Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ‘ Ndondi za Mwaka’
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R*tm0ukPJZeHCwD2fDlCQjntX9BvCdEvnXGHGoGqJm6MVbTJfZ193mYF*vVTx13ss18cCHtuHPRcBmlcFTbp2CdVXz*U3cvO/BillbA3.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k4u8awuVyxq-LuUkmkeMcGgfy6*J79glFJmv2TK7gfK5iJAij3KjsLMMiHKp8xx89YzsfIxdX0cI2-eo7qXcVZ5/matumaini.jpg?width=650)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 NDONDI... HAPA WABUNGE PALE BONGO MOVIE
ZIKIWA zimesalia wiki mbili tu kabla Tamasha la Matumaini halijachukua nafasi katika Uwanja wa Taifa, Agosti 8, mwaka huu, tayari kambi mbili za wabunge na Bongo Movie wamejipanga vya kutosha kuhakikisha wanatwangana vilivyo siku hiyo. Wakali katika tasnia ya filamu Bongo Jacob Steven ‘JB’ na Issa Musa ‘Cloud 112’ wakitunishiana misuli. Wakizungumza na Centre Spread kwa nyakati tofauti, mastaa wa Bongo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfBdUMCI1Oc*CquB0ke-LTHFsCYdABZx0qk*j6UrjlI6EvdZhuhdh*DfkYwDGCHEgiY553rhokuDHbb3m043yOF0/tamasha.jpg)
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 NI VITA
Umewahi kujiuliza nini kitatokea endapo waheshimiwa wabunge, Hamis Kigwangala wa Nzega na Mwigulu Nchemba wa Iramba Magharibi wakiziweka suti zao pembeni na kupanda ulingoni, nani atamkalisha mwenzake? Itakuwa vita! D.k Hamis Kigwangala mbunge wa Nzega. Basi hicho ndicho kitakachotokea kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalotimua vumbi Agosti 8, 2014 (Nane Nane) kwenye Uwanja wa Taifa ambapo waheshimiwa hao watanyukana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jyfrBYwMGBUpfryplb690oGCAu5IeHY3ZAOMW41FwjXsE9hwRjW26cF9ox8MCumVNWZZ1HpgbotROnvtMgqhpbe/Billboard280cmx380cm3.jpg?width=650)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJPLWWedmITXz7bQ4TDWNpoVGY4YiWWCXIeDfNahshGjf0**x6-*2isnfsFZV1-xeLaYjE2Ya6QJcnEWpJyfb-k3/TAMASHALAMATUMAINIA3.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014: NOMA SANAAA
Mpango mzima utakuwa ni Agosti, mwaka huu wakati Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 litakapochukua nafasi akatika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ambapo mastaa kibao wakiwemo Ali Kiba, staa wa songi la Johnny, Yemi Alade kutoka Nigeria, Juma Nature, Madee, R.O.M.A Mkatoliki, Wanaume halisi na wengineo kibao wataporomosha burudani za kufa mtu siku hiyo. Tamasha hili si la… ...
11 years ago
GPLROMA MKATOLIKI AFUNIKA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014
Roma Mkatoliki akiwarusha vilivyo wapenzi wa burudani waliofurika katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 usiku wa kuamkia leo. Roma Mkatoliki akiongea na mashabiki wake.…
11 years ago
GPLMAKAMUZI YA SHILOLE NDANI YA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014
Mwanadada mwigizaji na mwanamuziki Zuwena Mohamed 'Shilole' akicheza kwa kujiachia katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 usiku wa kuamkia leo. Zuwena Mohamed 'Shilole' akiongea na mashabiki wake.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania