Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USIKU WA MATUMAINI 2014 KUFANYIKA NANENANE UWANJA WA TAIFA DAR

Baadhi ya matukio katika Tamasha la Usiku wa Matumaini mwaka 2013 ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais Jakaya Kikwete. (PICHA ZOTE NA MAKTABA)

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

USIKU WA MATUMAINI 2014 KUFANYIKA NANENANE

Meneja Mkuu wa Global Publishers waandaaji wa Tamasha la Usiku wa Matumaini, Abdallah Mrisho (katikati) wakati akiongea na wanahabari (hawapo pichani) mwaka jana katika maandalizi ya tamasha hilo. PICHA ZOTE NA MAKTABA) GOOD news kwa wananchi wazalendo wa Tanzania ni kwamba lile tamasha kubwa la kuhamasisha matumaini linalofanyika kila mwaka, badala ya kufanyika katika Sikukuu ya Sabasaba kama ilivyokuwa mwaka jana, mwaka huu...

 

11 years ago

GPL

SHANGWE ZA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 UWANJA WA TAIFA, DAR

Haya ni baadhi ya matukio katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Agosti 8, 2014.

 

11 years ago

Michuzi

TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 WABUNGE SIMBA NA YANGA KUPAMBANA UWANJA WA TAIFA


Makala na Nassor GalluSIKU ya Agosti 8, mwaka huu kutakuwa na bonge la mechi litakalopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar ambapo wabunge wanaoshabikia Yanga, watakuwa dimbani kupepetana na wenzao wa Simba.
Wabunge wa timu ya Simba wakiwa kwenye picha ya pamoja.Wabunge wa timu ya Yanga wakiwa kwenye picha ya pamoja.Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 WABUNGE SIMBA NA YANGA FULL KUKANYAGANA UWANJA WA TAIFA

makala Na Nassor Gallu
SIKU ya Agosti 8, mwaka huu kutakuwa na bonge la mechi litakalopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar ambapo wabunge wanaoshabikia Yanga, watakuwa dimbani kupepetana na wenzao wa Simba. Wabunge wa timu ya Simba wakiwa kwenye picha ya pamoja. Hebu jaribu kuvuta picha katika ubongo wako, waheshimiwa wabunge watakapoweka kando masuala ya ‘Ukawa’ na ‘Tanzania Kwanza’, kisha...

 

10 years ago

GPL

MKESHA MKUU WA KULIOMBEA DUA TAIFA KUFANYIKA DESEMBA 31-2014 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR

 Mwenyekiti wa Mkesha Mkuu wa Kuliombea Taifa (Dua maalumu), Askofu Godfrey Mallassy (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mkesha huo utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Desemba 31 mwaka huu. Kulia ni Askofu William Mwamalanga wa Kanisa la Kiinjili la Kipentecoste Tanzania.  Mwenyekiti wa Mkesha Mkuu wa Kuliombea Taifa (Dua Maalumu), Askofu Godfrey Mallassy. Kutoka kulia...

 

11 years ago

Dewji Blog

Night Of Hope 2014: Upendo Nkone akitoa matumaini ndani ya uwanja wa Taifa Dar

UPENDONKONE

Mwimbaji wa Injili, Upendo Nkone akiwapa matumaini wananchi waliohudhuria Usiku wa Matumaini muda huu ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar.

Upendo Nkone akiwapa burudani wapenzi wa Gospel ndani ya Tamasha la Matumaini 2014.

Umati wa watu ndani ya Tamasha la Matumaini 2014.

Nkone akizidi kufanya yake pamoja na vijana wake.

Baadhi ya wanahabari na wadau wakifuatilia tamasha hilo.

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014 KILA KITU NI LEO UWANJA WA TAIFA

Na Nassor Gallu
Baada ya kuhesabu, miezi, siku na saa, sasa kila kitu kipo hadharani, hatimaye lile tamasha kubwa ambalo lilikuwa likisubiriwa na mamilioni ya Watanzania, linatarajiwa kufanyika leo Ijumaa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Kikosi cha wabunge wa timu ya Simba . Tamasha hilo la kizalendo ambalo limekuwa na mafanikio kila mwaka, linatarajiwa kuanza saa tano asubuhi mpaka saa sita usiku uwanjani… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani