Wanawake, vijana Muleba watengewa mil. 69/-
HALMASHAURI ya Wilaya ya Muleba, mkoani Kagara, imetenga zaidi ya sh milioni 69 kwa kipindi cha mwaka 2010/2014 kwa ajili ya mikopo kwa vyama vya akiba na mikopo (Saccos) vya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo26 Dec
Vijana Muleba wakabidhiwa trekta la mil. 43/-
HALMASHAURI ya Wilaya ya Muleba imenunua trekta lenye thamani ya Sh mil.43 na kulikabidhi kwa vijana wa wilaya hiyo. Trekta hilo litatumika kuanzisha mashamba ya kilimo cha mazao mbalimbali ili kujiajiri na kuacha utegemezi.
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Wazalishaji chumvi watengewa mil 62/-
HALMASHAURI ya Wilaya ya Ikungi imetenga sh. milioni 62.8 kwa ajili ya kuwakopesha kinamama na vijana wanaozalisha chumvi kwa mwaka wa fedha 2014/15. Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Mfumo wa maendeleo Moro watengewa mil. 176/-
MEYA wa Manispaa ya Morogoro, Amiri Nondo, amesema kutokana na tatizo la maji katika manispaa hiyo hasa kata za pembezoni, sh milioni 716 zimetengwa kwa ajili ya Mfuko wa Maendeleo...
9 years ago
Habarileo01 Sep
Vijana watengewa bil.1/- za mikopo
MANISPAA ya Kinondoni imetenga fedha kiasi cha Sh bilioni moja ambazo zitagawiwa katika kata 10 kwa ajili ya mikopo isiyokuwa na masharti kwa vijana. Hayo yalisemwa na Mtahiki Meya wa Kinondoni Yusuph Mwenda alipokuwa akimnadi mgombea wa Ubunge Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Kippi Warioba kwenye viwanja vya Boko CCM jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Mwananchi12 Sep
Saccos ya vijana yakopeshwa Sh10 mil
10 years ago
Habarileo03 Dec
TPSF yachangia mil.20/- wabunge wanawake
TAASISI ya sekta binafsi Tanzania (TPSF) jana ilichangia Sh milioni 19.5 kuwasaidia wabunge wanawake wa majimbo kisiasa na kiuchumi.
10 years ago
Habarileo09 Nov
Vikundi vya wanawake vyapewa mil. 7/-
HALMASHAURI ya Mji wa Masasi mkoani Mtwara imekabidhi hundi zenye thamani ya Sh milioni saba kwa vikundi 11 vya wanawake wajasiriamali.
10 years ago
Dewji Blog18 Oct
TUNAJALI wawajali wanawake na vifaa tiba vya mil 155/-
Na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-hgVQFQ0fSl8/VVd8CjLjuuI/AAAAAAABOkg/6sE6f9_4_rs/s72-c/anna-tibaijuka.jpg)
PROF. TIBAIJUKA ACHANGIA MIL 60 KUKUZA MITAJI YA WANAWAKE JIMBONI MWAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-hgVQFQ0fSl8/VVd8CjLjuuI/AAAAAAABOkg/6sE6f9_4_rs/s640/anna-tibaijuka.jpg)
Profesa Tibaijuka amesema kuwa...