Ali Kiba adhihirisha ubora wake ndani ya tamasha la Sauti za Busara 2015
Ali Kiba jukwaani Sauti za Busara 2015.
Na Andrew Chale wa modewjiblog, Zanzibar
Msanii nyota Nchini, Ali Kiba usiku wa Februari 12, ameweza kukonga nyoyo za mashabiki waliofurika kwenye tamasha kubwa la muziki la Kimataifa linaloaendelea kwenye viunga vya Ngome Kongwe, Unguja Zanzibar.
Katika shoo hiyo Ali Kiba alipanda jukwaani majira ya saa sita usiku na kuendelea kwa zaidi ya masaa mawili, alikonga nyoyo umati wa mashabiki waliofurika ndani ya ukumbi huo huku akishangiliwa wakati...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM30 Jan
ALI KIBA KUTUMBUIZA KWENYE TAMASHA LA SAUTI ZA BUSARA,ZANZIBAR
10 years ago
VijimamboSAUTI ZA BUSARA WAMTAMBULISHA RASMI ALI KIBA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6vrlCWf4r6I/VMpO6-TaClI/AAAAAAAHAMk/t6bwVT1azoI/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
SAUTI ZA BUSARA WAMTANGAZA WAMTAMBULISHA RASMI ALI KIBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-6vrlCWf4r6I/VMpO6-TaClI/AAAAAAAHAMk/t6bwVT1azoI/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
10 years ago
Dewji Blog30 Jan
Ali Kiba kupiga shoo ya ‘live’ Sauti za Busara Feb 12
Mwenyekiti wa Bodi wa Busara Promotions, wandaaji wa tamasha la Sauti za Busara, Simai Mohammed (katikati) akiongea na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wanahabari Jijini Dar es Salaam, juu ya tamasha la 12 la Sauti za Busara, litakalofanyika, Februari 12 hadi 15, mwaka huu, Ngome Kongwe, Zanzibar. Wengine (kushoto) ni Meneja wa tamasha hilo, Journey Ramadhani. na upande wa kulia ni Mkurugenzi wa tamasha hilo, Yusuf Mahmoud ‘Dj Yusuf, akifuatiwa na msanii wa Bongo...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-pNiEe6k8ptE/VN4YWggHJRI/AAAAAAABlDM/iYpysZ22lI0/s72-c/Alikiba_(Tanzania)_photo_Masoud_Khamis-47.jpg)
Ali Kiba Afanya Vitu Vyake na Kuwapagaisha Wapenzi wa Tamasha la Busara Zenj.
![](http://1.bp.blogspot.com/-pNiEe6k8ptE/VN4YWggHJRI/AAAAAAABlDM/iYpysZ22lI0/s640/Alikiba_(Tanzania)_photo_Masoud_Khamis-47.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PaXMJfvBZyA/VN4Yur6RalI/AAAAAAABlDU/ZBmU8jyCkh4/s640/Alikiba_(Tanzania)_photo_Masoud_Khamis-54.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oPTNIOXeJDo/VN4Zfyp9dcI/AAAAAAABlDc/vnR3ot058Ss/s640/Alikiba_(Tanzania)_photo_Masoud_Khamis-77.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-S6vNz7n-xFk/VN4Z1oJF2uI/AAAAAAABlDk/ZCIJLhSrfLk/s640/Alikiba_(Tanzania)_photo_Masoud_Khamis-57.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UEmI2sC4_e4/VN4a0CB3XvI/AAAAAAABlDs/CukvhGV3deQ/s640/Alikiba_(TZ)_at_Sauti_za_Busara_2015_%5Bphoto_Peter_Bennett%5D_IMG_7212.jpg)
10 years ago
Bongo516 Feb
Abdul Kiba asema Sauti za Busara ni zaidi ya darasa
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Sauti za Busara ni zaidi ya tamasha
10 years ago
Michuzi11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
SAUTI ZA BUSARA: Ni zaidi ya Tamasha la burudani
TAMASHA la Sauti za Busara ni miongoni mwa machache ambayo yamejenga historia kutokana na kuutangaza na kuuendeleza muziki wa Tanzania nje ya mipaka yake, ambako mwaka huu litafanyika kuanzia Februari...