Waziri wa Mambo ya Ndani awaambia madereva chonde chonde zingatieni sheria za usalama barabarani
![](http://1.bp.blogspot.com/-2jV2YRd0EbU/VIw53Ur9DZI/AAAAAAAG3Bk/_SquiQ7TpLs/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani Mh.Mathias Chikawe (kushoto) akishuhudia dereva wa pikipiki akivalishwa pete zenye ujumbe wa “Wait to Send” wakati wa uzinduzi wa kampeni ya usalama barabarani uliofanyika eneo la Mwenge makutano ya barabara ya Sam Nujoma na Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es Salaam, uzinduzi huo uliambatana na upimaji wa kiwango cha pombe mwilini kwa madereva na ugawaji wa pete maalumu za kuwakumbusha madereva kuacha kutumia simu za mkononi wanapokuwa wanaendesha vyombo vya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWAZIRI WA MAMBO YA NDANI AWAAMBIA MADEREVA CHONDE CHONDE ZINGATIENI SHERIA ZA USALAMA BARABARANI
10 years ago
MichuziMkuu wa Wilaya Igunga awaambia wananchi “Chonde chonde fichueni wanaoficha wenye maradhi ya Fistula”
10 years ago
GPLMKUU WA WILAYA IGUNGA AWAAMBIA WANANCHI “CHONDE CHONDE FICHUENI WANAOFICHA WENYE MARADHI YA FISTULA”
11 years ago
Dewji Blog08 May
Chonde chonde …..Jeshi la Polisi chukueni hatua dhidi ya mabomu haya!
WATANZANIA taratibu wameanza kuona kama ni mchezo wa kuigiza au mazoea pale kila baada ya muda fulani tukio la kulipuka kwa bomu katika kanisa au sehemu ya mkusanyiko au kwenye mkutano wa kisiasa kama ni jambo la kawaida.
Imefikia mahali kwamba milipuko ya mabomu inaanza kuonekana kama ni sehemu ya utamaduni wetu kwa kukubali kwa kirahisi watu wenye dhamira ovu na katili ya kutaka kuangamiza binadamu wenzao pasipo sababu ya msingi na hata kama mtu ana sababu ya msingi kuelezea hisia zake...
10 years ago
GPLCHONDE CHONDE WATUMIAJI WA INTERNETI TUMIENI TEKNOLOJIA HII KUPATA MAARIFA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EuEwy-IsCS0/VNogBBqzwRI/AAAAAAAHC28/vSsU0DTtYRo/s72-c/unnamed.jpg)
CHONDE CHONDE WATUMIAJI WA INTERNETI TUMIENI TEKNOLOJIA HII KUPATA MAARIFA-VODACOM TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-EuEwy-IsCS0/VNogBBqzwRI/AAAAAAAHC28/vSsU0DTtYRo/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/176.jpg?width=600)
WANAKIBINDU WASEMA :CHONDE CHONDE MH.RIDHIWANI UKIPATA UBUNGE ANZA NA MIUNDOMBINU YA BARABARA KIBINDU
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Chonde chonde Sitta, tuhurumie walipa kodi
KUMEKUWA na sababu nyingi sana zinazokwamisha maendeleo nchini. Lakini kikubwa inaonekana kana kwamba hatufahamu ni nini hasa kinatukwamisha. Ili kukabiliana na hilo, wakati umefika sasa wa kutafuta majibu ya matatizo...