TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 'NDONDI ZA MWAKA'
![](http://api.ning.com:80/files/R*tm0ukPJZeHCwD2fDlCQjntX9BvCdEvnXGHGoGqJm6MVbTJfZ193mYF*vVTx13ss18cCHtuHPRcBmlcFTbp2CdVXz*U3cvO/BillbA3.jpg)
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog21 Jul
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-w*FIZbCu5hIbqapEPKmb7M5PmdSJDQXrcy-HWkq2iMRULv68OuX*y7ehNKlj-lb2hWtjIRjhy2RN7NQlmFpf-s/JIKEJEURI.jpg?width=650)
POWER BLACK NYATI 'JIKE JEURI' NDANI YA USIKU WA MATUMAINI 2014
Mwanamama Power Black Nyati 'Jike Jeuri' akifanya vitu vyake ndani ya Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014. 'Jike Jeuri' akipiga 'push - up' ndani ya Uwanja wa Taifa.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-xYuvr0-XtWV4hgK*27f7XVHgE*kocQje3*YQFYFI8As7xUDp3LqhKdH*becM3lXmdaHpQRSMe9Z-DfsRk072V*/2desa.jpg?width=650)
KING DESA MO, MLAPA NG'OSHA WAFANYA KWELI TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 TAIFA
Mwandishi wa Global Publishers Ltd ambaye pia ni msanii wa Hip hop, Deogratius Mongela 'King Desa Mo' akifanya yake katika Tamasha la Usiku wa Matumaini Uwanja wa Taifa jijini Dar mchana huu. Mwandishi mwingine wa Global Publishers Ltd ambaye pia ni msanii wa Gospel, Gabriel Ng'osha 'Mlapa Ng'osha' naye…
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/ijumaa-hii.jpg?width=650)
TAMASHA KUBWA LA TAARAB 'USIKU WA MSWAHILI' KUFANYIKA IJUMAA HII YA APRILI 24
Wazazi, walezi wanajamii na wadau mbalimbali wanatarajiwa kukutana kwenye tamasha maalum la taarab lililopewa jina la 'Usiku wa Mswahili' kwa lengo la kukusanya fedha za kuchangia ununuzi wa madawati, linatarajiwa kufanyika usiku wa Ijumaa ya Aprili 24, katika shule ya Tambaza, iliyopo Ilala jijii Dar es Salaam. "Karibuni katika Usiku wa Mswahili Ijumaa hii ya Aprili 24 ndani ya ukumbi wa Tambaza, kuanzia saa moja usiku. kwa...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0004.jpg)
NJOO UPUNGUZE 'STRESS' ZA WIKI NZIMA KWA BURUDANI YA 'LIVE MUSIC' NA SKYLIGHT BAND LEO, THAI VILLAGE-MASAKI
John Music (katikati) akitoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti ya Back vocal na Ashura Kitenge (kushoto) pamoja na Sam Mapenzi. It's Friday and its on #TGIF, Skylight friday, wadau na wapenzi wa muziki wa live na wa kiwango cha juu,wote tunakutana Thai village Masaki, jioni hii kwa burudani safii toka kwa wakali wa town vijana wa Skylight Band, Karibuni sana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k4u8awuVyxq-LuUkmkeMcGgfy6*J79glFJmv2TK7gfK5iJAij3KjsLMMiHKp8xx89YzsfIxdX0cI2-eo7qXcVZ5/matumaini.jpg?width=650)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 NDONDI... HAPA WABUNGE PALE BONGO MOVIE
ZIKIWA zimesalia wiki mbili tu kabla Tamasha la Matumaini halijachukua nafasi katika Uwanja wa Taifa, Agosti 8, mwaka huu, tayari kambi mbili za wabunge na Bongo Movie wamejipanga vya kutosha kuhakikisha wanatwangana vilivyo siku hiyo. Wakali katika tasnia ya filamu Bongo Jacob Steven ‘JB’ na Issa Musa ‘Cloud 112’ wakitunishiana misuli. Wakizungumza na Centre Spread kwa nyakati tofauti, mastaa wa Bongo...
11 years ago
GPLWEMA SEPETU 'MADAM' AKIWA RED CARPET DAR LIVE USIKU HUU
Staa wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu akipozi katika red carpet ndani ya Dar Live usiku huu tayari kwa shindano la Ijumaa Sexiest Girl linalofikia tamati leo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegCiBW2SUEHmxHD2vow4jLNhtcTxW2bxjfDQCUUtRvlUDk-omUFRV5yTGQWUQ*HMnT-WA*P2iYWRYmVRDy0nf4wF3/snura1.jpg?width=650)
SNURA 'MAMAA MAJANGA' NA KUNDI LAKE WAKIFANYA MOMBO DAR LIVE USIKU HUU
Snura Mushi na kundi lake wakifanya makamuzi katika usiku wa mwaka mpya 2014 ndani ya Dar Live.…
11 years ago
GPLJAHAZI: UZINDUZI WA ALBAMU MPYA 'CHOZI LA MAMA' WAFANA DAR LIVE USIKU HUU
Meneja wa Jahazi Modern Taarab, Mohamed Rashid Mauji ' Father Mauji' akizindua na shabiki wa Jahazi albamu mpya iitwayo Chozi la Mama. Mwimbaji nyota wa muziki wa taarab nchini, Mzee Yusuph (kulia) akiongea jambo kabla ya uzinduzi akiwa na Aisha Abushiry 'Mama wa madikodiko' (katikati) kutoka pilipili FM ya Kenya.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania