Ali Kiba Afanya Vitu Vyake na Kuwapagaisha Wapenzi wa Tamasha la Busara Zenj.
![](http://1.bp.blogspot.com/-pNiEe6k8ptE/VN4YWggHJRI/AAAAAAABlDM/iYpysZ22lI0/s72-c/Alikiba_(Tanzania)_photo_Masoud_Khamis-47.jpg)
Ali Kiba akilishambulia jukwaa wakati wa onesho lake la ufunguzi wa Tamasha la Busara lililoanza jana katika viwanja vya Ngome Kongwe Zenj na kuwavutia Wageni wengi waliofika katika viwanja hivyo akipiga mziki laivu
Ali Kiba akifanya vitu vyake katika jukwaa la Tamasha la Sauti za Busara Zenj jana usiku.
Wasanii wa kikundi cha Ali Kiba wakitowa burudani katika onesho lao katika viwanja vya Ngomekongwe Zenj
Wapenzi wa muziki wakiwa katika viwanja vya Ngomekongwe wakifuatilia Tamasha hilo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM30 Jan
ALI KIBA KUTUMBUIZA KWENYE TAMASHA LA SAUTI ZA BUSARA,ZANZIBAR
10 years ago
Dewji Blog13 Feb
Ali Kiba adhihirisha ubora wake ndani ya tamasha la Sauti za Busara 2015
Ali Kiba jukwaani Sauti za Busara 2015.
Na Andrew Chale wa modewjiblog, Zanzibar
Msanii nyota Nchini, Ali Kiba usiku wa Februari 12, ameweza kukonga nyoyo za mashabiki waliofurika kwenye tamasha kubwa la muziki la Kimataifa linaloaendelea kwenye viunga vya Ngome Kongwe, Unguja Zanzibar.
Katika shoo hiyo Ali Kiba alipanda jukwaani majira ya saa sita usiku na kuendelea kwa zaidi ya masaa mawili, alikonga nyoyo umati wa mashabiki waliofurika ndani ya ukumbi huo huku akishangiliwa wakati...
11 years ago
GPLPROFESA CALABASH AFANYA VITU VYAKE DAR LIVE
10 years ago
VijimamboSAUTI ZA BUSARA WAMTAMBULISHA RASMI ALI KIBA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6vrlCWf4r6I/VMpO6-TaClI/AAAAAAAHAMk/t6bwVT1azoI/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
SAUTI ZA BUSARA WAMTANGAZA WAMTAMBULISHA RASMI ALI KIBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-6vrlCWf4r6I/VMpO6-TaClI/AAAAAAAHAMk/t6bwVT1azoI/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
10 years ago
Dewji Blog30 Jan
Ali Kiba kupiga shoo ya ‘live’ Sauti za Busara Feb 12
Mwenyekiti wa Bodi wa Busara Promotions, wandaaji wa tamasha la Sauti za Busara, Simai Mohammed (katikati) akiongea na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wanahabari Jijini Dar es Salaam, juu ya tamasha la 12 la Sauti za Busara, litakalofanyika, Februari 12 hadi 15, mwaka huu, Ngome Kongwe, Zanzibar. Wengine (kushoto) ni Meneja wa tamasha hilo, Journey Ramadhani. na upande wa kulia ni Mkurugenzi wa tamasha hilo, Yusuf Mahmoud ‘Dj Yusuf, akifuatiwa na msanii wa Bongo...
11 years ago
GPLALI KIBA AONYESHA MANJONJO TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm51ZJBo3uEor88HfL2V30oDl3y4Gy3LmQryfPaDrbp8BFSDr5TFTHvi6VuNB4s9*pf08vhkvxQeDU2ZqvhY1s-W/matumaini.jpg)
ALI KIBA: NITAFANYA SHOO YA KIMATAIFA TAMASHA LA MATUMAINI
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-uz7hKnDTrrQ/VKvgkdOzzvI/AAAAAAAAmGI/9Fag14DeEO0/s72-c/watoto%2Bwa%2Bali%2Bkiba.jpg)
Wakati Wengine Wakitambulisha Wapenzi Wao Ali Kiba kaanza Mwaka kwa Kuwatambulisha Watoto wake kwa Mashabiki
![](http://1.bp.blogspot.com/-uz7hKnDTrrQ/VKvgkdOzzvI/AAAAAAAAmGI/9Fag14DeEO0/s640/watoto%2Bwa%2Bali%2Bkiba.jpg)