PAM D AFUNGUA MILANGO YA BURUDANI TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014
![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-yedMOEJtd27DsMQLzJIQiWRTbFy-uosjRL*G5Rxo*062Ymh*AxWYBrz9RGa*GyOCrpRUUALb4HWgJwzjLZIpHZ/pamela.jpg?width=650)
Msanii anayetamba na singo yake ya Nimempata aliyomshirikisha prodyuza Mensen Selekta, Pamela Daffa 'Pam D' akifanya vitu vyake ndani ya Tamasha la Matumaini…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJPLWWedmITXz7bQ4TDWNpoVGY4YiWWCXIeDfNahshGjf0**x6-*2isnfsFZV1-xeLaYjE2Ya6QJcnEWpJyfb-k3/TAMASHALAMATUMAINIA3.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkzO3k8Yy64OBwxG1jaKDe0*CDWmx0j4uYQNPtVHM0KRDMY1tyJ-7HGeZhXtXy2OARzLD-LIDijvkPoT6e2VxnX2/TAMASHA.jpg?width=650)
11 years ago
GPL08 Aug
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 NI BURUDANI MWANZO MWISHO
Burudani mbalimbali zikiendelea katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeKC62x93VlA3E6E7OnzTUpRy-05NVWLMk3ZwdslQYbhwBhTtHhZ6BpHYhMhKhCLwCeZxZCsJ90xCkuWt9hFuIyG/matumain.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 BURUDANI MWANZO MWISHO
HAPATOSHI! Mastaa wanaokimbiza katika anga la muziki wa Bongo Fleva, wanatarajia kuchuana vilivyo kulipamba Tamasha la Usiku wa Matumaini katika Uwanja wa Taifa, Agosti 8, mwaka huu. Diva wa muziki kutoka Nigeria ambaye anatamba na wimbo wa Johnny, Yemi Alade. Akizungumza na Risasi Vibes, mratibu wa tamasha hilo ambalo linafanyika kwa awamu tatu mwaka huu, Luqman Maloto aliianika listi ya mastaa hao huku akiahidi kuwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Jlj7Yacjzg2AyUuBrs1PcWOyn9jMRmuYgrQXSGgqY*fNuKzmDXPiEXt7wTrwJsytLeFP96KEA2YNBu8j7mBmRiPavjJS*ogK/usikuwamatumaini2013.jpg)
USIKU WA MATUMAINI 2014... MAPINDUZI BAB’KUBWA YA BURUDANI BONGO
Unakumbuka Tamasha la Usiku wa Matumaini lilivyotingisha mwaka jana? Basi kwa taarifa yako, mwaka huu wa 2014 linakuja tena kivingine likiwa limesheheni mapinduzi makubwa katika burudani yatakayoacha historia ya kipekee Bongo. Kwa mujibu wa mratibu wa ishu hiyo, Luqman Maloto, mpango mzima utakuwa ni kwenye Sikukuu ya Nanenane (8/8/2014) katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ambapo wasanii kibao kutoka Bongo, Afrika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jyfrBYwMGBUpfryplb690oGCAu5IeHY3ZAOMW41FwjXsE9hwRjW26cF9ox8MCumVNWZZ1HpgbotROnvtMgqhpbe/Billboard280cmx380cm3.jpg?width=650)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfBdUMCI1Oc*CquB0ke-LTHFsCYdABZx0qk*j6UrjlI6EvdZhuhdh*DfkYwDGCHEgiY553rhokuDHbb3m043yOF0/tamasha.jpg)
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 NI VITA
Umewahi kujiuliza nini kitatokea endapo waheshimiwa wabunge, Hamis Kigwangala wa Nzega na Mwigulu Nchemba wa Iramba Magharibi wakiziweka suti zao pembeni na kupanda ulingoni, nani atamkalisha mwenzake? Itakuwa vita! D.k Hamis Kigwangala mbunge wa Nzega. Basi hicho ndicho kitakachotokea kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalotimua vumbi Agosti 8, 2014 (Nane Nane) kwenye Uwanja wa Taifa ambapo waheshimiwa hao watanyukana...
11 years ago
Dewji Blog21 Jul
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania