TAMASHA LA MATUMAINI 2014... SHILOLE KUMFUNIKA YEMI ALADE

WAKATI Watanzania wakilisubiri kwa hamu Tamasha la Matumaini litakalofanyika Agosti 8, mwaka huu ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar, habari njema ni kwamba, staa wa Chuna Buzi, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameahidi kumkalisha mkali wa Johhny, Yemi Alade atakayekuja kulipamba tamasha hilo. Mkali wa kudansi kutoka Nigeria, Yemi Alade akipozi. Akizungumzia tamasha hilo lenye lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
11 years ago
GPLYEMI ALADE AFUNIKA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014
11 years ago
GPL
TAMASHA LA MATUMAINI... YEMI ALADE KUMSAKA JOHNNY UWANJA WA TAIFA
11 years ago
GPLMAKAMUZI YA SHILOLE NDANI YA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014
10 years ago
Bongo505 Oct
Shilole apanga kumshirikisha Yemi Alade
9 years ago
Bongo521 Dec
Shilole aingia studio na producer wa Yemi Alade, Selebobo

Staa wa muziki nchini, Shilole ameingia studio na producer wa hit single ya Yemi Alade (Johnny) Selebobo wa Nigeria kurekodi wimbo mpya.
Shilole ambaye yupo nchini Nigeria, ameiambia Bongo5 kuwa kila kitu kimeenda sawa na usiku wa Jumamosi waliingia studio.
“Tunaingia leo (Jumamosi) usiku studio. Nimezungumza naye nimemwonesha ngoma zangu na ametokea kupenda kazi zangu, kwahiyo kwa kifupi mashabiki wangu wategemee mambo mazuri hasa hasa kolabo,” alisema.
Shilole amesema safari yake ya...
11 years ago
GPL28 Jul
SHILOLE: TUKUTANE UWANJA WA TAIFA MUONE NINAVYOCHUANA NA YEMI ALADE
11 years ago
Michuzi26 Jul
YEMI, SHILOLE KUFANYA MAAJABU TAIFA USIKU WA MATUMAINI


Good newz ni kwamba Zuwena Mohamed ‘Shilole’ atapanda jukwaa moja na diva wa muziki kutoka Nigeria anayetamba na wimbo wa Johnny, Yemi Alade kudondosha shoo ya...
11 years ago
GPL
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 NI VITA