Night Of Hope 2014: Upendo Nkone akitoa matumaini ndani ya uwanja wa Taifa Dar
Mwimbaji wa Injili, Upendo Nkone akiwapa matumaini wananchi waliohudhuria Usiku wa Matumaini muda huu ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar.
Upendo Nkone akiwapa burudani wapenzi wa Gospel ndani ya Tamasha la Matumaini 2014.
Umati wa watu ndani ya Tamasha la Matumaini 2014.
Nkone akizidi kufanya yake pamoja na vijana wake.
Baadhi ya wanahabari na wadau wakifuatilia tamasha hilo.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-znlksAwEvUeAhs7Edq22BZ-8wLPXmFkVJwhNjYou7e3*AAw8svrVJagj3pgf0c6mu6eIdvE9sMW1SZSmVPiETQ/UPENDONKONE.jpg?width=650)
UPENDO NKONE AKITOA MATUMAINI NDANI YA UWANJA WA TAIFA
Mwimbaji wa Injili, Upendo Nkone akiwapa matumaini wananchi waliohudhuria Usiku wa Matumaini muda huu ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar. Upendo Nkone akiwapa burudani wapenzi wa Gospel ndani ya Tamasha la Matumaini 2014.…
11 years ago
GPLNIGHT OF HOPE 2014: WANANCHI WAKIMIMINIKA NDANI YA UWANJA WA TAIFA MUDA HUU
Wananchi mbalimbali wakiingia katika Uwanja wa Taifa jijini Dar kwa ajili ya Tamasha kubwa la Usiku wa Matumaini 2014 linaloendelea kwa sasa.
11 years ago
GPL09 Aug
SHANGWE ZA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 UWANJA WA TAIFA, DAR
Haya ni baadhi ya matukio katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Agosti 8, 2014.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXyDjTHfQYWxMr5ZwBK2pd00LoodPwAeWdSO5vPrzKpP51h3jQ9nDClAaLT9GYngzSmK9nRIWOEgPWJntAWK3bYK/3n.o.h3.jpg?width=650)
USIKU WA MATUMAINI 2014 KUFANYIKA NANENANE UWANJA WA TAIFA DAR
Baadhi ya matukio katika Tamasha la Usiku wa Matumaini mwaka 2013 ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais Jakaya Kikwete. (PICHA ZOTE NA MAKTABA)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAYfv6Yi4Aq4sE69dtL2zVytzJLn5244ic0E3KV46D8JnQdac*wWovSNVw6Is9yAOfzFNJTKGhjquqvUHhwRsOY6/1.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 NKONE, MWAIPAJA, MWASONGWE KUACHA.. HISTORIA TAIFA
Mkali wa muziki wa Injili, Upendo Nkone, Na Nassor Gallu
GUMZO kubwa kwa sasa mjini ni tamasha la Usiku wa Matumaini linalotarajiwa kufanyika Agosti 8, mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar ambapo burudani kabambe kutoka kwa wakali wa muziki wa Injili, Upendo Nkone, Martha Mwaipaja, Ambwene Mwasongwe, Angel, Paul Clement na wengine kibao watawalisha mashabiki Neno la Mungu. Usiku wa Matumaini ni tamasha kubwa ambalo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-w8tJiDYDSmn1i5TvVOXXK99aINV2ddqH2TthsWxKbqFL4RaYwSHV5gDG2JGlTdAjUEOhxJ4*pHJsC94gbR*9PW/MATUMA.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 KILA KITU NI LEO UWANJA WA TAIFA
Na Nassor Gallu
Baada ya kuhesabu, miezi, siku na saa, sasa kila kitu kipo hadharani, hatimaye lile tamasha kubwa ambalo lilikuwa likisubiriwa na mamilioni ya Watanzania, linatarajiwa kufanyika leo Ijumaa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Kikosi cha wabunge wa timu ya Simba . Tamasha hilo la kizalendo ambalo limekuwa na mafanikio kila mwaka, linatarajiwa kuanza saa tano asubuhi mpaka saa sita usiku uwanjani… ...
11 years ago
GPL08 Aug
11 years ago
Michuzi30 Jul
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 WABUNGE SIMBA NA YANGA KUPAMBANA UWANJA WA TAIFA
![](http://api.ning.com/files/J9FGucqSAtHIvfwhnF6BX9UQREkR50iUJnDEsNhuK9LbPHLaf50XRG2VoNPswCGPVjlIn*12m*KJUQIYGUAOpQhImOm5-33c/koko.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtHIvfwhnF6BX9UQREkR50iUJnDEsNhuK9LbPHLaf50XRG2VoNPswCGPVjlIn*12m*KJUQIYGUAOpQhImOm5-33c/koko.jpg)
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 WABUNGE SIMBA NA YANGA FULL KUKANYAGANA UWANJA WA TAIFA
makala Na Nassor Gallu
SIKU ya Agosti 8, mwaka huu kutakuwa na bonge la mechi litakalopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar ambapo wabunge wanaoshabikia Yanga, watakuwa dimbani kupepetana na wenzao wa Simba. Wabunge wa timu ya Simba wakiwa kwenye picha ya pamoja. Hebu jaribu kuvuta picha katika ubongo wako, waheshimiwa wabunge watakapoweka kando masuala ya ‘Ukawa’ na ‘Tanzania Kwanza’, kisha...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania