Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazalishaji chumvi watengewa mil 62/-

HALMASHAURI ya Wilaya ya Ikungi imetenga sh. milioni 62.8 kwa ajili ya kuwakopesha kinamama na vijana wanaozalisha chumvi kwa mwaka wa fedha 2014/15. Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wanawake, vijana Muleba watengewa mil. 69/-

HALMASHAURI ya Wilaya ya Muleba, mkoani Kagara, imetenga zaidi ya sh milioni  69 kwa kipindi cha mwaka 2010/2014 kwa ajili ya mikopo kwa vyama vya akiba na mikopo (Saccos) vya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfumo wa maendeleo Moro watengewa mil. 176/-

MEYA wa Manispaa ya Morogoro, Amiri Nondo, amesema kutokana na tatizo la maji katika manispaa hiyo hasa kata za pembezoni, sh milioni 716 zimetengwa kwa ajili ya  Mfuko wa Maendeleo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazee wa Mahakama watengewa Bil. 1.5/-

SERIKALI imesema katika mwaka wa fedha 2014/2015, Wizara ya Katiba na Sheria, imetenga sh bilioni 1.5 kwa ajili ya malipo ya madai ya wazee wa mahakama. Ahadi hiyo ilitolewa bungeni...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Umeme Hai watengewa bil. 1.8/-

JUMLA ya sh. bilioni 1.8 zitatumika katika kutekeleza ujenzi wa mradi wa umeme katika jimbo la Hai, mkoani Kilimanjaro. Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga, alieleza hayo bungeni...

 

9 years ago

Habarileo

Vijana watengewa bil.1/- za mikopo

MANISPAA ya Kinondoni imetenga fedha kiasi cha Sh bilioni moja ambazo zitagawiwa katika kata 10 kwa ajili ya mikopo isiyokuwa na masharti kwa vijana. Hayo yalisemwa na Mtahiki Meya wa Kinondoni Yusuph Mwenda alipokuwa akimnadi mgombea wa Ubunge Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Kippi Warioba kwenye viwanja vya Boko CCM jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utekelezaji BRN watengewa bil. 5/-

KIASI cha sh bilioni tano zimetengwa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Matokeo Makubwa Sasa (BRN) itakayofanywa na taasisi za sekta binafsi. Fedha hizo zitatumika kutekeleza miradi ya maendeleo...

 

10 years ago

Habarileo

Chumvi yateketezwa

Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano wa TBS, Roida AndusamileSHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS), limeteketeza tani moja na nusu ya chumvi ya Sea Salt, inayozalishwa na Kampuni ya Sea Salt Food Limited ya Bagamoyo mkoani Pwani, kutokana na kuwa chini ya kiwango cha ubora kinachotakiwa.

 

10 years ago

Habarileo

Mpango Maendeleo ya Taifa watengewa trilioni 5.8/-

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wasira amewasilisha bungeni Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2015/2016, huku Serikali ikipanga kutumia Sh trilioni 5.8 kwa utekelezaji wa mpango huo.

 

10 years ago

GPL

Yanga SC watengewa 500m waiue Etoile

Wachezaji wa Yanga wakiwa mazoezini. Khadija Mngwai na Saphyna Mlawa
INAWEZEKANA safari hii Yanga wamejipanga kisawasawa na hawataki tena historia iwatafune, hiyo ni baada ya kuelezwa kuwa uongozi wa klabu hiyo umetenga donge nono kwa wachezaji wake kuhakikisha wanaitoa Étoile du Sahel ya Tunisia katika Kombe la Shirikisho Afrika. Yanga inatarajiwa kukipiga na Waarabu hao katika raundi ya pili ya michuano hiyo ambapo mechi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani