ALI KIBA ATUA GLOBAL TV ONLINE, AELEZEA ALIVYOJIANDAA KWA MAKAMUZI YA USIKU WA MATUMAINI 2014
Ali Kiba akifafanua jambo wakati akihojiwa  ndani ya studio za Global TV Online. Ali Kiba akiwa ametulia mbele ya kamera za Global TV Online. STAA wa Bongo Fleva nchini, Ali…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMAKAMUZI YA SHILOLE NDANI YA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014
Mwanadada mwigizaji na mwanamuziki Zuwena Mohamed 'Shilole' akicheza kwa kujiachia katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 usiku wa kuamkia leo. Zuwena Mohamed 'Shilole' akiongea na mashabiki wake.…
11 years ago
GPLALI KIBA AONYESHA MANJONJO TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI
Nyota wa muziki wa Bongo fleva, Ali Kiba akiimba huku akiwa katika pozi bila kuwaangalia mashabiki wake katika Tamasha la Usiku wa Matumaini usiku wa kuamkia leo. Ali Kiba akionyesha manjonjo yake kwa mashabiki wake.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W3FOOkDryrLmqmHb1JsRl14ZgE9rAXiB8oi0q6BuyI11XcASAbMZgSZG*3bwtWj0nsWjgKWk27ypXPRx44vT48N/alik.jpg)
ALI KIBA:NIMEJIPANGA KWA MUDA MREFU KUONESHA SHOO KALI TAMASHA LA MATUMAINI
Makala: Elvan Stambuli BAADA ya kimya kirefu, mwanamuziki wa Bongo Fleva, Ali Salehe Kiba ‘Ali Kiba’ amesema amejipanga kwa muda mrefu ili ‘akamue’ vilivyo kwa shoo kali katika Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalofanyika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam Agosti 8, mwaka huu. Ali Kiba akifafanua jambo wakati akihojiwa ndani ya… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1VJR9F-zilonpijcSdmCWp7rKxje99SmznJtocIiCF3OxNQkh3kFg2nnmozewyvjwAv5a2vH3EEqOpEW9Y3g-ahRowdWtNWc/BELLA.jpg?width=650)
CHRISTIAN BELLA ATUA GLOBAL, AFANYA MAHOJIANO NA GLOBAL TV ONLINE
Christian Bella aka 'King of Melody' akihojiwa ndani ya studio za Global TV Online. Bella akifurahia jambo wakati wa mahojiano hayo.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm51ZJBo3uEor88HfL2V30oDl3y4Gy3LmQryfPaDrbp8BFSDr5TFTHvi6VuNB4s9*pf08vhkvxQeDU2ZqvhY1s-W/matumaini.jpg)
ALI KIBA: NITAFANYA SHOO YA KIMATAIFA TAMASHA LA MATUMAINI
Ujio mpya wa msanii asiye na mpinzani katika gemu la Bongo Fleva, Ali Kiba ndiyo habari inayoendelea kutikisa jiji kwa sasa ambapo nyimbo zake mbili alizoziachia, Mwana na Kimasomaso zinazidi kupasua mawingu na kudhihirisha kauli yake kwamba hakuna wa kushindana naye Bongo. Msanii asiye na mpinzani katika gemu la Bongo Fleva, Ali Kiba. Akipiga stori na Showbiz, Ali Kiba anayetarajiwa kukinukisha kinomanoma kwenye Tamasha la...
10 years ago
GPL19 Oct
TAMASHA LA FIESTA 2014: DAVIDO, ALI KIBA, DIAMOND NA T.1 WAZUA GUMZO KWA MASHABIKI
Tamasha la Serengeti Fiesta 2014, usiku wa kuamkia leo lilifunga mitaa ya Jiji la Dar na viunga vyake ambapo burudani ya kufa mtu ilidondoshwa kwenye Viwanja vya Leaders, Kinondoni jijini Dar.
10 years ago
GPLALI KIBA AVAMIWA USIKU WA KUAMKIA LEO
Msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba. MSANII wa Bongo Fleva, Ali Kiba usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwake Kunduchi jijini Dar es Salaam, alivamiwa na kundi la watu wapatao 20 wanaodhaniwa kuwa ni majambazi. Ali Kiba akiwa katika pozi. Watu hao waliokuwa na silaha za aina tofauti yakiwemo mapanga, visu na silaha za moto walifanikiwa kuvunja kuingia ndani na kuwadhuru baadhi ya ndugu wa Ali Kiba na kuiba mali na kila kitu ambacho...
10 years ago
CloudsFM06 Mar
Ali Kiba atua Moshi kuangusha bonge la shoo leo Club Laliga
![](http://api.ning.com/files/AlF29i7dC3Ih2t-GGBLOmYTF2LdPKLYlrNdxGDw30ND6KJzHg7bWoZShY-FV9tls1WqHIlO0mPPA2BhHaxEnQfei*g-L7zmH/alikiba1.jpg?width=750)
10 years ago
GPLCOUNTRY BOY ATUA GLOBAL TV ONLINE
Country Boy ndani ya studio za Global TV Online. Country Boy akipozi na presenta wa Global TV Online, Pamela Daffa 'Pam D'.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania