Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chonde chonde …..Jeshi la Polisi chukueni hatua dhidi ya mabomu haya!

arusha pics

WATANZANIA taratibu wameanza kuona kama ni mchezo wa kuigiza au mazoea pale kila baada ya muda fulani tukio la kulipuka kwa bomu katika kanisa au sehemu ya mkusanyiko au kwenye mkutano wa kisiasa kama ni jambo la kawaida.

Imefikia mahali kwamba milipuko ya mabomu inaanza kuonekana kama ni sehemu ya utamaduni wetu kwa kukubali kwa kirahisi watu wenye dhamira ovu na katili ya kutaka kuangamiza binadamu wenzao pasipo sababu ya msingi na hata kama mtu ana sababu ya msingi kuelezea hisia zake...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

CHONDE CHONDE WATUMIAJI WA INTERNETI TUMIENI TEKNOLOJIA HII KUPATA MAARIFA‏

Watumiaji wa teknolojia ya interneti nchini wametakiwa kutumia teknolojia hii kutafuta taarifa mbalimbali za maarifa na zenye  mwelekeo wa kuleta maendeleo badala ya kutumia teknolojia hii kutafuta taarifa zisizo na faida na zenye mwelekeo wa kupotosha kizazi cha sasa kimaadili. Wito huu umetolewa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia,katika siku ya matumizi ya interneti duniani...

 

10 years ago

Michuzi

CHONDE CHONDE WATUMIAJI WA INTERNETI TUMIENI TEKNOLOJIA HII KUPATA MAARIFA-VODACOM TANZANIA

Watumiaji wa teknolojia ya interneti nchini wametakiwa kutumia teknolojia hii kutafuta taarifa mbalimbali za maarifa na zenye  mwelekeo wa kuleta maendeleo badala ya kutumia teknolojia hii kutafuta taarifa zisizo na faida na zenye mwelekeo wa kupotosha kizazi cha sasa kimaadili.Wito huu umetolewa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia,katika siku ya matumizi ya interneti duniani iliyoadhimishwa leo duniani kote ambako alisema kuwa Vodacom kama...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Mambo ya Ndani awaambia madereva chonde chonde zingatieni sheria za usalama barabarani

 Waziri wa Mambo ya Ndani  Mh.Mathias Chikawe (kushoto)  akishuhudia  dereva wa pikipiki  akivalishwa  pete zenye ujumbe wa “Wait to Send” wakati  wa  uzinduzi wa kampeni ya usalama barabarani uliofanyika eneo la Mwenge makutano ya barabara ya Sam Nujoma na Ali Hassan Mwinyi jijini  Dar es Salaam, uzinduzi huo uliambatana na  upimaji wa kiwango cha pombe mwilini kwa madereva na ugawaji wa pete maalumu za kuwakumbusha madereva kuacha kutumia simu za mkononi wanapokuwa wanaendesha vyombo vya...

 

11 years ago

GPL

WANAKIBINDU WASEMA :CHONDE CHONDE MH.RIDHIWANI UKIPATA UBUNGE ANZA NA MIUNDOMBINU YA BARABARA KIBINDU‏

Katibu wa CCM Mkoa wa Mtwara Ndugu Shaibu Akwilombe akizungumza na wananchi wa kijiji cha kwa Msanja kata ya Kibindu katika jimbo la Chalinze wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika kijiji hicho, ambapo viongozi kadhaa wa Chama cha Mapinduzi wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita Ndugu Joseph Msukuma wamewataka wananchi hao wa kata ya Kibindu kumchagua mgombea ubunge wa CCM Bw. Ridhiwani Kikwete kwa kuwa anaweza...

 

10 years ago

Michuzi

Mkuu wa Wilaya Igunga awaambia wananchi “Chonde chonde fichueni wanaoficha wenye maradhi ya Fistula”

Wakazi wa Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora, wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa Wilaya hiyo Mh. Zipporah Pangani, alipokuwa akiwaelewesha juu ya maradhi ya Fistula wakati wa kampeni ya kutoa elimu kuhusiana na maradhi hayo wilayani humo.Kampeni hiyo inayoendeshwa na Hospitali ya CCBRT na Vodacom Foundation inaendelea kufanyika katika mikoa mitatu kuwasisitiza wanaume kuwaruhusu akina mama kujitokeza ili wakatibiwe maradhi hayo kwani yanatibika. Inakadiriwa ni wastani ya wanawake 3,000 kwa...

 

10 years ago

GPL

WAZIRI WA MAMBO YA NDANI AWAAMBIA MADEREVA CHONDE CHONDE ZINGATIENI SHERIA ZA USALAMA BARABARANI‏

Waziri wa Mambo ya Ndani  Mh.Mathias Chikawe (watatu kutoka kulia) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kampeni ya usalama barabarani uliofanyika eneo la Mwenge makutano ya barabara ya Sam Nujoma na Ali Hassan Mwinyi jijini  Dar es Salaam, uzinduzi huo uliambatana na upimaji wa kiwango cha pombe mwilini kwa madereva na ugawaji wa pete maalumu za kuwakumbusha madereva kuacha kutumia simu za mkononi wanapokuwa wanaendesha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chonde chonde Sitta, tuhurumie walipa kodi

KUMEKUWA na sababu nyingi sana zinazokwamisha maendeleo nchini. Lakini kikubwa inaonekana kana kwamba hatufahamu ni nini hasa kinatukwamisha. Ili kukabiliana na hilo, wakati umefika sasa wa kutafuta majibu ya matatizo...

 

10 years ago

GPL

MKUU WA WILAYA IGUNGA AWAAMBIA WANANCHI “CHONDE CHONDE FICHUENI WANAOFICHA WENYE MARADHI YA FISTULA”

Wakazi wa Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora, wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa Wilaya hiyo Mh. Zipporah Pangani,  alipokuwa akiwaelewesha juu ya maradhi ya Fistula wakati wa kampeni ya kutoa elimu kuhusiana na maradhi hayo wilayani humo.Kampeni hiyo inayoendeshwa na Hospitali ya CCBRT na Vodacom Foundation  inaendelea kufanyika katika mikoa mitatu kuwasisitiza wanaume  kuwaruhusu akina mama kujitokeza  ili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani