Wazalishaji chumvi watengewa mil 62/-
HALMASHAURI ya Wilaya ya Ikungi imetenga sh. milioni 62.8 kwa ajili ya kuwakopesha kinamama na vijana wanaozalisha chumvi kwa mwaka wa fedha 2014/15. Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Wanawake, vijana Muleba watengewa mil. 69/-
HALMASHAURI ya Wilaya ya Muleba, mkoani Kagara, imetenga zaidi ya sh milioni 69 kwa kipindi cha mwaka 2010/2014 kwa ajili ya mikopo kwa vyama vya akiba na mikopo (Saccos) vya...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Mfumo wa maendeleo Moro watengewa mil. 176/-
MEYA wa Manispaa ya Morogoro, Amiri Nondo, amesema kutokana na tatizo la maji katika manispaa hiyo hasa kata za pembezoni, sh milioni 716 zimetengwa kwa ajili ya Mfuko wa Maendeleo...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Wazee wa Mahakama watengewa Bil. 1.5/-
SERIKALI imesema katika mwaka wa fedha 2014/2015, Wizara ya Katiba na Sheria, imetenga sh bilioni 1.5 kwa ajili ya malipo ya madai ya wazee wa mahakama. Ahadi hiyo ilitolewa bungeni...
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Umeme Hai watengewa bil. 1.8/-
JUMLA ya sh. bilioni 1.8 zitatumika katika kutekeleza ujenzi wa mradi wa umeme katika jimbo la Hai, mkoani Kilimanjaro. Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga, alieleza hayo bungeni...
9 years ago
Habarileo01 Sep
Vijana watengewa bil.1/- za mikopo
MANISPAA ya Kinondoni imetenga fedha kiasi cha Sh bilioni moja ambazo zitagawiwa katika kata 10 kwa ajili ya mikopo isiyokuwa na masharti kwa vijana. Hayo yalisemwa na Mtahiki Meya wa Kinondoni Yusuph Mwenda alipokuwa akimnadi mgombea wa Ubunge Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Kippi Warioba kwenye viwanja vya Boko CCM jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Utekelezaji BRN watengewa bil. 5/-
KIASI cha sh bilioni tano zimetengwa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Matokeo Makubwa Sasa (BRN) itakayofanywa na taasisi za sekta binafsi. Fedha hizo zitatumika kutekeleza miradi ya maendeleo...
10 years ago
Habarileo06 Feb
Chumvi yateketezwa
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS), limeteketeza tani moja na nusu ya chumvi ya Sea Salt, inayozalishwa na Kampuni ya Sea Salt Food Limited ya Bagamoyo mkoani Pwani, kutokana na kuwa chini ya kiwango cha ubora kinachotakiwa.
10 years ago
Habarileo07 Nov
Mpango Maendeleo ya Taifa watengewa trilioni 5.8/-
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wasira amewasilisha bungeni Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2015/2016, huku Serikali ikipanga kutumia Sh trilioni 5.8 kwa utekelezaji wa mpango huo.
10 years ago
GPLYanga SC watengewa 500m waiue Etoile