Abdul Kiba asema Sauti za Busara ni zaidi ya darasa
Alikiba na Abdu Kiba ni miongoni mwa wasanii waliotumbuiza kwenye tamasha la mwaka huu la Sauti za Busara linalofanyikia visiwani Zanzibar. Akizungumza na Bongo5, Abdul Kiba amesema ushiriki wao umewafanya kutambua asili ya muziki wa mataifa mbalimbali ya Afrika. “Nimefanya muziki wa band kwenye show nyingi sana lakini Sauti za Busara ni show ya kipekee, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Sauti za Busara liwe darasa kwa wasanii
TAMASHA la Sauti za Busara ambalo hufanyika kila mwaka visiwani hapa ni miongoni mwa matukio makubwa ya muziki Afrika, ambalo hutoa fursa kwa wanamuziki kupiga muziki ‘live’ kwa kutumia jukwaa...
10 years ago
VijimamboSAUTI ZA BUSARA WAMTAMBULISHA RASMI ALI KIBA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6vrlCWf4r6I/VMpO6-TaClI/AAAAAAAHAMk/t6bwVT1azoI/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
SAUTI ZA BUSARA WAMTANGAZA WAMTAMBULISHA RASMI ALI KIBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-6vrlCWf4r6I/VMpO6-TaClI/AAAAAAAHAMk/t6bwVT1azoI/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
10 years ago
CloudsFM30 Jan
ALI KIBA KUTUMBUIZA KWENYE TAMASHA LA SAUTI ZA BUSARA,ZANZIBAR
10 years ago
Dewji Blog30 Jan
Ali Kiba kupiga shoo ya ‘live’ Sauti za Busara Feb 12
Mwenyekiti wa Bodi wa Busara Promotions, wandaaji wa tamasha la Sauti za Busara, Simai Mohammed (katikati) akiongea na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wanahabari Jijini Dar es Salaam, juu ya tamasha la 12 la Sauti za Busara, litakalofanyika, Februari 12 hadi 15, mwaka huu, Ngome Kongwe, Zanzibar. Wengine (kushoto) ni Meneja wa tamasha hilo, Journey Ramadhani. na upande wa kulia ni Mkurugenzi wa tamasha hilo, Yusuf Mahmoud ‘Dj Yusuf, akifuatiwa na msanii wa Bongo...
10 years ago
Dewji Blog13 Feb
Ali Kiba adhihirisha ubora wake ndani ya tamasha la Sauti za Busara 2015
Ali Kiba jukwaani Sauti za Busara 2015.
Na Andrew Chale wa modewjiblog, Zanzibar
Msanii nyota Nchini, Ali Kiba usiku wa Februari 12, ameweza kukonga nyoyo za mashabiki waliofurika kwenye tamasha kubwa la muziki la Kimataifa linaloaendelea kwenye viunga vya Ngome Kongwe, Unguja Zanzibar.
Katika shoo hiyo Ali Kiba alipanda jukwaani majira ya saa sita usiku na kuendelea kwa zaidi ya masaa mawili, alikonga nyoyo umati wa mashabiki waliofurika ndani ya ukumbi huo huku akishangiliwa wakati...
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Sauti za Busara ni zaidi ya tamasha
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
SAUTI ZA BUSARA: Ni zaidi ya Tamasha la burudani
TAMASHA la Sauti za Busara ni miongoni mwa machache ambayo yamejenga historia kutokana na kuutangaza na kuuendeleza muziki wa Tanzania nje ya mipaka yake, ambako mwaka huu litafanyika kuanzia Februari...
10 years ago
Bongo Movies10 Feb
VIJIMAMBO: Batuli Asifia ‘JICHO’asema Linaongea Zaidi ya Sauti Yake
Urembo: Ni kweli macho ya naonge lakini hili la mwigizaji Batuli linaongea zaidi. Haya sio maneno yangu ni bali ni maneno yake mwenyewe alioyaandika kwenye ukurasa wake wa INSTAGRAM mara baada ya kutupia picha hiyo hapo juu akiwa amerembua.
“Look into my eyes and hear what I'm not saying, for my
eyes speak louder than my voice ever will.....”
Haya jamani wale mliosoma English Mediam, hebu malizieni hizo deshidesh....