MAKAMUZI YA SHILOLE NDANI YA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014
Mwanadada mwigizaji na mwanamuziki Zuwena Mohamed 'Shilole' akicheza kwa kujiachia katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 usiku wa kuamkia leo. Zuwena Mohamed 'Shilole' akiongea na mashabiki wake.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLALI KIBA ATUA GLOBAL TV ONLINE, AELEZEA ALIVYOJIANDAA KWA MAKAMUZI YA USIKU WA MATUMAINI 2014
Ali Kiba akifafanua jambo wakati akihojiwa  ndani ya studio za Global TV Online. Ali Kiba akiwa ametulia mbele ya kamera za Global TV Online. STAA wa Bongo Fleva nchini, Ali…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R*tm0ukPJZcQC0Z7ojHaPdVlpPGbFfl5xXvfKrMumU7dt0z1RYinBiBX4AYozwOCp5*JgVt8nYP8klBzc4hgVIBU741yeIZD/TAMASHALAMATUMAINIA3copy.jpg?width=750)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAYJBlxpAvD07Jagz0iIVjsOJGYxGyhZ5HYHdWhT50Nnym37i9ndm7xbXqKAQhcq9BwoFHDlJIFJhzv5bny719yN/tamasha.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014... SHILOLE KUMFUNIKA YEMI ALADE
WAKATI Watanzania wakilisubiri kwa hamu Tamasha la Matumaini litakalofanyika Agosti 8, mwaka huu ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar, habari njema ni kwamba, staa wa Chuna Buzi, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameahidi kumkalisha mkali wa Johhny, Yemi Alade atakayekuja kulipamba tamasha hilo. Mkali wa kudansi kutoka Nigeria, Yemi Alade akipozi. Akizungumzia tamasha hilo lenye lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jyfrBYwMGBUpfryplb690oGCAu5IeHY3ZAOMW41FwjXsE9hwRjW26cF9ox8MCumVNWZZ1HpgbotROnvtMgqhpbe/Billboard280cmx380cm3.jpg?width=650)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfBdUMCI1Oc*CquB0ke-LTHFsCYdABZx0qk*j6UrjlI6EvdZhuhdh*DfkYwDGCHEgiY553rhokuDHbb3m043yOF0/tamasha.jpg)
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 NI VITA
Umewahi kujiuliza nini kitatokea endapo waheshimiwa wabunge, Hamis Kigwangala wa Nzega na Mwigulu Nchemba wa Iramba Magharibi wakiziweka suti zao pembeni na kupanda ulingoni, nani atamkalisha mwenzake? Itakuwa vita! D.k Hamis Kigwangala mbunge wa Nzega. Basi hicho ndicho kitakachotokea kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalotimua vumbi Agosti 8, 2014 (Nane Nane) kwenye Uwanja wa Taifa ambapo waheshimiwa hao watanyukana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014: NOMA SANAAA
Mpango mzima utakuwa ni Agosti, mwaka huu wakati Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 litakapochukua nafasi akatika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ambapo mastaa kibao wakiwemo Ali Kiba, staa wa songi la Johnny, Yemi Alade kutoka Nigeria, Juma Nature, Madee, R.O.M.A Mkatoliki, Wanaume halisi na wengineo kibao wataporomosha burudani za kufa mtu siku hiyo. Tamasha hili si la… ...
11 years ago
Dewji Blog21 Jul
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJPLWWedmITXz7bQ4TDWNpoVGY4YiWWCXIeDfNahshGjf0**x6-*2isnfsFZV1-xeLaYjE2Ya6QJcnEWpJyfb-k3/TAMASHALAMATUMAINIA3.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania