Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NIGHT OF HOPE 2014: WANANCHI WAKIMIMINIKA NDANI YA UWANJA WA TAIFA MUDA HUU

Wananchi mbalimbali wakiingia katika Uwanja wa Taifa jijini Dar kwa ajili ya Tamasha kubwa la Usiku wa Matumaini 2014 linaloendelea kwa sasa.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Night Of Hope 2014: Upendo Nkone akitoa matumaini ndani ya uwanja wa Taifa Dar

UPENDONKONE

Mwimbaji wa Injili, Upendo Nkone akiwapa matumaini wananchi waliohudhuria Usiku wa Matumaini muda huu ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar.

Upendo Nkone akiwapa burudani wapenzi wa Gospel ndani ya Tamasha la Matumaini 2014.

Umati wa watu ndani ya Tamasha la Matumaini 2014.

Nkone akizidi kufanya yake pamoja na vijana wake.

Baadhi ya wanahabari na wadau wakifuatilia tamasha hilo.

 

11 years ago

GPL

YALIYOJIRI NIGHT OF HOPE 2013, MWAKA HUU TUKUTANE TAIFA AGOSTI 8

Haya ndiyo yaliyojiri katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2013 lililofanyika Julai 7, 2013 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mwaka huu tukutane mahali hapo Agosti 8 (Nanenane).

 

10 years ago

GPL

VODACOM NIGHT OF HOPE 2014 TRAILER

Hii ni Trailer ya Tamasha la Usiku wa Matumaini 'Vodacom Night of Hope' 2014 lililofanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar Agosti 8, 2014. Documentary kamili kuwajia hivi karibuni.

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU ZOEZI LA USAILI WA NAFASI YA MKAGUZI MSAIDIZI WA UHAMIAJI LILILOFANYWA NA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KATIKA UWANJA MPYA WA TAIFA TAREHE 13 JUNI, 2014

Siku ya zoezi la usaili wa nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji lililofanywa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi tarehe Ijumaa Juni 13, 2014  katika Uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Vijimambo

MASHINDANO YA WAZI YA UBINGWA WA TAIFA YANAVYO ENDELEA KATIKA UWANJA WA NDANI WA TAIFA

Mabondia Abuu Said wa JKT akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Adolf Emanuel wa Kigoma wakati wa mashindano ya wazi ya taifa yanayoendelea katika uwanja wa ndani wa taifa Said alishinda mpambano huo na kuingia fainali Uringo mpya wa Shirikisho la ngumi za Ridhaa Nchini BFT walipewa na kampuni ya simu za mkononi ya Zantel hivi karibuni wakiufanyia majaribio ya kuuchezeshea ngumi kabla ya makabidhiano rasmi na kampuni hiyoBaadhi ya viongozi wa mchezo wa ngumi nichini wakifuraia jambo...

 

11 years ago

GPL

NIGHT OF HOPE 2014: BONGO FLEVA 1, BONGO MOVIES 0

Mwanamuziki Ali Kiba akimtoka msanii wa Bongo Movies, Issa Mussa 'Cloud 112'. Mwanamuziki H-Baba akijaribu kuwatoka wachezaji wa Bongo Movies.…

 

10 years ago

GPL

MKESHA MKUU WA KULIOMBEA DUA TAIFA KUFANYIKA DESEMBA 31-2014 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR

 Mwenyekiti wa Mkesha Mkuu wa Kuliombea Taifa (Dua maalumu), Askofu Godfrey Mallassy (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mkesha huo utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Desemba 31 mwaka huu. Kulia ni Askofu William Mwamalanga wa Kanisa la Kiinjili la Kipentecoste Tanzania.  Mwenyekiti wa Mkesha Mkuu wa Kuliombea Taifa (Dua Maalumu), Askofu Godfrey Mallassy. Kutoka kulia...

 

10 years ago

Michuzi

NGUMI KUPIGWA UWANJA WA NDANI WA TAIFA JUMAMOSI


BONDIA Fransic Miyeyusho 'Chichi Mawe' 

ametamba kumsambalatisha Fadhili Majiha 'Stopper' katika raundi za awali za mpambano wao utakaofanyika siku ya jumamosi ya feb 28 katika uwanja wa ndani wa taifa mpambano huo wa raundi nane unasubiliwa kwa hamu kubwa na mashabiki mbalimbali wa mchezo wa masumbwi nchini ususani vitongoji vya Kinondoni, Manzese, mabibo na Mwananyamala ambapo ndio maeneo yao yenye wapenzi wao wa ngumi na sehermu mbalimbali

akizungumza na mwandishi wa habari hizi Miyeyusho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani