ALI KIBA AONYESHA MANJONJO TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI
Nyota wa muziki wa Bongo fleva, Ali Kiba akiimba huku akiwa katika pozi bila kuwaangalia mashabiki wake katika Tamasha la Usiku wa Matumaini usiku wa kuamkia leo. Ali Kiba akionyesha manjonjo yake kwa mashabiki wake.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
ALI KIBA: NITAFANYA SHOO YA KIMATAIFA TAMASHA LA MATUMAINI
Ujio mpya wa msanii asiye na mpinzani katika gemu la Bongo Fleva, Ali Kiba ndiyo habari inayoendelea kutikisa jiji kwa sasa ambapo nyimbo zake mbili alizoziachia, Mwana na Kimasomaso zinazidi kupasua mawingu na kudhihirisha kauli yake kwamba hakuna wa kushindana naye Bongo. Msanii asiye na mpinzani katika gemu la Bongo Fleva, Ali Kiba. Akipiga stori na Showbiz, Ali Kiba anayetarajiwa kukinukisha kinomanoma kwenye Tamasha la...
11 years ago
GPLALI KIBA ATUA GLOBAL TV ONLINE, AELEZEA ALIVYOJIANDAA KWA MAKAMUZI YA USIKU WA MATUMAINI 2014
Ali Kiba akifafanua jambo wakati akihojiwa  ndani ya studio za Global TV Online. Ali Kiba akiwa ametulia mbele ya kamera za Global TV Online. STAA wa Bongo Fleva nchini, Ali…
11 years ago
GPL
ALI KIBA:NIMEJIPANGA KWA MUDA MREFU KUONESHA SHOO KALI TAMASHA LA MATUMAINI
Makala: Elvan Stambuli BAADA ya kimya kirefu, mwanamuziki wa Bongo Fleva, Ali Salehe Kiba ‘Ali Kiba’ amesema amejipanga kwa muda mrefu ili ‘akamue’ vilivyo kwa shoo kali katika Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalofanyika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam Agosti 8, mwaka huu. Ali Kiba akifafanua jambo wakati akihojiwa ndani ya… ...
10 years ago
GPLALI KIBA AVAMIWA USIKU WA KUAMKIA LEO
Msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba. MSANII wa Bongo Fleva, Ali Kiba usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwake Kunduchi jijini Dar es Salaam, alivamiwa na kundi la watu wapatao 20 wanaodhaniwa kuwa ni majambazi. Ali Kiba akiwa katika pozi. Watu hao waliokuwa na silaha za aina tofauti yakiwemo mapanga, visu na silaha za moto walifanikiwa kuvunja kuingia ndani na kuwadhuru baadhi ya ndugu wa Ali Kiba na kuiba mali na kila kitu ambacho...
11 years ago
GPL
11 years ago
GPL
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 NI VITA
Umewahi kujiuliza nini kitatokea endapo waheshimiwa wabunge, Hamis Kigwangala wa Nzega na Mwigulu Nchemba wa Iramba Magharibi wakiziweka suti zao pembeni na kupanda ulingoni, nani atamkalisha mwenzake? Itakuwa vita! D.k Hamis Kigwangala mbunge wa Nzega. Basi hicho ndicho kitakachotokea kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalotimua vumbi Agosti 8, 2014 (Nane Nane) kwenye Uwanja wa Taifa ambapo waheshimiwa hao watanyukana...
11 years ago
GPL
WASHIRIKI WA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI WATAMBIANA
Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo (katikati), ambaye kampuni yake inaandaa tamasha hilo, akizungumza kwenye mkutano huo. Mkutano ukiendelea.…
5 years ago
Michuzi
ALI KIBA: KILLY, CHEED WALINIAMSHA USIKU KUNIAGA WANAONDOKA

Msanii wa Bongo Fleva nchini, Ali Saleh Kiba amesema ameshangazwa na kitendo cha kuondoka kwa Wasanii waliokuwa kwenye Kundi lake la Kings Music Records, Ally Killy Omary ‘Killy’ na Rasheed ‘Cheed’, amesema hakutarajia kuondoka kwa Wasanii hao katika Kundi hilo.
Kupitia Kipindi cha Tunalinda View cha Clouds TV – Kupitia Mtandao wake wa Instagram wakati akiwa ‘Live’, Kiba amesema alizungumza na Wasanii hao kwa dakika tano tu, kabla yakuomba kung’atuka kwenye Kundi...
11 years ago
GPL
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014: NOMA SANAAA
Mpango mzima utakuwa ni Agosti, mwaka huu wakati Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 litakapochukua nafasi akatika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ambapo mastaa kibao wakiwemo Ali Kiba, staa wa songi la Johnny, Yemi Alade kutoka Nigeria, Juma Nature, Madee, R.O.M.A Mkatoliki, Wanaume halisi na wengineo kibao wataporomosha burudani za kufa mtu siku hiyo. Tamasha hili si la… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania