Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAMASHA LA ‘SAUTI ZA BUSARA’ 2016 LAFUTWA

TAMASHA la Sauti za Busara ambalo linahusisha muziki na lililokuwa lifanyike mwaka kesho (2016) huko Zanzibar 2016, limefutwa kutokana na ukosefu wa fedha za kuliendesha. Kwa mujibu wa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Busara Promotions, Yusuf Mahmoud, inayoendesha tamasha hilo, uamuzi huo umefikiwa kwa kushindwa kupata Dola za Marekani 200,000 kabla ya mwezi Julai mwaka huu ambapo wangetangaza tarehe za kufanyika kwa tamasha hilo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Tamasha la kimataifa la Sauti Za Busara halitafanyika mwakani (2016)

Tamasha la muziki la kimataifa, Sauti Za Busara ambalo limekuwa likifanyika mwezi wa pili Zanzibar, halitakuwepo mwakani 2016 kutokana na uhaba wa fedha. Hii itakuwa ni mara ya kwanza ndani ya miaka 13 Zanzibar kulikosa tamasha hilo lifanyikalo kila wiki ya pili ya mwezi Februari. Mkurugenzi Mtendaji wa Busara Promotions, Yusuf Mahmoud amesema; “Uamuzi huu […]

 

9 years ago

Michuzi

Tamasha la muziki la sauti za busara Zanzibar 2016 halitokuwepo

Kutokana na uhaba wa fedha, Busara Promotions inasikitika kutangaza kuwa tamasha la Sauti za Busara mwaka 2016 halitakuwepo, hii itakuwa ni mara ya kwanza ndani ya miaka kumi na tatu Zanzibar kulikosa Tamasha la kimataifa la Sauti za Busara lifanyikalo kila wiki ya pili ya mwezi Februari.

Yusuf Mahmoud, Mkurugenzi Mtendaji wa Busara Promotions, amesema leo "Uamuzi huu haukuchukuliwa kwa wepesi”. Kawaida huwa tunatangaza tarehe za tamasha mwaka mmoja kabla. Lakini baada ya kufanya...

 

9 years ago

Michuzi

Sauti za busara 2016 cancelled


Due to shortage of funding, Busara Promotions has reluctantly announced their decision to cancel the 2016 edition of Sauti za Busara.  This will be the first time in thirteen years Zanzibar does not enjoy an international music festival in February.Yusuf Mahmoud, CEO of Busara Promotions, said today “This decision was not taken lightly. Previously we had always announced festival dates a year in advance. But after closing the books on another highly successful festival in February 2015, once...

 

9 years ago

Dewji Blog

Sauti za Busara 2016 may be cancelled due to lack of funding!

Djmawi_Africa_(Algeria)_audience_at_Sauti_za_Busara_2015_[photo_Peter_Bennett]_IMG_0791_editThe audience at Sauti za Busara 2015. Photo: Peter Bennett

Every year, Sauti za Busara brings thousands of visitors from all corners of the world to Zanzibar at a time of the year that used to be considered low season. Even conservative estimates suggest that since 2004, Sauti za Busara has generated US$ 70million in revenue for the island. BBC World Service hails it as one of “Africa’s best and most respected music events”, while it is also included in CNN’s “7 African music festivals you...

 

11 years ago

Mwananchi

Sauti za Busara ni zaidi ya tamasha

>Siku nne zimesalia kabla ya siku nne za kuandika historia nyingine Visiwani Zanzibar kupitia onyesho kubwa la sanaa na muziki la kimataifa linalotambulika kwa jina la Sauti za Busara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

SAUTI ZA BUSARA: Ni zaidi ya Tamasha la burudani

TAMASHA la Sauti za Busara ni miongoni mwa machache ambayo yamejenga historia kutokana na kuutangaza na kuuendeleza muziki wa Tanzania nje ya mipaka yake, ambako mwaka huu litafanyika kuanzia Februari...

 

10 years ago

GPL

TAMASHA LA SAUTI ZA BUSARA KUFANYIKA FEBRUARI 12-15 ZANZIBAR

Mwenyekiti wa Bodi ya Tamasha la Sauti za Busara Simai Mohamed Saidi (wa pili kushoto) akizungumza. Sehemu ya waandishi wa habari waliokuwa kwenye hafla hiyo.…

 

10 years ago

Mwananchi

Wasanii wa Tanzania ‘wafunikwa’ Tamasha la Sauti za Busara

Zanzibar. Unaweza kusema U-super staa au kuona muziki siyo kazi ama biashara kama zilivyo nyingine ndiko kulipowaponza wanamuzi wa Tanzania na kujikuta wakishindwa kufanya vyema katika tamasha la mwaka huu la Sauti za Busara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani