Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TPSF yachangia mil.20/- wabunge wanawake

Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk Mary NaguTAASISI ya sekta binafsi Tanzania (TPSF) jana ilichangia Sh milioni 19.5 kuwasaidia wabunge wanawake wa majimbo kisiasa na kiuchumi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

SATF yachangia miradi ya elimu FPCT mil 11.7/-

JUMLA ya Sh milioni 11.7 zimetolewa na Shirika lisilo la kiserikali la Social Action Trust Fund (SATF) kwa asasi ya Free Pentecoste Church of Tanzania (FPCT) kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya elimu.

 

10 years ago

Habarileo

Japan yachangia mil 160/- shule ya msingi Kakuni

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.SERIKALI ya Japan imetoa msaada wa dola za Marekani 90,286 sawa na Sh milioni 160/- kusaidia ujenzi wa shule ya awali kwenye shule ya msingi Kakuni, iliyopo kijiji cha Kibaoni, wilayani Mlele, mkoa wa Katavi.

 

10 years ago

Habarileo

Vikundi vya wanawake vyapewa mil. 7/-

HALMASHAURI ya Mji wa Masasi mkoani Mtwara imekabidhi hundi zenye thamani ya Sh milioni saba kwa vikundi 11 vya wanawake wajasiriamali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanawake, vijana Muleba watengewa mil. 69/-

HALMASHAURI ya Wilaya ya Muleba, mkoani Kagara, imetenga zaidi ya sh milioni  69 kwa kipindi cha mwaka 2010/2014 kwa ajili ya mikopo kwa vyama vya akiba na mikopo (Saccos) vya...

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Kashilillah awasihi wabunge wanawake

Wanawake barani Afrika wametakiwa kushiriki katika uamuzi ili kufikia malengo waliyoyakusudia.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge wanawake walikosa mkakati

Juzi, tulishuhudia kwa mara ya kwanza wabunge wanawake wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiungana kukwamisha Bajeti ya Wizara ya Afya kutokana na hatua ya Serikali kupunguza bajeti ya wizara hiyo kutoka Sh753.8 bilioni mwaka 2013/14 hadi Sh622.9 bilioni mwaka wa fedha ujao.

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge wanawake wapewa changamoto

WABUNGE wanawake wametakiwa kujenga uwezo wa kujenga hoja na kuhakikisha suala la mgawanyiko wa rasilimali kwenye bajeti ya Serikali unafanywa kwa mtazamo wa kijinsia ili kusaidia kuondoa umasikini.

 

10 years ago

Dewji Blog

TUNAJALI wawajali wanawake na vifaa tiba vya mil 155/-

DSC01359

Mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la TUNAJALI, Dk.Gottlieb Mpangile (kushoto) akizungumza kwenye hafla ya kuzindua mpango wa kutokomeza vifo vya wajawazito na watoto wachanga mkoani Singida, Pia hafla hiyo ilitumika kutoa msaada wa vifaa tiba vikiwemo vitanda vya kujifungulia vyote kwa pamoja  vikiwa na thamani ya zaidi ya shilingi 155 milioni.Wa pili kushoto (waliokaa) ni mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone na wa kwanza ni katibu tawala mkoani Singida, Liana Hassan.

Na...

 

11 years ago

Habarileo

Spika- Wabunge wanawake epukeni Ukimwi

SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amewafunda wajumbe wanawake wa Bunge Maalumu la Katiba dhidi ya vitendo vinavyoweza kuwavunjia heshima na kuwaambia Ukimwi upo na umekithiri. Makinda, ambaye hiki ni kipindi chake cha nane akiwa bungeni, alitoa hadhari hiyo jana mjini hapa kwenye semina ya wajumbe wanawake wa Bunge hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani