ALI KIBA: NITAFANYA SHOO YA KIMATAIFA TAMASHA LA MATUMAINI
![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm51ZJBo3uEor88HfL2V30oDl3y4Gy3LmQryfPaDrbp8BFSDr5TFTHvi6VuNB4s9*pf08vhkvxQeDU2ZqvhY1s-W/matumaini.jpg)
Ujio mpya wa msanii asiye na mpinzani katika gemu la Bongo Fleva, Ali Kiba ndiyo habari inayoendelea kutikisa jiji kwa sasa ambapo nyimbo zake mbili alizoziachia, Mwana na Kimasomaso zinazidi kupasua mawingu na kudhihirisha kauli yake kwamba hakuna wa kushindana naye Bongo. Msanii asiye na mpinzani katika gemu la Bongo Fleva, Ali Kiba. Akipiga stori na Showbiz, Ali Kiba anayetarajiwa kukinukisha kinomanoma kwenye Tamasha la...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W3FOOkDryrLmqmHb1JsRl14ZgE9rAXiB8oi0q6BuyI11XcASAbMZgSZG*3bwtWj0nsWjgKWk27ypXPRx44vT48N/alik.jpg)
ALI KIBA:NIMEJIPANGA KWA MUDA MREFU KUONESHA SHOO KALI TAMASHA LA MATUMAINI
11 years ago
GPLALI KIBA AONYESHA MANJONJO TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI
10 years ago
GPLALI KIBA AFUNIKA SHOO YA MWANA DAR LIVE
10 years ago
Dewji Blog30 Jan
Ali Kiba kupiga shoo ya ‘live’ Sauti za Busara Feb 12
Mwenyekiti wa Bodi wa Busara Promotions, wandaaji wa tamasha la Sauti za Busara, Simai Mohammed (katikati) akiongea na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wanahabari Jijini Dar es Salaam, juu ya tamasha la 12 la Sauti za Busara, litakalofanyika, Februari 12 hadi 15, mwaka huu, Ngome Kongwe, Zanzibar. Wengine (kushoto) ni Meneja wa tamasha hilo, Journey Ramadhani. na upande wa kulia ni Mkurugenzi wa tamasha hilo, Yusuf Mahmoud ‘Dj Yusuf, akifuatiwa na msanii wa Bongo...
10 years ago
Dewji Blog06 Apr
Ali Kiba ‘habari nyingine’ afunika Shoo ya Mwana Dar Live
Mwanamuziki Ali Kiba akizikonga nyoyo za mashabiki waliofurika Dar Live katika shoo yake ya Mwana Dar Live.
Mashabiki wa Ali Kiba wakishow love.
Ali Kiba na mdogo wake Abdul Kiba wakizidi kuwapagawisha mashabiki waliofurika ndani ya Dar Live.
Ali Kiba akizidi kuitawala steji la kupanda na kushuka la Dar Live.
Kwa picha na habari zaidi ya shoo hiyo ingia hapo chini
http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/ali-kiba-afunika-shoo-ya-mwana-dar-live
10 years ago
Michuzi06 Apr
ALI KIBA AFUNIKA SHOO YA MWANA DAR LIVE, ACHEKECHA NA KUCHEKETUA
Ali Kiba akiwa sambamba na mdogo wake Abdul Kiba waliangusha bonge la burudani huku wakiimba nyimbo zao zote kwa kutumia vyombo vya jukwaani ‘live band’.
Shoo hiyo ilisindikizwa na Isha Mashauzi akiwa na Mashauzi Classic, Msaga Sumu...
10 years ago
CloudsFM06 Mar
Ali Kiba atua Moshi kuangusha bonge la shoo leo Club Laliga
![](http://api.ning.com/files/AlF29i7dC3Ih2t-GGBLOmYTF2LdPKLYlrNdxGDw30ND6KJzHg7bWoZShY-FV9tls1WqHIlO0mPPA2BhHaxEnQfei*g-L7zmH/alikiba1.jpg?width=750)
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Ali Kiba: ‘collabo’ zitatuvusha kimataifa
NA MWANDISHI WETU
MWANAMUZIKI nguli wa miondoko ya Bongo Fleva, Ali Kiba, amesema moja ya mafanikio anayojivunia katika kazi ya muziki kwa mwaka huu ni ushiriki wake katika onyesho la Coke Studio msimu wa tatu.
Kiba, ambaye amefanya kolabo kwa kushirikiana na mwanamuziki wa kike anayetamba nchini Kenya, Victoria Kimani, alisema anajivunia kuwa miongoni mwa wanamuziki wanaoshiriki maonyesho hayo.
Alisema kuwa ushiriki wake huo umemwezesha kuongeza rekodi yake katika anga la kimataifa na...
11 years ago
GPLALI KIBA ATUA GLOBAL TV ONLINE, AELEZEA ALIVYOJIANDAA KWA MAKAMUZI YA USIKU WA MATUMAINI 2014