Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHILOLE: TUKUTANE UWANJA WA TAIFA MUONE NINAVYOCHUANA NA YEMI ALADE

Staa wa filamu na muziki, Zuwena Mohammed 'Shilole' amewataka mashabiki wake kuhudhuria kwa wingi katika Tamasha la Usiku wa Matumaini Agosti 8, 2014 ili waone atakavyochuana na staa mwenzake kutoka Nigeria, Yemi Alade!

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI... YEMI ALADE KUMSAKA JOHNNY UWANJA WA TAIFA

Na Nassor Gallu
MOSHI wa Burudani utafuka Agosti 8, mwaka huu pale tamasha kubwa linalojulikana kama Usiku wa Matumaini 2014 (Night of Hope) litakapomshusha mkali wa ngoma ya Johnny inayobamba katika redio na televisheni, Yemi Alade kutoka Nigeria. Katika tamasha hilo ambalo limekuwa likiwaunganisha Watanzania na kuchangia masuala ya elimu kupitia mapato ya mlangoni, mkali huyo kutoka Nigeria amepania kukata kiu ya burudani kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Shilole apanga kumshirikisha Yemi Alade

Shilole anapanga kumshirikisha Yemi Alade wa Nigeria. Shilole ameiambia Bongo5 kuwa kwa sasa wanajadiliana namna ya kufanya ya kazi. “Unajua Yemi ni msanii mkubwa na ana vitu vingi anafanya ila kila kitu kinaenda sawa,” amesema. “Watu wangu ambao wanazungumza na Yemi wanaendelea na kila kitu kinaenda sawa soon watu watasikia nini kinaendelea.” Shilole amedai ataachia […]

 

9 years ago

Bongo5

Shilole aingia studio na producer wa Yemi Alade, Selebobo

Shilole na Selebobo

Staa wa muziki nchini, Shilole ameingia studio na producer wa hit single ya Yemi Alade (Johnny) Selebobo wa Nigeria kurekodi wimbo mpya.

Shilole na Selebobo

Shilole ambaye yupo nchini Nigeria, ameiambia Bongo5 kuwa kila kitu kimeenda sawa na usiku wa Jumamosi waliingia studio.

“Tunaingia leo (Jumamosi) usiku studio. Nimezungumza naye nimemwonesha ngoma zangu na ametokea kupenda kazi zangu, kwahiyo kwa kifupi mashabiki wangu wategemee mambo mazuri hasa hasa kolabo,” alisema.

Shilole amesema safari yake ya...

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014... SHILOLE KUMFUNIKA YEMI ALADE

WAKATI Watanzania wakilisubiri kwa hamu Tamasha la Matumaini litakalofanyika Agosti 8, mwaka huu ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar, habari njema ni kwamba, staa wa Chuna Buzi, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameahidi kumkalisha mkali wa Johhny, Yemi Alade atakayekuja kulipamba tamasha hilo. Mkali wa kudansi kutoka Nigeria, Yemi Alade akipozi. Akizungumzia tamasha hilo lenye lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya...

 

11 years ago

GPL

ALI KIBA: NITAMKALISHA YEMI ALADE TAIFA

Ally Saleh ‘Ali Kiba’ MFALME wao Bongo, Ally Saleh ‘Ali Kiba’ amefunguka kuwa ataiandika historia ya aina yake kwa kumuonesha mkali wa songi la Johnny, Yemi Alade kutoka Nigeria jinsi gani muziki unatakiwa kuimbwa na kuchezwa. Mpango mzima utakuwa ni Agosti 8, mwaka huu wakati Tamasha la Usiku wa Matumaini litakapokuwa likichukua nafasi katika Uwanja wa Taifa jijini Dar ambapo Kiba pamoja na listi kibao...

 

11 years ago

Michuzi

YEMI, SHILOLE KUFANYA MAAJABU TAIFA USIKU WA MATUMAINI

WAKATI hamu ya mashabiki kila kona kwa sasa ni Agosti 8, mwaka huu katika tamasha kubwa la kihistoria la Usiku wa Matumaini litakalofanyia Uwanja wa Taifa jijini Dar, mashabiki wengi wanatamani kuwaona wakali kibao wakipanda jukwaani na kupiga nyimbo zao kali.Diva wa muziki kutoka Nigeria anayetamba na wimbo wa Johnny, Yemi Alade
Good newz ni kwamba Zuwena Mohamed ‘Shilole’ atapanda jukwaa moja na diva wa muziki kutoka Nigeria anayetamba na wimbo wa Johnny, Yemi Alade kudondosha shoo ya...

 

9 years ago

Global Publishers

Muonekano mpya wa Yemi Alade

Yemi-Alade-by-Kelechi-Amadiobi-3-600x600 Yemi-Alade-by-Kelechi-Amadiobi-4-600x600 Yemi-Alade-by-Kelechi-Amadiobi-600x600

STAA wa muziki nchini Nigeria, Yemi Alade ameachia picha zake mpya zinazoonyesha muonekano wake wa sasa.

Picha hizo zimepigwa na mpiga picha Kelechi Amadi-Obi.

 

11 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani