TAMASHA LA MATUMAINI 2014 KILA KITU NI LEO UWANJA WA TAIFA
![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-w8tJiDYDSmn1i5TvVOXXK99aINV2ddqH2TthsWxKbqFL4RaYwSHV5gDG2JGlTdAjUEOhxJ4*pHJsC94gbR*9PW/MATUMA.jpg)
Na Nassor Gallu Baada ya kuhesabu, miezi, siku na saa, sasa kila kitu kipo hadharani, hatimaye lile tamasha kubwa ambalo lilikuwa likisubiriwa na mamilioni ya Watanzania, linatarajiwa kufanyika leo Ijumaa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Kikosi cha wabunge wa timu ya Simba . Tamasha hilo la kizalendo ambalo limekuwa na mafanikio kila mwaka, linatarajiwa kuanza saa tano asubuhi mpaka saa sita usiku uwanjani… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL08 Aug
11 years ago
GPL09 Aug
SHANGWE ZA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 UWANJA WA TAIFA, DAR
11 years ago
Michuzi30 Jul
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 WABUNGE SIMBA NA YANGA KUPAMBANA UWANJA WA TAIFA
![](http://api.ning.com/files/J9FGucqSAtHIvfwhnF6BX9UQREkR50iUJnDEsNhuK9LbPHLaf50XRG2VoNPswCGPVjlIn*12m*KJUQIYGUAOpQhImOm5-33c/koko.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtHIvfwhnF6BX9UQREkR50iUJnDEsNhuK9LbPHLaf50XRG2VoNPswCGPVjlIn*12m*KJUQIYGUAOpQhImOm5-33c/koko.jpg)
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 WABUNGE SIMBA NA YANGA FULL KUKANYAGANA UWANJA WA TAIFA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BY6VWIVrp20ZEJ5EvqildWtSCivD11EdnSmHH0k5L2R35VcgoVN6ywuqhEmhhUYbd8D6pKvoWJMUHhLH-wC*Eqs*PcDoURh4/matumaini.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 LEO NDIYO LEO TAIFA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*whl3J3XpWRqVElTVLC8kRErgJDD5F6rqzBnfIB8ZGxbwhI1tRkbPAbBLImat1I28BDolTpOEi1jZDVINI9RL5V6TL3Yjv1Y/tamasha.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI... YEMI ALADE KUMSAKA JOHNNY UWANJA WA TAIFA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXyDjTHfQYWxMr5ZwBK2pd00LoodPwAeWdSO5vPrzKpP51h3jQ9nDClAaLT9GYngzSmK9nRIWOEgPWJntAWK3bYK/3n.o.h3.jpg?width=650)
USIKU WA MATUMAINI 2014 KUFANYIKA NANENANE UWANJA WA TAIFA DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xEh6B1KdSWQG*md2kY-BgxXdooLvFQn4NTxYcZhOK1oYfYIgyzdmsH*Dng5ZrUG2aTZmYp3J5LaSfd1n0Z71fhsCUKOOXuLf/tamasha.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014, INJILI KUTIKISA TAIFA
11 years ago
Dewji Blog01 Aug
Tamasha la matumaini 2014, mastaa waeleza watakavyokamua Taifa
Stori: Centre Spread
ITAKUWA balaa! Siku chache kuelekea kwenye Tamasha la Matumaini, Agosti 8, mwaka huu, mastaa kibao watakaolipamba jukwaa litakalofungwa ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar, wameeleza jinsi gani.
Diva wa muziki kutoka pande za Nigeria, Yemi Alade.
Yemi Alade
Diva wa muziki kutoka pande za Nigeria ambaye huwa habahatishi, amesema: “Nitawapagawisha mashabiki kwa kupiga nyimbo zangu zote kali ikiwemo iliyojizolea umaarufu kila kona ya Afrika, Johhny. Mashabiki wategemee...