SHANGWE ZA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 UWANJA WA TAIFA, DAR
Haya ni baadhi ya matukio katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Agosti 8, 2014.
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL08 Aug
11 years ago
Michuzi30 Jul
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 WABUNGE SIMBA NA YANGA KUPAMBANA UWANJA WA TAIFA
![](http://api.ning.com/files/J9FGucqSAtHIvfwhnF6BX9UQREkR50iUJnDEsNhuK9LbPHLaf50XRG2VoNPswCGPVjlIn*12m*KJUQIYGUAOpQhImOm5-33c/koko.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtHIvfwhnF6BX9UQREkR50iUJnDEsNhuK9LbPHLaf50XRG2VoNPswCGPVjlIn*12m*KJUQIYGUAOpQhImOm5-33c/koko.jpg)
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 WABUNGE SIMBA NA YANGA FULL KUKANYAGANA UWANJA WA TAIFA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXyDjTHfQYWxMr5ZwBK2pd00LoodPwAeWdSO5vPrzKpP51h3jQ9nDClAaLT9GYngzSmK9nRIWOEgPWJntAWK3bYK/3n.o.h3.jpg?width=650)
USIKU WA MATUMAINI 2014 KUFANYIKA NANENANE UWANJA WA TAIFA DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jzKWH6WLbey-pq6J8Hn22n8spJP7aqS67fUDBB1S70h9Tj7wnERtHOaI2oaDrC2lv0sGeXV65krlLVE8r3VWu9C/BongoBillboard280cmx380cm2.jpg?width=650)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-w8tJiDYDSmn1i5TvVOXXK99aINV2ddqH2TthsWxKbqFL4RaYwSHV5gDG2JGlTdAjUEOhxJ4*pHJsC94gbR*9PW/MATUMA.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 KILA KITU NI LEO UWANJA WA TAIFA
11 years ago
Dewji Blog30 Jul
Tamasha la usiku wa matumaini 2014 Wabunge Simba na Yanga full kukanyagana wwanja wa Taifa
Makala na Nassor Gallu
SIKU ya Agosti 8, mwaka huu kutakuwa na bonge la mechi litakalopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar ambapo wabunge wanaoshabikia Yanga, watakuwa dimbani kupepetana na wenzao wa Simba.
Wabunge wa timu ya Simba wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Hebu jaribu kuvuta picha katika ubongo wako, waheshimiwa wabunge watakapoweka kando masuala ya ‘Ukawa’ na ‘Tanzania Kwanza’, kisha kukutana katika uwanja kuonyeshana umwamba kwa kusakata gozi la ng’ombe katika mchezo huu wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-xYuvr0-XtWV4hgK*27f7XVHgE*kocQje3*YQFYFI8As7xUDp3LqhKdH*becM3lXmdaHpQRSMe9Z-DfsRk072V*/2desa.jpg?width=650)
KING DESA MO, MLAPA NG'OSHA WAFANYA KWELI TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 TAIFA
11 years ago
Dewji Blog08 Aug
Night Of Hope 2014: Upendo Nkone akitoa matumaini ndani ya uwanja wa Taifa Dar
Mwimbaji wa Injili, Upendo Nkone akiwapa matumaini wananchi waliohudhuria Usiku wa Matumaini muda huu ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar.
Upendo Nkone akiwapa burudani wapenzi wa Gospel ndani ya Tamasha la Matumaini 2014.
Umati wa watu ndani ya Tamasha la Matumaini 2014.
Nkone akizidi kufanya yake pamoja na vijana wake.
Baadhi ya wanahabari na wadau wakifuatilia tamasha hilo.