YEMI ALADE AFUNIKA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014
Staa kutoka nchini Nigeria, Yemi Alade akipiga shoo usiku huu katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAYJBlxpAvD07Jagz0iIVjsOJGYxGyhZ5HYHdWhT50Nnym37i9ndm7xbXqKAQhcq9BwoFHDlJIFJhzv5bny719yN/tamasha.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014... SHILOLE KUMFUNIKA YEMI ALADE
WAKATI Watanzania wakilisubiri kwa hamu Tamasha la Matumaini litakalofanyika Agosti 8, mwaka huu ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar, habari njema ni kwamba, staa wa Chuna Buzi, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameahidi kumkalisha mkali wa Johhny, Yemi Alade atakayekuja kulipamba tamasha hilo. Mkali wa kudansi kutoka Nigeria, Yemi Alade akipozi. Akizungumzia tamasha hilo lenye lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R*tm0ukPJZcQC0Z7ojHaPdVlpPGbFfl5xXvfKrMumU7dt0z1RYinBiBX4AYozwOCp5*JgVt8nYP8klBzc4hgVIBU741yeIZD/TAMASHALAMATUMAINIA3copy.jpg?width=750)
11 years ago
GPLROMA MKATOLIKI AFUNIKA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014
Roma Mkatoliki akiwarusha vilivyo wapenzi wa burudani waliofurika katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 usiku wa kuamkia leo. Roma Mkatoliki akiongea na mashabiki wake.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*whl3J3XpWRqVElTVLC8kRErgJDD5F6rqzBnfIB8ZGxbwhI1tRkbPAbBLImat1I28BDolTpOEi1jZDVINI9RL5V6TL3Yjv1Y/tamasha.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI... YEMI ALADE KUMSAKA JOHNNY UWANJA WA TAIFA
Na Nassor Gallu
MOSHI wa Burudani utafuka Agosti 8, mwaka huu pale tamasha kubwa linalojulikana kama Usiku wa Matumaini 2014 (Night of Hope) litakapomshusha mkali wa ngoma ya Johnny inayobamba katika redio na televisheni, Yemi Alade kutoka Nigeria. Katika tamasha hilo ambalo limekuwa likiwaunganisha Watanzania na kuchangia masuala ya elimu kupitia mapato ya mlangoni, mkali huyo kutoka Nigeria amepania kukata kiu ya burudani kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfBdUMCI1Oc*CquB0ke-LTHFsCYdABZx0qk*j6UrjlI6EvdZhuhdh*DfkYwDGCHEgiY553rhokuDHbb3m043yOF0/tamasha.jpg)
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 NI VITA
Umewahi kujiuliza nini kitatokea endapo waheshimiwa wabunge, Hamis Kigwangala wa Nzega na Mwigulu Nchemba wa Iramba Magharibi wakiziweka suti zao pembeni na kupanda ulingoni, nani atamkalisha mwenzake? Itakuwa vita! D.k Hamis Kigwangala mbunge wa Nzega. Basi hicho ndicho kitakachotokea kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalotimua vumbi Agosti 8, 2014 (Nane Nane) kwenye Uwanja wa Taifa ambapo waheshimiwa hao watanyukana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jyfrBYwMGBUpfryplb690oGCAu5IeHY3ZAOMW41FwjXsE9hwRjW26cF9ox8MCumVNWZZ1HpgbotROnvtMgqhpbe/Billboard280cmx380cm3.jpg?width=650)
11 years ago
Dewji Blog21 Jul
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJPLWWedmITXz7bQ4TDWNpoVGY4YiWWCXIeDfNahshGjf0**x6-*2isnfsFZV1-xeLaYjE2Ya6QJcnEWpJyfb-k3/TAMASHALAMATUMAINIA3.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania