Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 FULL BURUDANI

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

PAM D AFUNGUA MILANGO YA BURUDANI TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014

Msanii anayetamba na singo yake ya Nimempata aliyomshirikisha prodyuza Mensen Selekta, Pamela Daffa 'Pam D' akifanya vitu vyake ndani ya Tamasha la Matumaini…

 

11 years ago

Dewji Blog

Tamasha la usiku wa matumaini 2014 Wabunge Simba na Yanga full kukanyagana wwanja wa Taifa

 

koko

Makala na Nassor Gallu

SIKU ya Agosti 8, mwaka huu kutakuwa na bonge la mechi litakalopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar ambapo wabunge wanaoshabikia Yanga, watakuwa dimbani kupepetana na wenzao wa Simba.

Wabunge wa timu ya Simba wakiwa kwenye picha ya pamoja.

Hebu jaribu kuvuta picha katika ubongo wako, waheshimiwa wabunge watakapoweka kando masuala ya ‘Ukawa’ na ‘Tanzania Kwanza’, kisha kukutana katika uwanja kuonyeshana umwamba kwa kusakata gozi la ng’ombe katika  mchezo huu wa...

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 WABUNGE SIMBA NA YANGA FULL KUKANYAGANA UWANJA WA TAIFA

makala Na Nassor Gallu
SIKU ya Agosti 8, mwaka huu kutakuwa na bonge la mechi litakalopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar ambapo wabunge wanaoshabikia Yanga, watakuwa dimbani kupepetana na wenzao wa Simba. Wabunge wa timu ya Simba wakiwa kwenye picha ya pamoja. Hebu jaribu kuvuta picha katika ubongo wako, waheshimiwa wabunge watakapoweka kando masuala ya ‘Ukawa’ na ‘Tanzania Kwanza’, kisha...

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014 FULL MSISIMKO

TAMASHA la Usiku wa Matumaini, Dar (Dar Night of Hope 2014) lililofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar lilikuwa ni full msisimko kutokana na matukio mbalimbali yaliyofanyika. Mgeni rasmi Dk.Mohamed Ghalib Bilal akikagua timu ya wabunge wa Simba. Makamu wa Rais Mh. Mohamed Gharib…

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014 NI BURUDANI MWANZO MWISHO

Burudani mbalimbali zikiendelea katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014.

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014 BURUDANI MWANZO MWISHO

HAPATOSHI! Mastaa wanaokimbiza katika anga la muziki wa Bongo Fleva, wanatarajia kuchuana vilivyo kulipamba Tamasha la Usiku wa Matumaini katika Uwanja wa Taifa, Agosti 8, mwaka huu. Diva wa muziki kutoka Nigeria ambaye anatamba na wimbo wa Johnny, Yemi Alade. Akizungumza na Risasi Vibes, mratibu wa tamasha hilo ambalo linafanyika kwa awamu  tatu mwaka huu, Luqman Maloto aliianika listi ya mastaa hao huku akiahidi kuwa...

 

11 years ago

GPL

USIKU WA MATUMAINI 2014... MAPINDUZI BAB’KUBWA YA BURUDANI BONGO

Unakumbuka Tamasha la Usiku wa Matumaini lilivyotingisha mwaka jana? Basi kwa taarifa yako, mwaka huu wa 2014 linakuja tena kivingine likiwa limesheheni mapinduzi makubwa katika burudani yatakayoacha historia ya kipekee Bongo. Kwa mujibu wa mratibu wa ishu hiyo, Luqman Maloto, mpango mzima utakuwa ni kwenye Sikukuu ya Nanenane (8/8/2014) katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ambapo wasanii kibao kutoka Bongo, Afrika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani