlinda mlaji na kupata uhakika wa soko la bidhaa wanazozizalisha.
Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Dkt Rehema Nchimbi alipokuwa akifungua mafunzo ya wazalishaji wa bidhaa za vyakula yakiwemo mafuta ya alizeti na wauzaji wa vipodozi na vyakula yaliyofanyika katika ukumbi wa...
10 years ago
Mwananchi03 Oct
‘Ubepari unawakandamiza wazalishaji wadogo’