Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAMASHA LA MATUMAINI... YEMI ALADE KUMSAKA JOHNNY UWANJA WA TAIFA

Na Nassor Gallu
MOSHI wa Burudani utafuka Agosti 8, mwaka huu pale tamasha kubwa linalojulikana kama Usiku wa Matumaini 2014 (Night of Hope) litakapomshusha mkali wa ngoma ya Johnny inayobamba katika redio na televisheni, Yemi Alade kutoka Nigeria. Katika tamasha hilo ambalo limekuwa likiwaunganisha Watanzania na kuchangia masuala ya elimu kupitia mapato ya mlangoni, mkali huyo kutoka Nigeria amepania kukata kiu ya burudani kwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

YEMI ALADE AFUNIKA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014

Staa kutoka nchini Nigeria, Yemi Alade akipiga shoo usiku huu katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar.…

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014... SHILOLE KUMFUNIKA YEMI ALADE

WAKATI Watanzania wakilisubiri kwa hamu Tamasha la Matumaini litakalofanyika Agosti 8, mwaka huu ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar, habari njema ni kwamba, staa wa Chuna Buzi, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameahidi kumkalisha mkali wa Johhny, Yemi Alade atakayekuja kulipamba tamasha hilo. Mkali wa kudansi kutoka Nigeria, Yemi Alade akipozi. Akizungumzia tamasha hilo lenye lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya...

 

11 years ago

GPL

SHILOLE: TUKUTANE UWANJA WA TAIFA MUONE NINAVYOCHUANA NA YEMI ALADE

Staa wa filamu na muziki, Zuwena Mohammed 'Shilole' amewataka mashabiki wake kuhudhuria kwa wingi katika Tamasha la Usiku wa Matumaini Agosti 8, 2014 ili waone atakavyochuana na staa mwenzake kutoka Nigeria, Yemi Alade!

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014 KILA KITU NI LEO UWANJA WA TAIFA

Na Nassor Gallu
Baada ya kuhesabu, miezi, siku na saa, sasa kila kitu kipo hadharani, hatimaye lile tamasha kubwa ambalo lilikuwa likisubiriwa na mamilioni ya Watanzania, linatarajiwa kufanyika leo Ijumaa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Kikosi cha wabunge wa timu ya Simba . Tamasha hilo la kizalendo ambalo limekuwa na mafanikio kila mwaka, linatarajiwa kuanza saa tano asubuhi mpaka saa sita usiku uwanjani… ...

 

11 years ago

GPL

SHANGWE ZA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 UWANJA WA TAIFA, DAR

Haya ni baadhi ya matukio katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Agosti 8, 2014.

 

11 years ago

GPL

11 years ago

Bongo5

New Video: Yemi Alade wa Naija ampata ‘Johnny’! Mtazame katika video yake mpya ‘Tangerine’

Mwimbaji wa Nigeria Yemi Alade hana jina kubwa sana Tanzania, lakini video na wimbo wake wa ‘Johnny’ (I’m looking for my Johnny…questiion) umejipatia umaarufu mkubwa. Yemi ameachia video mpya ‘Tangerine’ ambayo ndani yake kamuonesha video model wa kiume muigizaji Alex Ekubo, ambaye kwenye video anaonekana amevaa jezi iliyandikwa ‘Johnny’ kwa nyuma. Hii inaunganisha maana ya […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani