Tamasha la matumaini 2014, mastaa waeleza watakavyokamua Taifa
Stori: Centre Spread
ITAKUWA balaa! Siku chache kuelekea kwenye Tamasha la Matumaini, Agosti 8, mwaka huu, mastaa kibao watakaolipamba jukwaa litakalofungwa ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar, wameeleza jinsi gani.
Diva wa muziki kutoka pande za Nigeria, Yemi Alade.
Yemi Alade
Diva wa muziki kutoka pande za Nigeria ambaye huwa habahatishi, amesema: “Nitawapagawisha mashabiki kwa kupiga nyimbo zangu zote kali ikiwemo iliyojizolea umaarufu kila kona ya Afrika, Johhny. Mashabiki wategemee...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xEh6B1KdSWQG*md2kY-BgxXdooLvFQn4NTxYcZhOK1oYfYIgyzdmsH*Dng5ZrUG2aTZmYp3J5LaSfd1n0Z71fhsCUKOOXuLf/tamasha.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014, INJILI KUTIKISA TAIFA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jzKWH6WLbey-pq6J8Hn22n8spJP7aqS67fUDBB1S70h9Tj7wnERtHOaI2oaDrC2lv0sGeXV65krlLVE8r3VWu9C/BongoBillboard280cmx380cm2.jpg?width=650)
11 years ago
GPL09 Aug
SHANGWE ZA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 UWANJA WA TAIFA, DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-w8tJiDYDSmn1i5TvVOXXK99aINV2ddqH2TthsWxKbqFL4RaYwSHV5gDG2JGlTdAjUEOhxJ4*pHJsC94gbR*9PW/MATUMA.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 KILA KITU NI LEO UWANJA WA TAIFA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAYfv6Yi4Aq4sE69dtL2zVytzJLn5244ic0E3KV46D8JnQdac*wWovSNVw6Is9yAOfzFNJTKGhjquqvUHhwRsOY6/1.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 NKONE, MWAIPAJA, MWASONGWE KUACHA.. HISTORIA TAIFA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k7SduGqFYK0FRZlpEjkLZWzEB8YsOmGIViwVWgfI3eT1k1XZ0DownxlUFej1GWv*7okyQtBZR4Ev4bsIysEtQIB/matumain.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014... ROMA, MADEE, NATURE KUONYESHANA UBABE TAIFA!
11 years ago
GPL08 Aug
11 years ago
Michuzi30 Jul
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 WABUNGE SIMBA NA YANGA KUPAMBANA UWANJA WA TAIFA
![](http://api.ning.com/files/J9FGucqSAtHIvfwhnF6BX9UQREkR50iUJnDEsNhuK9LbPHLaf50XRG2VoNPswCGPVjlIn*12m*KJUQIYGUAOpQhImOm5-33c/koko.jpg)
11 years ago
Dewji Blog30 Jul
Tamasha la usiku wa matumaini 2014 Wabunge Simba na Yanga full kukanyagana wwanja wa Taifa
Makala na Nassor Gallu
SIKU ya Agosti 8, mwaka huu kutakuwa na bonge la mechi litakalopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar ambapo wabunge wanaoshabikia Yanga, watakuwa dimbani kupepetana na wenzao wa Simba.
Wabunge wa timu ya Simba wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Hebu jaribu kuvuta picha katika ubongo wako, waheshimiwa wabunge watakapoweka kando masuala ya ‘Ukawa’ na ‘Tanzania Kwanza’, kisha kukutana katika uwanja kuonyeshana umwamba kwa kusakata gozi la ng’ombe katika mchezo huu wa...