CHONDE CHONDE WATUMIAJI WA INTERNETI TUMIENI TEKNOLOJIA HII KUPATA MAARIFA
Watumiaji wa teknolojia ya interneti nchini wametakiwa kutumia teknolojia hii kutafuta taarifa mbalimbali za maarifa na zenye  mwelekeo wa kuleta maendeleo badala ya kutumia teknolojia hii kutafuta taarifa zisizo na faida na zenye mwelekeo wa kupotosha kizazi cha sasa kimaadili. Wito huu umetolewa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia,katika siku ya matumizi ya interneti duniani...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziCHONDE CHONDE WATUMIAJI WA INTERNETI TUMIENI TEKNOLOJIA HII KUPATA MAARIFA-VODACOM TANZANIA
10 years ago
GPLWAZIRI WA MAMBO YA NDANI AWAAMBIA MADEREVA CHONDE CHONDE ZINGATIENI SHERIA ZA USALAMA BARABARANI
11 years ago
GPLWANAKIBINDU WASEMA :CHONDE CHONDE MH.RIDHIWANI UKIPATA UBUNGE ANZA NA MIUNDOMBINU YA BARABARA KIBINDU
11 years ago
Dewji Blog08 May
Chonde chonde …..Jeshi la Polisi chukueni hatua dhidi ya mabomu haya!
WATANZANIA taratibu wameanza kuona kama ni mchezo wa kuigiza au mazoea pale kila baada ya muda fulani tukio la kulipuka kwa bomu katika kanisa au sehemu ya mkusanyiko au kwenye mkutano wa kisiasa kama ni jambo la kawaida.
Imefikia mahali kwamba milipuko ya mabomu inaanza kuonekana kama ni sehemu ya utamaduni wetu kwa kukubali kwa kirahisi watu wenye dhamira ovu na katili ya kutaka kuangamiza binadamu wenzao pasipo sababu ya msingi na hata kama mtu ana sababu ya msingi kuelezea hisia zake...
10 years ago
MichuziWaziri wa Mambo ya Ndani awaambia madereva chonde chonde zingatieni sheria za usalama barabarani
10 years ago
MichuziMkuu wa Wilaya Igunga awaambia wananchi “Chonde chonde fichueni wanaoficha wenye maradhi ya Fistula”
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Chonde chonde Sitta, tuhurumie walipa kodi
KUMEKUWA na sababu nyingi sana zinazokwamisha maendeleo nchini. Lakini kikubwa inaonekana kana kwamba hatufahamu ni nini hasa kinatukwamisha. Ili kukabiliana na hilo, wakati umefika sasa wa kutafuta majibu ya matatizo...
10 years ago
GPLMKUU WA WILAYA IGUNGA AWAAMBIA WANANCHI “CHONDE CHONDE FICHUENI WANAOFICHA WENYE MARADHI YA FISTULA”