SAUTI ZA BUSARA: Ni zaidi ya Tamasha la burudani
TAMASHA la Sauti za Busara ni miongoni mwa machache ambayo yamejenga historia kutokana na kuutangaza na kuuendeleza muziki wa Tanzania nje ya mipaka yake, ambako mwaka huu litafanyika kuanzia Februari...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Sauti za Busara ni zaidi ya tamasha
>Siku nne zimesalia kabla ya siku nne za kuandika historia nyingine Visiwani Zanzibar kupitia onyesho kubwa la sanaa na muziki la kimataifa linalotambulika kwa jina la Sauti za Busara.
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Sauti za Busara Kujumuisha vikundi 19 vya burudani duniani
Mwaka jana tulishuhudia kituo kikubwa cha habari duniani kikiyataja matamasha saba bora ya kimataifa na Sauti za Busara likiwa tamasha lililoshika nafasi ya tatu.
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Wasanii wa Tanzania ‘wafunikwa’ Tamasha la Sauti za Busara
Zanzibar. Unaweza kusema U-super staa au kuona muziki siyo kazi ama biashara kama zilivyo nyingine ndiko kulipowaponza wanamuzi wa Tanzania na kujikuta wakishindwa kufanya vyema katika tamasha la mwaka huu la Sauti za Busara.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-uMaKfcNxOFM/XkpfmbhOT8I/AAAAAAACyzw/Otua98BDMqMBq282YuRt6-ciprevhE-mQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
CRDB YANOGESHA TAMASHA LA SAUTI ZA BUSARA ZANZIBAA
![](https://1.bp.blogspot.com/-uMaKfcNxOFM/XkpfmbhOT8I/AAAAAAACyzw/Otua98BDMqMBq282YuRt6-ciprevhE-mQCLcBGAsYHQ/s640/1.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-E6-qQBXrO6U/Xkpf7Tz6qNI/AAAAAAACyz4/bWO4QkoINrU1_FUukRI2P19qFHdcxpfEgCLcBGAsYHQ/s400/2.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-FK2SlqWDI5Y/Xkpf-LqVZ-I/AAAAAAACyz8/-PhM3NIkO0oIQMCk1wYjERfaepykV2EwgCLcBGAsYHQ/s640/3.png)
10 years ago
GPLTAMASHA LA SAUTI ZA BUSARA KUFANYIKA FEBRUARI 12-15 ZANZIBAR
Mwenyekiti wa Bodi ya Tamasha la Sauti za Busara Simai Mohamed Saidi (wa pili kushoto) akizungumza. Sehemu ya waandishi wa habari waliokuwa kwenye hafla hiyo.…
5 years ago
Michuzi17 Feb
BENKI YA CRDB YANOGESHA TAMASHA LA SAUTI ZA BUSARA- ZANZIBAR
9 years ago
Bongo521 Aug
Tamasha la kimataifa la Sauti Za Busara halitafanyika mwakani (2016)
Tamasha la muziki la kimataifa, Sauti Za Busara ambalo limekuwa likifanyika mwezi wa pili Zanzibar, halitakuwepo mwakani 2016 kutokana na uhaba wa fedha. Hii itakuwa ni mara ya kwanza ndani ya miaka 13 Zanzibar kulikosa tamasha hilo lifanyikalo kila wiki ya pili ya mwezi Februari. Mkurugenzi Mtendaji wa Busara Promotions, Yusuf Mahmoud amesema; “Uamuzi huu […]
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8q8rnBrBzPg/VdXjn5WDiYI/AAAAAAAC9zg/CvxETvDtKzY/s72-c/Yusuf%2BMahmoud%252C%2BWorld%2BShaker%2Baward%2Bby%2BPeter%2BBennett%2BDSC00026a.jpg)
Tamasha la muziki la sauti za busara Zanzibar 2016 halitokuwepo
![](http://1.bp.blogspot.com/-8q8rnBrBzPg/VdXjn5WDiYI/AAAAAAAC9zg/CvxETvDtKzY/s400/Yusuf%2BMahmoud%252C%2BWorld%2BShaker%2Baward%2Bby%2BPeter%2BBennett%2BDSC00026a.jpg)
Yusuf Mahmoud, Mkurugenzi Mtendaji wa Busara Promotions, amesema leo "Uamuzi huu haukuchukuliwa kwa wepesi”. Kawaida huwa tunatangaza tarehe za tamasha mwaka mmoja kabla. Lakini baada ya kufanya...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HD0RdVTwp0DvQOhXV8ecTUHUHdKp30f7Kv-W9GlWXIvmaDy9bzMbgkF1h25JkIVWeSX7KdEur7Gfd7tmQyFra5EdfdUNvmsG/ImageProxy.gif)
TAMASHA LA ‘SAUTI ZA BUSARA’ 2016 LAFUTWA
TAMASHA la Sauti za Busara ambalo linahusisha muziki na lililokuwa lifanyike mwaka kesho (2016) huko Zanzibar 2016, limefutwa kutokana na ukosefu wa fedha za kuliendesha. Kwa mujibu wa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Busara Promotions, Yusuf Mahmoud, inayoendesha tamasha hilo, uamuzi huo umefikiwa kwa kushindwa kupata Dola za Marekani 200,000 kabla ya mwezi Julai mwaka huu ambapo wangetangaza tarehe za kufanyika kwa tamasha hilo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania