ALI KIBA KUTUMBUIZA KWENYE TAMASHA LA SAUTI ZA BUSARA,ZANZIBAR
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog13 Feb
Ali Kiba adhihirisha ubora wake ndani ya tamasha la Sauti za Busara 2015
Ali Kiba jukwaani Sauti za Busara 2015.
Na Andrew Chale wa modewjiblog, Zanzibar
Msanii nyota Nchini, Ali Kiba usiku wa Februari 12, ameweza kukonga nyoyo za mashabiki waliofurika kwenye tamasha kubwa la muziki la Kimataifa linaloaendelea kwenye viunga vya Ngome Kongwe, Unguja Zanzibar.
Katika shoo hiyo Ali Kiba alipanda jukwaani majira ya saa sita usiku na kuendelea kwa zaidi ya masaa mawili, alikonga nyoyo umati wa mashabiki waliofurika ndani ya ukumbi huo huku akishangiliwa wakati...
10 years ago
VijimamboSAUTI ZA BUSARA WAMTAMBULISHA RASMI ALI KIBA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6vrlCWf4r6I/VMpO6-TaClI/AAAAAAAHAMk/t6bwVT1azoI/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
SAUTI ZA BUSARA WAMTANGAZA WAMTAMBULISHA RASMI ALI KIBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-6vrlCWf4r6I/VMpO6-TaClI/AAAAAAAHAMk/t6bwVT1azoI/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
10 years ago
Dewji Blog30 Jan
Ali Kiba kupiga shoo ya ‘live’ Sauti za Busara Feb 12
Mwenyekiti wa Bodi wa Busara Promotions, wandaaji wa tamasha la Sauti za Busara, Simai Mohammed (katikati) akiongea na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wanahabari Jijini Dar es Salaam, juu ya tamasha la 12 la Sauti za Busara, litakalofanyika, Februari 12 hadi 15, mwaka huu, Ngome Kongwe, Zanzibar. Wengine (kushoto) ni Meneja wa tamasha hilo, Journey Ramadhani. na upande wa kulia ni Mkurugenzi wa tamasha hilo, Yusuf Mahmoud ‘Dj Yusuf, akifuatiwa na msanii wa Bongo...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-pNiEe6k8ptE/VN4YWggHJRI/AAAAAAABlDM/iYpysZ22lI0/s72-c/Alikiba_(Tanzania)_photo_Masoud_Khamis-47.jpg)
Ali Kiba Afanya Vitu Vyake na Kuwapagaisha Wapenzi wa Tamasha la Busara Zenj.
![](http://1.bp.blogspot.com/-pNiEe6k8ptE/VN4YWggHJRI/AAAAAAABlDM/iYpysZ22lI0/s640/Alikiba_(Tanzania)_photo_Masoud_Khamis-47.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PaXMJfvBZyA/VN4Yur6RalI/AAAAAAABlDU/ZBmU8jyCkh4/s640/Alikiba_(Tanzania)_photo_Masoud_Khamis-54.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oPTNIOXeJDo/VN4Zfyp9dcI/AAAAAAABlDc/vnR3ot058Ss/s640/Alikiba_(Tanzania)_photo_Masoud_Khamis-77.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-S6vNz7n-xFk/VN4Z1oJF2uI/AAAAAAABlDk/ZCIJLhSrfLk/s640/Alikiba_(Tanzania)_photo_Masoud_Khamis-57.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UEmI2sC4_e4/VN4a0CB3XvI/AAAAAAABlDs/CukvhGV3deQ/s640/Alikiba_(TZ)_at_Sauti_za_Busara_2015_%5Bphoto_Peter_Bennett%5D_IMG_7212.jpg)
10 years ago
GPLTAMASHA LA SAUTI ZA BUSARA KUFANYIKA FEBRUARI 12-15 ZANZIBAR
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8q8rnBrBzPg/VdXjn5WDiYI/AAAAAAAC9zg/CvxETvDtKzY/s72-c/Yusuf%2BMahmoud%252C%2BWorld%2BShaker%2Baward%2Bby%2BPeter%2BBennett%2BDSC00026a.jpg)
Tamasha la muziki la sauti za busara Zanzibar 2016 halitokuwepo
![](http://1.bp.blogspot.com/-8q8rnBrBzPg/VdXjn5WDiYI/AAAAAAAC9zg/CvxETvDtKzY/s400/Yusuf%2BMahmoud%252C%2BWorld%2BShaker%2Baward%2Bby%2BPeter%2BBennett%2BDSC00026a.jpg)
Yusuf Mahmoud, Mkurugenzi Mtendaji wa Busara Promotions, amesema leo "Uamuzi huu haukuchukuliwa kwa wepesi”. Kawaida huwa tunatangaza tarehe za tamasha mwaka mmoja kabla. Lakini baada ya kufanya...
5 years ago
Michuzi17 Feb
BENKI YA CRDB YANOGESHA TAMASHA LA SAUTI ZA BUSARA- ZANZIBAR