Dk Kashilillah awasihi wabunge wanawake
Wanawake barani Afrika wametakiwa kushiriki katika uamuzi ili kufikia malengo waliyoyakusudia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Wabunge wanawake walikosa mkakati
10 years ago
Habarileo07 Apr
Wabunge wanawake wapewa changamoto
WABUNGE wanawake wametakiwa kujenga uwezo wa kujenga hoja na kuhakikisha suala la mgawanyiko wa rasilimali kwenye bajeti ya Serikali unafanywa kwa mtazamo wa kijinsia ili kusaidia kuondoa umasikini.
10 years ago
Habarileo03 Dec
TPSF yachangia mil.20/- wabunge wanawake
TAASISI ya sekta binafsi Tanzania (TPSF) jana ilichangia Sh milioni 19.5 kuwasaidia wabunge wanawake wa majimbo kisiasa na kiuchumi.
11 years ago
Habarileo23 Feb
Spika- Wabunge wanawake epukeni Ukimwi
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amewafunda wajumbe wanawake wa Bunge Maalumu la Katiba dhidi ya vitendo vinavyoweza kuwavunjia heshima na kuwaambia Ukimwi upo na umekithiri. Makinda, ambaye hiki ni kipindi chake cha nane akiwa bungeni, alitoa hadhari hiyo jana mjini hapa kwenye semina ya wajumbe wanawake wa Bunge hilo.
10 years ago
Habarileo07 Jan
Wabunge 19 wanawake wa Tanzania wazuru China
WABUNGE wanawake 19 wa Bunge la Tanzania wako China katika ziara ya siku 11 yenye lengo la kubadilishana na kujifunza kwa wenzao masuala ya uongozi na wanavyojihusisha kwenye shughuli za kijamii.
10 years ago
Vijimambo20 Nov
Wanawake wabunge Tanzania ni wachapakazi: Anne Makinda
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/BXTwnG9NvviGj5JBgMYqcdu13v23DOKaAUhNREXJiQ6Zd-3d-oiCDj8jS1fcrKbQHMxDXPVUquyxvK4kqu16roOEiMiZHZyNPt6Ae6iGcE5eHdevEcG25-N83erchKiWsJCRsPGDDQ=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/11/mbunge.jpg)
Katika mahojiano maalum na Joseph Msami wa idhaa ya Kiswahili ya radio ya Umoja wa Mataifa spika Makinda ambaye kwa sasa ni rais wa bunge la nchi za kusini mwa Afrika SADC amefafanua wajibu wa bunge hilo. Kwanza anaanza kwa...
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
Hafla ya Wabunge Wanawake yafana mjini Dodoma
10 years ago
Michuzi20 Nov
Wanawake wabunge Tanzania ni wachapakazi: Spika Anne Makinda
![mbunge](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/BXTwnG9NvviGj5JBgMYqcdu13v23DOKaAUhNREXJiQ6Zd-3d-oiCDj8jS1fcrKbQHMxDXPVUquyxvK4kqu16roOEiMiZHZyNPt6Ae6iGcE5eHdevEcG25-N83erchKiWsJCRsPGDDQ=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/11/mbunge.jpg)